Tunataka Paul Makonda awe accountable kwa matendo yake ya kuvunja haki za binadamu

Tunataka Paul Makonda awe accountable kwa matendo yake ya kuvunja haki za binadamu

Pelekeni ushahidi wa hizo tuhuma zenu (kama mnazo) kwa mamlaka husika.
 
Tuliota kwa sabaya and today here we are!
Watu waliota kwa mkuu zaidi ya huyo, mkuu Retired, na leo imebakia ni historia!

Bashite inatakiwa watu wajitokeze na kulianzisha juu yake, mengine yataendelea tokea hapo.

Hawa watu waliona binaadam wenzao kama takataka, inafaa sasa wakumbushwe.
 
Wabunge wa ccm walimlalamikia sana

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
aliwaambia wasije kwenye mkoa wake, sasahivi yeye hana kazi na anatakiwa kuwa koromije. alitukana wasio nacho kwamba wasije mjini kama hawajaoga kumbe amesahau kuwa pengine hata maji ya kuoga hawana kwasababu yamekatika na wanaishi maeneo yasiyo na maji au pengien hawana mia tano ya kununua dumu la maji...au waliyonunua machache wameona bora watoto wao waoge na yanayobaki wapikie chakula.hajui maisha. Mungu ni mwema, amemshusha hadi kuzimu.
 
Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.
Tnataka awajibishwe
Mkuu usije kumfanya atorokee kabla ya muda kufika
 
watu wajitokeze kupeleka malalamiko kwa wale waliotendewa, atakuwaje accountable wakati watu wamenyamaza kimya? ila kati ya watu waliochafua utumishi wa umma hapa nchini, bashite na sabaya ni namba moja. nilishawahi kuongea siku moja kwamba Mungu huwapinga wenye kiburi lakini huwapa wanyenyekevu neema. ukiwa na kiburi its just a matter of time, Mungu atakushusha.

sasahivi sabaya na bashite wapo chini kabisa mmoja mfungwa mwingine hata ubalozi hana...kina Nape nauye waliosimamia ukweli bado wapo mjengoni.
Nani kakwambia kuwa watu wamenyamaza?
 
orodhesheni makosa yake hapa tuyajuwe, sio mnahukumu tu, na kuna wengine humu ni bendera fuata upepo, ukimuuliza kwann unamchukia makonda? atakujibu hana sabbu au anamchukia sabbu fulani kamchukia.

huo ujinga ndiomaana mnaonekanaga mazezeta, huyo makonda alipigwa spana kutokanyaga ardhi ya USA sabbu ya kuwashughurikia wale wenye tabia zakishenzi yaan mashoga , hapo ndpo makundi ya watetez wa haki za watu yaliibuka na kumuona kama mkatiri uku yakisaidiana na wajinga wachache kukusanya mapungufu yake ili aonekane mbaya machoni pa wengi, mbaya zaid jamaa aligusa maslahi ya wakubwa kwenye connections za madrug dealers na hapa ndpo tatzo lilipokuwa kubwa, maana wengi wenu mna ndugu wapiga dili na hamjui, basi kwakuwa mnahongwa vijisent na ndugu zenu hao msiojua pesa wanapata wapi, na walipokipata chamoto mkaungana na wahuni wenu kumpigana na bwana zero certificate

nikweli jamaa alikuwa na mapungufu na majivuno lkn haiondoi ukwel kuwa alikuwa na utu na uwajibikaji kulko chawa yeyote wa Samia ktk uongoz huu wa sasa kuanzia yule chawa pm mpka nanilii..yaani kiufupi watu wanaomchukia huyo bwana hawana sabbu za msingi zaid ya wivu na husda, mwenye ushahidi wa uovu wa makonda aje hapa aorodheshe majanga ya huyu bwana, na hakikisha unapoorodhesha wew pia uwe mwema na uwe umetenda mema kumzidi yeye...na ndvyo ilivyo USA hawawez mpenda mtu anaeharbu maslahi yao
 
Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.
Tnataka awajibishwe
Huyu msenge aliyewachukia wasenge wenzake ni wa kunyonga au kupiga risasi mtaani na kuondoa kumbukumbu mbaya
 
Kuvamia Clouds
orodhesheni makosa yake hapa tuyajuwe, sio mnahukumu tu, na kuna wengine humu ni bendera fuata upepo, ukimuuliza kwann unamchukia makonda? atakujibu hana sabbu au anamchukia sabbu fulani kamchukia.

huo ujinga ndiomaana mnaonekanaga mazezeta, huyo makonda alipigwa spana kutokanyaga ardhi ya USA sabbu ya kuwashughurikia wale wenye tabia zakishenzi yaan mashoga , hapo ndpo makundi ya watetez wa haki za watu yaliibuka na kumuona kama mkatiri uku yakisaidiana na wajinga wachache kukusanya mapungufu yake ili aonekane mbaya machoni pa wengi, mbaya zaid jamaa aligusa maslahi ya wakubwa kwenye connections za madrug dealers na hapa ndpo tatzo lilipokuwa kubwa, maana wengi wenu mna ndugu wapiga dili na hamjui, basi kwakuwa mnahongwa vijisent na ndugu zenu hao msiojua pesa wanapata wapi, na walipokipata chamoto mkaungana na wahuni wenu kumpigana na bwana zero certificate

nikweli jamaa alikuwa na mapungufu na majivuno lkn haiondoi ukwel kuwa alikuwa na utu na uwajibikaji kulko chawa yeyote wa Samia ktk uongoz huu wa sasa kuanzia yule chawa pm mpka nanilii..yaani kiufupi watu wanaomchukia huyo bwana hawana sabbu za msingi zaid ya wivu na husda, mwenye ushahidi wa uovu wa makonda aje hapa aorodheshe majanga ya huyu bwana, na hakikisha unapoorodhesha wew pia uwe mwema na uwe umetenda mema kumzidi yeye...na ndvyo ilivyo USA hawawez mpenda mtu anaeharbu maslahi yao
 
Fungueni kesi basi kama vielelezo mnavyo
Aliyowafanyia ubaya mpoo?
 
😁😁😁
I5FFU.jpg
 
Back
Top Bottom