Tunataka Paul Makonda awe accountable kwa matendo yake ya kuvunja haki za binadamu

Tunataka Paul Makonda awe accountable kwa matendo yake ya kuvunja haki za binadamu

Mkuu ipo siku ukilala ukiamka utaamka na habari ya Makonda akiwa rumande.Trust me kipo kinachoendelea chini kwa chini wewe ni mtu mdogo sana kuwa na infos.
pamoja na allegations zooote hadi za Tundu Lisu, mtu aachwe bila uchunguzi?
 
Mkuu ipo siku ukilala ukiamka utaamka na habari ya Makonda akiwa rumande.Trust me kipo kinachoendelea chini kwa chini wewe ni mtu mdogo sana kuwa na infos.
sihitaji kuwa mtu mkubwa kujua kama kada wa ccm kada kama Makonda kufikishwa huko sio tu kwa makosa
yake bali kuna kutofautiana na wana ccm wenzie hasa wakuu.
Trust me kwa Makonda ni ngumu kuliko ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Kushtakiwa anaweza shitakiwa ila sio kufungwa.
Sabaya alikuwa ni chambo wa kumnasa Mwamba.
 
hawajajitokeza tu mkuu, watu wakijitokeza na maushahidi utashangaa. anaweza kufungwa vizuri tu.
 
Jibu swali mkuu?
namaanisha kwamba, wote mnaomsapoti bashite hamnaga akili kama yeye, hata mkiongea hamnaga point kwasababu mmebumba kila kitu kwenye maisha yeny kuanzia majina elimu hadi utajiri. zero brain.
 
namaanisha kwamba, wote mnaomsapoti bashite hamnaga akili kama yeye, hata mkiongea hamnaga point kwasababu mmebumba kila kitu kwenye maisha yeny kuanzia majina elimu hadi utajiri. zero brain.
Huhitaji kuwa na akili kuandika hayo mjinga yeyote anaweza andika hayo uliyoandika.
kwako wewe elimu ni vyeti pole.
 
namaanisha kwamba, wote mnaomsapoti bashite hamnaga akili kama yeye, hata mkiongea hamnaga point kwasababu mmebumba kila kitu kwenye maisha yeny kuanzia majina elimu hadi utajiri. zero brain.
Hatuna akili? Binadamu yoyote akishaumbwa lazima awe na akili apokuwa na akili basi anakuwa kichaa hata kuandika hivi isingekuwa rahisi hivi mkuu!!?
 
Hatuna akili? Binadamu yoyote akishaumbwa lazima awe na akili apokuwa na akili basi anakuwa kichaa hata kuandika hivi isingekuwa rahisi hivi mkuu!!?
akili mnazo ila zinawatosha ninyi wenyewe tu, hazina msaada wala faida kwa Taifa. kwa yale aliyoyafanya bashite, kwa kiburi na unyanyasaji ule hata chizi anajua kilichokuwa kikifanyika. ukiona unasapoti ujue wewe akili unazo ila ziko chini kuliko za chizi.
 
Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.
Tnataka awajibishwe
HILO NI MUHIMU SANA MKUU Angalia Uvamizi wa CLOUDS
1499650858.jpg
 
Ingekua watu wakikuchukia unafungwa basi wengi tungekua jela saahizi.
Kama mna ushahidi fungueni kesi acheni ulalamishi wa chuki na fitina zetu za kiswahili.
 
Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.
Tnataka awajibishwe
Hili ngese linahusiko na kuondoa uhai vya wengi Sana....kipilimba alikuwa zoba kwa huyu makonda ......awamu ya tano k..manina
 
Wauza madawa ya kulevya wanatamani kumwona Makonda akiteseka jela kama Sabaya na haitatokea
 
Back
Top Bottom