SOFTWARE Tunatengeneza na kudesign logo/website pamoja na android application

SOFTWARE Tunatengeneza na kudesign logo/website pamoja na android application

Endesha biashara yako kidigitali ili uweze kuwafikia wateja wengi miliki website kwa gharama ya Tshs.170,000/tu
Wasiliana na REM TECHNOLOGY GROUP 0652416926 tutakutengenezea kwa wakati na kwa ubora zaiid
 
Endesha biashara yako kidigitali ili uweze kuwafikia wateja wengi miliki website kwa gharama ya Tshs.170,000/tu (OFFER).
Wasiliana na REM TECHNOLOGY GROUP 0652416926 tutakutengenezea kwa wakati na kwa ubora zaiid
 
Website ni njia nzuri ya kuwafikia wateja wako wengi karibu tukutengenezee website uwakaribie watu wengi zaidi kwa njia ya kidigitali.piga simu no.0652416926 au whatsap pia.
 
Endesha biashara yako kidigitali ili uweze kuwafikia wateja wengi miliki website kwa gharama ya Tshs.170,000/tu (OFFER).
Wasiliana na REM TECHNOLOGY GROUP 0652416926 tutakutengenezea kwa wakati na kwa ubora zaiid
 
Naomba niseme kitu kimoja, ccm wana political league za kishamba sana, yani wanafanya kututisha tu eti tusifanye mikutano ya kisiasa kisa wanaona tutawananga nakuwaanika mchana kweupe uchafu wao. Sisi kama Chama tulikuwa tunajipanga tu kimkakati ni lini tutaanza mikutano maana mikutano Ni haki yetu hatufati kauli ya Rais tunasoma katiba inasemaji juu ya mikutano ya kisiasa.

Hata asingeruhusu ni yeye mwenyewe wala hatukuwa tunawaza hilo sisi tulikuwa tunahitaji katiba Mpya tu. Kwani tukifanya mikutano ya vyama vya siasa watatupeleka Wapi? Watashtaki Wapi? Watatufunga Kwa kifungu kipi.

Sisi hatutafuti huruma tunataka haki zetu nasio Kwa kuomba bali Kwa lazima maana ni GOD given. Huwezi kutepelekesha kizembe tu
1672745752492.jpg
 
Naomba niseme kitu kimoja, ccm wana political league za kishamba sana, yani wanafanya kututisha tu eti tusifanye mikutano ya kisiasa kisa wanaona tutawananga nakuwaanika mchana kweupe uchafu wao. Sisi kama Chama tulikuwa tunajipanga tu kimkakati ni lini tutaanza mikutano maana mikutano Ni haki yetu hatufati kauli ya Rais tunasoma katiba inasemaji juu ya mikutano ya kisiasa.

Hata asingeruhusu ni yeye mwenyewe wala hatukuwa tunawaza hilo sisi tulikuwa tunahitaji katiba Mpya tu. Kwani tukifanya mikutano ya vyama vya siasa watatupeleka Wapi? Watashtaki Wapi? Watatufunga Kwa kifungu kipi.

Sisi hatutafuti huruma tunataka haki zetu nasio Kwa kuomba bali Kwa lazima maana ni GOD given. Huwezi kutepelekesha kizembe tu View attachment 2467812
Ndugu Mpwayungu Village!!

Mwl Nyerere aliposema KATIBA iliyopo inampa mwanya Rais kuwa DICTATOR ulielewaje?
 
Nilimwona punguani kwakua angekuwa na huruma na wananchi angeibadili na kuipa nguvu Kwa wananchi
Ndo ukubali kuwa Katiba ndo Ile Ile haijabadikika.

Rais ana maamuzi ya kuamua jambo lolote na hatalazimika kupokea ushauri Kutoka Kwa mtu yeyote.

Mikutano IPO kisheria sawa, kwann haikufanyika Kwa miaka Saba?

Mbowe Yuko sawa, amewazidi akili CDM mwendokasi.
 
Katiba ilikuwa inakulinda sawa, lakini ulikuwa tayari kushindana na mwenye nguvu?

Umeshasahau hii hii Katiba isiyotaka Rais ashtakiwe kwa lolote atakalofanya akiwa madarakani, imempa Rais umalkia wa kuamua chochote, na hayupo wa kumpinga...

Ndio maana licha ya Katiba kuruhusu, lakini bado Mbowe alibambikiwa kesi akakaa gerezani zaidi ya miezi sita, na hakuna yeyote aliyefanya chochote kumtoa Mbowe magereza, mpaka Rais malkia alipoamua...

