Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuotaTunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.
Tnataka awajibishwe
Watu wajitokeze kupeleka malalamiko kwa wale waliotendewa, atakuwaje accountable wakati watu wamenyamaza kimya?Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.
Tnataka awajibishwe
Tuliota kwa Sabaya and today here we are!endelea kuota
Kukosana na mkuu tu ndio itafanya ivo wala sio uovu wa mwana ccm utakao mwajibisha.Tuliota kwa sabaya and today here we are!
Bashite hapendwi hata na Lumumba mzee, tuwe wakweli. alifanya uchafu mwingi sana na alikuwa na kiburi kama mungu mtu fulani hivi. no wonder shuleni alikuwa ziro.Mimba ya magufuli na makonda itawatoa roho hapo ufipa
Bashite is just a matter of time before he is indicted!!Jinai aifi hata kama mama anamlinda kwani mama ni mpitaji ajiandae tu
bashite anatakiwa kuwa indicted. na jinai haifi. pia mali zake na majumba kule mwanza na hapo dsm kuna siku vitanyang'anywa tu. hivi wale walioporwa mipesa si wajitokeze wachukue mpunga wao, sasahivi hana nguvu yeyote.Bashite is just a matter of time before he is indicted!!
Albadili haikwepekiendelea kuota
Alitukana kila mtu, akiamini yeye ni mtoto pendwa wa jamaa! Lumumba hapendwi, upinzani hapendwi pia, ana hali mbayaBashite hapendwi hata na Lumumba mzee, tuwe wakweli. alifanya uchafu mwingi sana na alikuwa na kiburi kama mungu mtu fulani hivi. no wonder shuleni alikuwa ziro.
Waovu ccm wako wengi kwanini awe makonda tu?
Ni wale wale...Goli la mkono umelisahau. All in all, angalau hakuhusika kupoteza UHAI wa watu!kina Nape nauye waliosimamia ukweli bado wapo mjengoni.
Kabla ajaondoka duniani ni lzm alipe uovu wake ni laws of natureBashite is just a matter of time before he is indicted!!
Ushahidi wa bashite sio wa kuokoteza kama wa MboweKukosana na mkuu tu ndio itafanya ivo wala sio uovu wa mwana ccm utakao mwajibisha.
Waovu ccm wako wengi kwanini awe makonda tu?
goli la mkono la Nape lilikuwa la kisiasa zaidi kuliko mtu aliyetesa nafsi na kupora magari na mipesa. ile clip ya clouds hadi umoja wa mataifa wanayo. siku kesi ikianza hadi Pompeo atakuja kutoa ushahidi kwasababu watu wengi wanamtamani balaa.Ni wale wale...Goli la mkono umelisahau. All in all, angalau hakuhusika kupoteza UHAI wa watu!
nawe ni mmoj wapo, kwani hamjulikani! It is a matter of timeMimba ya magufuli na makonda itawatoa roho hapo ufipa