Maneno yote ongea weye!Tukachukue hela za dhalimu na genge lake waliokuwa wanaigiza ni wazalendo?
Asiyempenda Magufuli na kumkumbuka ni hao majizi!
Kwani sasa hivi bajeti ya ikulu inakaguliwa? Mbona mnakuwa vichwa maji?1.5 trillions
Plea bargain
Mayanga construction
Bajeti yake ya ikulu hakuruhusu ikaguliwe
Acha utani Uchwara alikuwa jizi la kutisha
Unataka pesa za China ziende wapi tena? Tafuteni zenu wapuuzi nyieNa pesa za China ziliendaje kwani ?
Halafu msitubadilishie mada. Tujikite yanayojiri kwenye ripoti hii ya sasa, msianze ooh pesa ziko china, mara ooh 1.5 trillionAsad huyo aliposimamishwa aseme kama pesa zimeibiwa alikataa sasa wewe umsemee kivipi?
Mbona mnakuwa mbayuwayu? CAG hakuondolewa kwa sababu alileta ripoti inayoonesha pungufu ya 1.5 trilion, no!Lakini kitendo chake cha kumfuta CAG ambaye alikua akifichua vitu kama hivi ni ishara kua hakutaka uozo uonekane. Kwa maana hiyo hatujui ni uozo kiasi gani ulikuepo kwenye wakati wake. Mtu wa aina io moja kwa moja ni kua ana uozo wa kutisha
Msihamishe goli, tujadili mada ya ripoti ya 2021-2022 siyo mnajadili mambo yalishatolewa maelezo. Msitake ionekane awamu hii ni safi sana. Mkuu kashasema tumepigwa, nyinyi nani.Nani anamkubali jizi lililokuwa na kiburi cha madaraka? Rudisheni pesa zetu za plea bargaining majizi wakubwa nyie.
Asante mkuu kwa kuwakumbusha, shida ni kwamba, wataelewa?Mbona mnakuwa mbayuwayu? CAG hakuondolewa kwa sababu alileta ripoti inayoonesha pungufu ya 1.5 trilion, no!
Assad alikuwa na mgogoro na mabosi wake ambao ni bunge, baada ya kuwaita wapuuzi wasiojielewa, ndipo akajitengenezea mgogoro kwa kujaribu kuvimba kichwa na kukosa busara. Nvhi yeyote ukifanya hivyo wanakula kichwa
Kama haya hapo yanayohesabu dola sio..Katibu Mkuu Hazina anahesabu Fedha kwenye mabox...RiP Magufuli😠Ni MPUMBAVU tu anayeweza kumdhihaki JPM. Zaidi sana yanayomdhihaki na kumnenea kila neno baya JPM ni yale MAJIZI na MANYONYA DAMU za watu ambayo JPM aliyatupilia mbali na Mama akayasogeza chumbani.
Aliongea sana kuhusu nini Mkuu?Aliongea sana kapelekewa moto eti anaenda kuzuga na ist kukabidhi ofisi.
Mtafute Sasa uone km anatembea na ist
Rejea ripoti Cag mwaka uleAliongea sana kuhusu nini Mkuu?
Sasa kwanini bunge lenyewe lisingefanya utaratibu wa kumtoa kwakua ndo lilikua bosi wakeMbona mnakuwa mbayuwayu? CAG hakuondolewa kwa sababu alileta ripoti inayoonesha pungufu ya 1.5 trilion, no!
Assad alikuwa na mgogoro na mabosi wake ambao ni bunge, baada ya kuwaita wapuuzi wasiojielewa, ndipo akajitengenezea mgogoro kwa kujaribu kuvimba kichwa na kukosa busara. Nvhi yeyote ukifanya hivyo wanakula kichwa
Mtamkumbuka na nani. Sema utamkumbukaKwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!
Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule
Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,
JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!
Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?
Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Watu wegi mnashindwa kumuelewa Rais Samia Suluhu kitu kimoja yeye hana maneno mengi sana kama JPM wala haendeshi nchi kwa mabavu bali anatumia akili sana kwaiyo hapa wewe unaweza kuhisi hayo yameisha lakini Mama analifanyia kazi na wale wote wanaohusika na ubadhilifu wowote wa serikali lazima wachuliwe hatuaKwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!
Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule
Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,
JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!
Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?
Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Sawa mkuuWatu wegi mnashindwa kumuelewa Rais Samia Suluhu kitu kimoja yeye hana maneno mengi sana kama JPM wala haendeshi nchi kwa mabavu bali anatumia akili sana kwaiyo hapa wewe unaweza kuhisi hayo yameisha lakini Mama analifanyia kazi na wale wote wanaohusika na ubadhilifu wowote wa serikali lazima wachuliwe hatua
Huu ni utawala wa kutumia akili sana na wala sio nguvu
Nimekuelewa mkuu
Hahaha! Haya mambo bhana, kwanza hayana ushahidi, lakini pia majambazi pia yanauwezo wa kufanya hivyo mkuu kama ambavyo imefanyika Simiyu juzi juzi, miili kuokotwa kwenye vilobaTunamkumbuka kwa ushenzi huuView attachment 2572262
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Amepeleka wapi hizo pesa?JPM alikua mpiga dili zaid ya marais wote kwa mara moja tu aliingia mitini na trillion 1.5