Hizi kelele mnazopiga baada ya kuruhusiwa mikutano ya siasa, ni mihemko tu, inayosababishwa na uamuzi wa Rais kuruhusu mikutano, mmeshasahau kama angeikataa, hakuwepo wa kumzuia kati yenu.
 
Naomba niseme kitu kimoja, ccm wana political league za kishamba sana, yani wanafanya kututisha tu eti tusifanye mikutano ya kisiasa kisa wanaona tutawananga nakuwaanika mchana kweupe uchafu wao. Sisi kama Chama tulikuwa tunajipanga tu kimkakati ni lini tutaanza mikutano maana mikutano Ni haki yetu hatufati kauli ya Rais tunasoma katiba inasemaji juu ya mikutano ya kisiasa.

Hata asingeruhusu ni yeye mwenyewe wala hatukuwa tunawaza hilo sisi tulikuwa tunahitaji katiba Mpya tu. Kwani tukifanya mikutano ya vyama vya siasa watatupeleka Wapi? Watashtaki Wapi? Watatufunga Kwa kifungu kipi.

Sisi hatutafuti huruma tunataka haki zetu nasio Kwa kuomba bali Kwa lazima maana ni GOD given. Huwezi kutepelekesha kizembe tu View attachment 2467812
Nimekuelewa, mimi nashauri msifanye mikutano ya hadhara ya siasa hadi siku mkijisikia wenyewe bila kupangiwa na Rais
 
Katiba ilikuwa inakulinda sawa, lakini ulikuwa tayari kushindana na mwenye nguvu?

Umeshasahau hii hii Katiba isiyotaka Rais ashtakiwe kwa lolote atakalofanya akiwa madarakani, imempa Rais umalkia wa kuamua chochote, na hayupo wa kumpinga...

Ndio maana licha ya Katiba kuruhusu, lakini bado Mbowe alibambikiwa kesi akakaa gerezani zaidi ya miezi sita, na hakuna yeyote aliyefanya chochote kumtoa Mbowe magereza, mpaka Rais malkia alipoamua...

Hizi kelele mnazopiga baada ya kuruhusiwa mikutano ya siasa, ni mihemko tu, inayosababishwa na uamuzi wa Rais kuruhusu mikutano, mmeshasahau kama angeikataa, hakuwepo wa kumzuia kati yenu.
Mda ungefika tungefanya mikutano, no matter what will happen in front us
 
Ndo ukubali kuwa Katiba ndo Ile Ile haijabadikika.

Rais ana maamuzi ya kuamua jambo lolote na hatalazimika kupokea ushauri Kutoka Kwa mtu yeyote.

Mikutano IPO kisheria sawa, kwann haikufanyika Kwa miaka Saba?

Mbowe Yuko sawa, amewazidi akili CDM mwendokasi.
Tulikuwa tunajipanga, huwezi kutufosi
 
Katiba ilikuwa inakulinda sawa, lakini ulikuwa tayari kushindana na mwenye nguvu?

Umeshasahau hii hii Katiba isiyotaka Rais ashtakiwe kwa lolote atakalofanya akiwa madarakani, imempa Rais umalkia wa kuamua chochote, na hayupo wa kumpinga...

Ndio maana licha ya Katiba kuruhusu, lakini bado Mbowe alibambikiwa kesi akakaa gerezani zaidi ya miezi sita, na hakuna yeyote aliyefanya chochote kumtoa Mbowe magereza, mpaka Rais malkia alipoamua...

Hizi kelele mnazopiga baada ya kuruhusiwa mikutano ya siasa, ni mihemko tu, inayosababishwa na uamuzi wa Rais kuruhusu mikutano, mmeshasahau kama angeikataa, hakuwepo wa kumzuia kati yenu.
Nina shaka na uadilifu na upeo wa wanaojiita wapinzani ambao wanaponda hatua iliyofikiwa leo. Tuliona jinsi katiba hii ilivyomfanya Rais wa awamu ya tano kuwa dikteta na mtu hatari na dhalim kwa raia wake kwa kujua kuwa anaweza kufanya chochote na asiulizwe popote na ndivyo ilivyokuwa. Chaguzi zilivurugwa hadharani,wagombea wa upinzani walitekwa na kupotezwa lakini watu waliufyata. Baada ya uchafuzi ule watu wakahamasishwa waandamane wakaufyata kuogopa kupigwa risasi,sasa leo Rais ambaye ana madaraka yale yale na chini ya Katiba ile ile ameamu kukaa na wapinzai na kulegeza kamba bado watu mnaona walioshiriki kufika hapo ni wasaliti,hizi ni akili za ajabu kabisa. Tunajua kabisa kilichomponza Mbowe hadi kutupwa lupango kwa miezi tisa ni kuhamasisha kudai Katiba Mpya,sasa kama lengo hilo linawezekana kwa kukaa mezani japo inaweza kuchukua muda mrefu kidogo Kwa nini fursa hiyo isitumike kutufikisha tunapotaka kufika?
 
