Tunataka Paul Makonda awe accountable kwa matendo yake ya kuvunja haki za binadamu

Tunataka Paul Makonda awe accountable kwa matendo yake ya kuvunja haki za binadamu

Nyinyi wauza madawa aliwanyoosha sana mpaka sasa hivi wengine wako jela wananyea madebe. Naona mmeshindwa kurudi kwenye biashara zenu. Jaribuni kurudi muone cha mtema kuni mkanyee debe kama Gaidi Mbowe hahahahaha...
Nani yule jela,ali
Anamlinda kwa sababu alimsifu kwenye bunge la katiba.
Ngoja Rizmoja team itakaposhika usukani watamfix.Sio kila sehemu ndumba ni applicable shetani hawezi jua Siri za Mungu.Mganga wao aliwadanganya watatawala milele means akitoka baba 2045 anamwachia bashite for life, Hakuna mtu mpumbavu Sana duniani kama mganga ukupa matumaini hewa Ili apige pesa yako.Mategemeo yamegeuka now ni majuto ya upumbavu uliofanyika.
Mganga anaweza akakwambia anakupa dawa ya kuishi milele usife. Hawa watu sio ukiwa mteja wao lzm uharibikiwe
 
Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.

Tunataka awajibishwe
Kabisa huyu mtu alivunga haki za binadamu na kuumiza wengi, apelekwe mahakamani.
 
Dunia mapito kuua mwanadamu mwenzio hakukupi garantii ya kuishi milele
 
Subiri kamanda tumalizie kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA ndo tumwangalie na Makonda.
 
Jinai aifi hata kama mama anamlinda kwani mama ni mpitaji ajiandae tu
Huu usemi wa jinai haifi, unamkosesha raha kabisa, maana ameshajua ya kwamba ukimtegemea mwanadamu, ni sawa na kujifichia nyuma ya ganda la karanga
 
Huu usemi wa jinai haifi, unamkosesha raha kabisa, maana ameshajua ya kwamba ukimtegemea mwanadamu, ni sawa na kujifichia nyuma ya ganda la karanga
Ukosefu wa raha ndio dhambi yenyewe anayoishi nayo milele hadi atakapoondoka duniani.Ajui Utawala ujao wataingia aliowakosea.
Leo musiba kawa msiba,watafilisi hadi boksa
 
Ukosefu wa raha ndio dhambi yenyewe anayoishi nayo milele hadi atakapoondoka duniani.Ajui Utawala ujao wataingia aliowakosea.
Leo musiba kawa msiba,watafilisi hadi boksa
Hili ni funzo tosha kwa wengine kuwa cheo ni dhamana
 
Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.

Tunataka awajibishwe
Kuwakama mashoga au?
Kwa hiyo unawatetea mashoga na weww umo au kwa kosa lipi?
 
Msiishie kulilia humu Jf, nendeni mahakamani mkatoe fact ili afungwe mfurahi

Humu utaishia kumchukia tu.
 
Wivu tu unawasumbua hizi chuki zipo siku zinawatoa kamasi

Walimchukia gadafi wakiona kwamba anafaidi keki ya Libya kumbe walijidanganya yako wapi sasa wamepoteza kila kitu

Huo ni mfano mdogo kwa hiyo kijana chuki haijengi Bali inabomoa
 
Watu wajitokeze kupeleka malalamiko kwa wale waliotendewa, atakuwaje accountable wakati watu wamenyamaza kimya?

Ila kati ya watu waliochafua utumishi wa umma hapa nchini, bashite na sabaya ni namba moja. nilishawahi kuongea siku moja kwamba Mungu huwapinga wenye kiburi lakini huwapa wanyenyekevu neema. ukiwa na kiburi its just a matter of time, Mungu atakushusha.

Sasahivi Sabaya na Bashite wapo chini kabisa mmoja mfungwa mwingine hata ubalozi hana...kina Nape Nauye waliosimamia ukweli bado wapo mjengoni.
Nasikia Makonda siku hizi anakaa Ubungo Msewe tena kwa kujivicha, mara nyingi anajificha kwa kutembelea gari lenye chapa za AYO TV. Na tumbuke kuwa huyu ndo yule aliyesema katika watu wanaokula raha hapa duniani yeye ndo mwenyewe.
 
Nasikia Makonda siku hizi anakaa Ubungo Msewe tena kwa kujivicha, mara nyingi anajificha kwa kutembelea gari lenye chapa za AYO TV. Na tumbuke kuwa huyu ndo yule aliyesema katika watu wanaokula raha hapa duniani yeye ndo mwenyewe.
kwani hana kazi? arudi koromije hapa mjini hatutaki watu wasio na kazi wanaozurura tu. pia ahakikishe anapokuja mjini awe ameoga.
 
Kuwakama mashoga au?
Kwa hiyo unawatetea mashoga na weww umo au kwa kosa lipi?
Hata baba yako yumo upande wetu naye anataka Makonda afikishwe mahakamani. enjoy your day!
 
Back
Top Bottom