SOFTWARE Tunatengeneza na kudesign logo/website pamoja na android application

SOFTWARE Tunatengeneza na kudesign logo/website pamoja na android application

Chadema n chama Makini na chama chenye Viongozi wenye uwezo mkubwa Sana wa kufikiria ,,nafikir kwa wale wenzangu tuliopo chadema toka tunapata akili hili tunalijua ,

Mwenyekiti wetu ni mtu mwenye uwezo mkubwa Sana wa kushawishi na kuona mbali ( KAMANDA MBOWE THE MASTERMIND ,) ,
alichofanya n Real political science ,ameweza kweli kweli the matter of reconciliation ,,

Hakuna asiejua kuwa Katiba hii ya kikoloni imempa mamlaka nakuwa Sana Rais ,anaweza kuamua Chochote na Wala aisifanye Chochote na mtu yoyote hata akitoka madarakani .

John magufuli aliifinyanga kweli kweli Katiba na kujiamulia na kutamani hata pengine tusiwe na vyama vya siasa ,alifunga ,alinunua wapinzani ,Viongozi walitekwa,wapo waliouwawa ,kuzui mkutano ya hadhara ,chaguzi zote ni usanii tupu .n.k

Sasa wewe Kama kiongozi mkuu wa chama Cha siasa ,unakuja na ajenda gani,hatuwe kusema tuingie barabarani kwa sababu bado watanzania hawajaiva kwelikweli ,kila maandamano yakiitishwa ,watanzania hawajitokezi kwenye reactions ,it means bado hawajaacha KUTOKUOGOPA CHOCHOTE ,,,

Kuchoka wamechoka lakn bado wanauoga ,hawajafikia hatua ya mwisho na kumbuka mtaji n wananchi ,,

Sasa n vema tutumie mbinu ya kujenga hoja.kweli kweli na kufanya ushawishi kwa watawala ,na lengo n kuijenga nchi yetu TANZANIA ,SASA MAMBO YAMEELEWEKA [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]


TANZANIA IMESHINDA ! DEMOKRASIA IMESHINDA!! CHADEMA IMESHINDA


SASA TUKUTANE JUKWAANI [emoji1][emoji1][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]

UHAI WA CHAMA NI WANANCHAMA NA MKUTANO YA KISIASA


HONGERA KAMANDA MBOWE WEWE NI JEMBE [emoji3577][emoji1][emoji1][emoji1]



Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mbowe Kwa hili la maridhiano kaufyata, aondoke tu wanamdanganya
 
Kuruhusu mikutano ni katiba ndoimetupa hii asali sio Rais, kuzuiwa Kwa mikutano ilikuwa ni jinai ambayo baadae itawagharimu. Remember criminal never die acha mda utasema
Uelewe hoja hapa ni kuwa Katiba hii inampa kibri Rais kutokushtakiwa na ndiyo maana aliamua kuinajisi Katiba akijua kuwa hashtakiki, na kumbuka awali aliyekuwa ana kinga ya kutokushtakiwa ni Rais tu lakini JPM kwa kunogewa na madaraka na ili apate washirika wengi katika udhalim wake aliongeza wigo wa viongozi wenye kinga ya kutokushtakiwa. waliongezwa WM, Spika, Makamu wa Rais na Jaji Mkuu, hili lilikuwa jambo la hatari sana, sasa kama Rais ameamua kuvaa utu na kunyoosha mkono wa heri kwa nini ukatae kupokea mkono huo?Kwa sababu kama tukikaza shingi na yeye akavaa uso wa mbuzi mwisho wake ni nini? Siku zote kimbilio la kudai haki ni mahakama lakini tuliona pia kuwa mahakama nayo ilishamezwa na ofisi kuu.
 
Uelewe hoja hapa ni kuwa Katiba hii inampa kibri Rais kutokushtakiwa na ndiyo maana aliamua kuinajisi Katiba akijua kuwa hashtakiki, na kumbuka awali aliyekuwa ana kinga ya kutokushtakiwa ni Rais tu lakini JPM kwa kunogewa na madaraka na ili apate washirika wengi katika udhalim wake aliongeza wigo wa viongozi wenye kinga ya kutokushtakiwa. waliongezwa WM, