Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Tukachukue hela za dhalimu na genge lake waliokuwa wanaigiza ni wazalendo?
Maneno yote ongea weye!

Yaani mnajua kabisa kuna pesa zimefichwa mahali, mnashindwa kuzifuata mnaamua kukopa? Huu ndo wendawazimu!

Watanzania mna mikwara ya kijinga sana! Eti 1.5 zimefichwa, mpo mpo tu bila kwenda kuzichukua? Hovyo kabisa
 
1.5 trillions
Plea bargain
Mayanga construction
Bajeti yake ya ikulu hakuruhusu ikaguliwe
Acha utani Uchwara alikuwa jizi la kutisha
Kwani sasa hivi bajeti ya ikulu inakaguliwa? Mbona mnakuwa vichwa maji?
Kwani sheria ya plea bargaining sasa haipo?
Mnaushahidi wa hiyo 1.5 trilion? Mnajua kwamba hiyo ilikuwa audit query? Mnajua kwamba hoja nyingi zilishatolewa maelezo? Na hizi pesa zinazoibiwa sasa mnatuambia kwamba mkuu anahusika?
 
Na pesa za China ziliendaje kwani ?
Unataka pesa za China ziende wapi tena? Tafuteni zenu wapuuzi nyie

Mnasena China kuna mapesa yamefichwa bila kuyafuata ni kelele kama kelele zingine
 
Asad huyo aliposimamishwa aseme kama pesa zimeibiwa alikataa sasa wewe umsemee kivipi?
Halafu msitubadilishie mada. Tujikite yanayojiri kwenye ripoti hii ya sasa, msianze ooh pesa ziko china, mara ooh 1.5 trillion
Tunataka uwajibikaji walioiba mabilioni pamoja na pesa za ndege ya mizigo.
Mpo na lengo la kutaka kuwasafisha watu.
 
Ni MPUMBAVU tu anayeweza kumdhihaki JPM. Zaidi sana yanayomdhihaki na kumnenea kila neno baya JPM ni yale MAJIZI na MANYONYA DAMU za watu ambayo JPM aliyatupilia mbali na Mama akayasogeza chumbani.
 
Lakini kitendo chake cha kumfuta CAG ambaye alikua akifichua vitu kama hivi ni ishara kua hakutaka uozo uonekane. Kwa maana hiyo hatujui ni uozo kiasi gani ulikuepo kwenye wakati wake. Mtu wa aina io moja kwa moja ni kua ana uozo wa kutisha
Mbona mnakuwa mbayuwayu? CAG hakuondolewa kwa sababu alileta ripoti inayoonesha pungufu ya 1.5 trilion, no!
Assad alikuwa na mgogoro na mabosi wake ambao ni bunge, baada ya kuwaita wapuuzi wasiojielewa, ndipo akajitengenezea mgogoro kwa kujaribu kuvimba kichwa na kukosa busara. Nvhi yeyote ukifanya hivyo wanakula kichwa
 
Nani anamkubali jizi lililokuwa na kiburi cha madaraka? Rudisheni pesa zetu za plea bargaining majizi wakubwa nyie.
Msihamishe goli, tujadili mada ya ripoti ya 2021-2022 siyo mnajadili mambo yalishatolewa maelezo. Msitake ionekane awamu hii ni safi sana. Mkuu kashasema tumepigwa, nyinyi nani.
 
Asante mkuu kwa kuwakumbusha, shida ni kwamba, wataelewa?
 
Ni MPUMBAVU tu anayeweza kumdhihaki JPM. Zaidi sana yanayomdhihaki na kumnenea kila neno baya JPM ni yale MAJIZI na MANYONYA DAMU za watu ambayo JPM aliyatupilia mbali na Mama akayasogeza chumbani.
Kama haya hapo yanayohesabu dola sio..Katibu Mkuu Hazina anahesabu Fedha kwenye mabox...RiP Magufuli😠
 
Sasa kwanini bunge lenyewe lisingefanya utaratibu wa kumtoa kwakua ndo lilikua bosi wake
 
Mtamkumbuka na nani. Sema utamkumbuka

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Watu wegi mnashindwa kumuelewa Rais Samia Suluhu kitu kimoja yeye hana maneno mengi sana kama JPM wala haendeshi nchi kwa mabavu bali anatumia akili sana kwaiyo hapa wewe unaweza kuhisi hayo yameisha lakini Mama analifanyia kazi na wale wote wanaohusika na ubadhilifu wowote wa serikali lazima wachuliwe hatua

Huu ni utawala wa kutumia akili sana na wala sio nguvu
 
Sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…