Tunataka Paul Makonda awe accountable kwa matendo yake ya kuvunja haki za binadamu

Tunataka Paul Makonda awe accountable kwa matendo yake ya kuvunja haki za binadamu

Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.

Tunataka awajibishwe
Mkuu usimwamshe aliyelala, soon jamaa anafuata Usabayani
 
Watu wajitokeze kupeleka malalamiko kwa wale waliotendewa, atakuwaje accountable wakati watu wamenyamaza kimya?

Ila kati ya watu waliochafua utumishi wa umma hapa nchini, bashite na sabaya ni namba moja. nilishawahi kuongea siku moja kwamba Mungu huwapinga wenye kiburi lakini huwapa wanyenyekevu neema. ukiwa na kiburi its just a matter of time, Mungu atakushusha.

Sasahivi Sabaya na Bashite wapo chini kabisa mmoja mfungwa mwingine hata ubalozi hana...kina Nape Nauye waliosimamia ukweli bado wapo mjengoni.
Ulikuwa utawala katili na wakishetani kabisa
 
Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.

Tunataka awajibishwe
Mahakama gani ilithibitisha kwamba makosa unadai yalitendwa naye?

Mnachokitafuta inawezekana mnataka kukiwahisha kusababisha angamizo siku si nyingi zijazo
 
Killing of people is not a permanent solution.Only uncivilized leaders do.
Mahakama gani ilithibitisha kwamba makosa unadai yalitendwa naye?

Mnachokitafuta inawezekana mnataka kukiwahisha kusababisha angamizo siku si nyingi zijazo
Jamii haiwezi kuwa wrong natural justice laws.
Bashite alishafutwa kwenye ulimwengu wa roho na duniani ni lzm awajibike na aliyotenda.Yeye ni nani awe against laws of nature.
 
Wivu tu unawasumbua hizi chuki zipo siku zinawatoa kamasi

Walimchukia gadafi wakiona kwamba anafaidi keki ya Libya kumbe walijidanganya yako wapi sasa wamepoteza kila kitu

Huo ni mfano mdogo kwa hiyo kijana chuki haijengi Bali inabomoa
Gadafi na sadam walivuna walivyopanda kwa kuwekeza na kuamini zaidi kwenye silaha badala ya kuwekeza kwa watu.
 
Makonda anaishi kama digidigi sasa hivi, anajua wakati wowote tu kinaweza kumnukia.
 
Jinai aifi hata kama mama anamlinda kwani mama ni mpitaji ajiandae tu

Hata yeye Paulo ni mpitaji tuu
Kama ilivyo mimi na wewe, wala usighadhabike hivyo... wewe tulia
 
Makonda anaishi kama digidigi sasa hivi, anajua wakati wowote tu kinaweza kumnukia.
Hofu ya jinai haifi itamtesa Sana hadi mwisho wa maisha yake.Tawala uja tawala upita ipo siku itaingia tawala aliyoiumiza ye still under forty time bado
 
Huyu jamaa siku akipelekwa mahakamani mashahidi watakuwa wengi kuliko hata wale wa jambazi sabaya.
 
Bashite hapendwi hata na Lumumba mzee, tuwe wakweli. alifanya uchafu mwingi sana na alikuwa na kiburi kama mungu mtu fulani hivi. no wonder shuleni alikuwa ziro.
Watu zero wakipewa madaraka mara nyingine utafikiri analipiza kisasi cha kufeli
 
Hivi hujui hata hiyo Idara ya Kupambana na Madawa ilikuwa haijaanzishwa wakati sheria ilikuwa imeshapitishwa na Bunge na Kusainiwa na Rais muda mrefu tu!! Bila movement ya kupambana na hao wauza madawa iliyofanywa na Makonda may be nyinyi wauza madawa msingekuwa mmethibitiwa?
Umeulizwa ni nani walikamatwa kwa kuuza madawa? Wako wapi?
 
Back
Top Bottom