Chadema n chama Makini na chama chenye Viongozi wenye uwezo mkubwa Sana wa kufikiria ,,nafikir kwa wale wenzangu tuliopo chadema toka tunapata akili hili tunalijua ,

Mwenyekiti wetu ni mtu mwenye uwezo mkubwa Sana wa kushawishi na kuona mbali ( KAMANDA MBOWE THE MASTERMIND ,) ,
alichofanya n Real political science ,ameweza kweli kweli the matter of reconciliation ,,

Hakuna asiejua kuwa Katiba hii ya kikoloni imempa mamlaka nakuwa Sana Rais ,anaweza kuamua Chochote na Wala aisifanye Chochote na mtu yoyote hata akitoka madarakani .

John magufuli aliifinyanga kweli kweli Katiba na kujiamulia na kutamani hata pengine tusiwe na vyama vya siasa ,alifunga ,alinunua wapinzani ,Viongozi walitekwa,wapo waliouwawa ,kuzui mkutano ya hadhara ,chaguzi zote ni usanii tupu .n.k

Sasa wewe Kama kiongozi mkuu wa chama Cha siasa ,unakuja na ajenda gani,hatuwe kusema tuingie barabarani kwa sababu bado watanzania hawajaiva kwelikweli ,kila maandamano yakiitishwa ,watanzania hawajitokezi kwenye reactions ,it means bado hawajaacha KUTOKUOGOPA CHOCHOTE ,,,

Kuchoka wamechoka lakn bado wanauoga ,hawajafikia hatua ya mwisho na kumbuka mtaji n wananchi ,,

Sasa n vema tutumie mbinu ya kujenga hoja.kweli kweli na kufanya ushawishi kwa watawala ,na lengo n kuijenga nchi yetu TANZANIA ,SASA MAMBO YAMEELEWEKA [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]


TANZANIA IMESHINDA ! DEMOKRASIA IMESHINDA!! CHADEMA IMESHINDA


SASA TUKUTANE JUKWAANI [emoji1][emoji1][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]

UHAI WA CHAMA NI WANANCHAMA NA MKUTANO YA KISIASA


HONGERA KAMANDA MBOWE WEWE NI JEMBE [emoji3577][emoji1][emoji1][emoji1]



Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Nina shaka na uadilifu na upeo wa wanaojiita wapinzani ambao wanaponda hatua iliyofikiwa leo. Tuliona jinsi katiba hii ilivyomfanya Rais wa awamu ya tano kuwa dikteta na mtu hatari na dhalim kwa raia wake kwa kujua kuwa anaweza kufanya chochote na asiulizwe popote na ndivyo ilivyokuwa. Chaguzi zilivurugwa hadharani,wagombea wa upinzani walitekwa na kupotezwa lakini watu waliufyata. Baada ya uchafuzi ule watu wakahamasishwa waandamane wakaufyata kuogopa kupigwa risasi,sasa leo Rais ambaye ana madaraka yale yale na chini ya Katiba ile ile ameamu kukaa na wapinzai na kulegeza kamba bado watu mnaona walioshiriki kufika hapo ni wasaliti,hizi ni akili za ajabu kabisa. Tunajua kabisa kilichomponza Mbowe hadi kutupwa lupango kwa miezi tisa ni kuhamasisha kudai Katiba Mpya,sasa kama lengo hilo linawezekana kwa kukaa mezani japo inaweza kuchukua muda mrefu kidogo Kwa nini fursa hiyo isitumike kutufikisha tunapotaka kufika?
Kuruhusu mikutano ni katiba ndoimetupa hii asali sio Rais, kuzuiwa Kwa mikutano ilikuwa ni jinai ambayo baadae itawagharimu. Remember criminal never die acha mda utasema
 
Back
Top Bottom