Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwajui? Wapo huku Mbezi Beach wameshafugwa tayari miaka kibao na wengine bado kesi zao zinaendelea mahakamani. Kabla ya Makonda kuwa chezesha mchakamchaka hao ndugu zako, Kinondoni palikuwa ni aibu tupu kwa madawa ya kulevya au uko Tandahimba mkuu ya hapa Jiji la Mzizima huyajui? Au walikukosakosa wewe?Umeulizwa ni nani walikamatwa kwa kuuza madawa? Wako wapi?
Hujajibu swali bwashee? Ni kina nani hao?Huwajui? Wapo huku Mbezi Beach wameshafugwa tayari miaka kibao na wengine bado kesi zao zinaendelea mahakamani. Kabla ya Makonda kuwa chezesha mchakamchaka hao ndugu zako, Kinondoni palikuwa ni aibu tupu kwa madawa ya kulevya au uko Tandahimba mkuu ya hapa Jiji la Mzizima huyajui? Au walikukosakosa wewe?
Sihitaji kuwataja majina. Kama huwajui kaa hivyo hivyo au nenda Mahakamani ukaulizie kesi za madawa ya kulevyaHujajibu swali bwashee? Ni kina nani hao?
Kama hujijui kuwa wewe ni pimbi kaa hivyo hivyo na upimbi wako. Tena nyie kima msiobadilika ndio mnafanya hata hatupati mvuaSihitaji kuwataja majina. Kama huwajui kaa hivyo hivyo au nenda Mahakamani ukaulizie kesi za madawa ya kulevya
Okay nyumbu.Kama hujijui kuwa wewe ni pimbi kaa hivyo hivyo na upimbi wako. Tena nyie kima msiobadilika ndio mnafanya hata hatupati mvua
Jibu swali taja muuzaji yoyoye wa dawa za kulevya aliyekamatwa na Bashite zero brain. Labda huko usukumani kwenu ila kwa jiji la Dar hakuna kiumbe yeyote aliyefungwa.Hujui kitu sisi tunawafahamu majirani zetu. Kaa hivyo hivyo.
Vipi unauza au?Jibu swali taja muuzaji yoyoye wa dawa za kulevya aliyekamatwa na Bashite zero brain. Labda huko usukumani kwenu ila kwa jiji la Dar hakuna kiumbe yeyote aliyefungwa.
SawaAtachomokaje sasa hapa.
1.Matumizi mabaya ya madaraka
2.Kufoji vyeti na kuibia serikali kwa kujipatia ajira
3.Upotevu wa watu
4.Kuwanyima watu haki ya kuishi
5.Kuvamia na kuharibu ( ofisi za cloud )
6.Udhalilishaji hapa kubambika watu kesi za madawa, uhujumu uchumi nk.
7.Kutishia kuuwa hii kwa wakosoaji
8.Kujipatia pesa kwa vitisho, uporaji,na udanganyifu makonda style.
9.nk
Hata kama mama anamlinda lakini jinai haifi,wajao watamfix tu.
Dunia haijashindwa kufunza watu.
Ndumba upunguza uwezo wa kufikiri.