Tunasubiri kauli ya taasisi na jumuiya za Kiislamu tanzania kupinga dhulma ya Israel dhidi ya ndugu zetu Wapalestina ikiwemo mauaji ya Viongozi wao

Tunasubiri kauli ya taasisi na jumuiya za Kiislamu tanzania kupinga dhulma ya Israel dhidi ya ndugu zetu Wapalestina ikiwemo mauaji ya Viongozi wao

We mbulula, hii sio vita ya kidini kama unavyowazia kwa akili yako finyu!
Acha ulimbukeni na uwe unasoma historia zao kabla ya kukurupuka kama uharo!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika

Tunasubiri kauli ya taasisi na jumuiya za Kiislamu tanzania kupinga dhulma ya Israel dhidi ya ndugu zetu Wapalestina ikiwemo mauaji ya Viongozi wao Yahya Sinwar, Hassan nasrallah na Ismael hanniyeh

Ndugu zetu hao wameishi kwa mateso na manyanyaso makubwa Kwa miaka mingi lakini hawajakata tamaa huku bado wanaendelea kupigania haki zao.

Ni muda muafaka kusikia kauli kutoka kwa jumuiya husika hapa tanzania

Karibuni mtoe maoni
Pelekeni kobasi nusu madera..anaye taka kwenda Palestine kuwasaidia akajiandikishe ubalozin wa Palestine ..mkawasaidie kama mnawapenda sana
 
Sema ndugu zako siyo useme ndugu zetu we bwege nini,mimi sina undugu na mwarabu wala mzungu,mchina,nk zaidi ua mwafrika mwenzangu
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika

Tunasubiri kauli ya taasisi na jumuiya za Kiislamu tanzania kupinga dhulma ya Israel dhidi ya ndugu zetu Wapalestina ikiwemo mauaji ya Viongozi wao Yahya Sinwar, Hassan nasrallah na Ismael hanniyeh

Ndugu zetu hao wameishi kwa mateso na manyanyaso makubwa Kwa miaka mingi lakini hawajakata tamaa huku bado wanaendelea kupigania haki zao.

Ni muda muafaka kusikia kauli kutoka kwa jumuiya husika hapa tanzania

Karibuni mtoe maoni
Hao ndugu zako ndio walioanza uchokozi
 
Siamini katika taasisi wala jumuia za Kiislam.

Uislam aliotufundisha Mtume, dua njema na amani ziwe juu yake, Muhammad haujawacha taasisi wala jumuia. Ametuwachia Uislam tu.


Kama ni taasisi au jumuia zilishaanzishwa zamani sana, nazo ni Uislam na katiba yetu ni Qur'an.
Shia ni uislam?
Matamko yw kumbgoja fulani ayatamke sijui nini, hayana faida yoyote.

Tuzuwie maovu kwa Mikono (vitendo), kama hatuwezi tuzuwie kwa mdomo, kila mmoja wetu aseme na kulipinga lililo-ovu na si kungoja fulani atusemee. Kama huwezi hili basi lichukie hilo ovu moyoni mwako, kwa kuzidisha dua, salat na subra ili uyaweze hayo mengine au wanaoyaweza
Mnazuiaje Maovu wakati Quran ndiyo inawahasa mtende.. Kuua Jews ni ibada, Kama sio wanafiki wakemeeni Iran ndio chanzo cha kuwapa bichwa arabs kuwa magaidi kwa kuwafunulia Quran eti Jihad.

According to Mtume wenu Allah anashida ya Kusikia so kila usiku anashuka mbingu ya chini na kuuliza nani anafanya sarat na kuomba nimsikie na kumpa.. kama hakuna anaenda zake.. nyie kuswali day light mnapoteza muda tu.

chaneni kurasa za Quran zinazowahamasisha mtende uovu dhidi ya wengine la sivyo ni unafiki na Taqiyya tunajua.
Allah aendelee kuwawezesha zaidi na Zaidi.
Unajua kabisa Allah hana uwezo ila unajipa moyo tu... Waislam wanavyomuomba Allah aiangamize Israel isyomkosea mtu kama angekuwepo Tusingekuwa na Israel leo hii maana tokea enzi za Mtume wenu akadanganya eti Allah amewageuza jews kuwa Monkey na Pigs ila Israel ndio anawafanya atakavyo Allah mtazamaji Unasalimiwa na Netanyahu.

Poleni kwa Msiba.. - Nilicheka majuzi debate Mohamad Hijab na Piers Morgan alisema hawaungu mkono Hamas..
 
Kwann walaani wakati wanaenda peponi kuburudika na bikra 72 na mambo mengine mazuri mazuri?

20241018_202955.jpg
 
**** unyama mkubwa Gaza na Lebanon ila mufti kalala tu anasubiri mwandamo wa mwezi atangaze iddi tule ubwabwa, f*ck
 
Back
Top Bottom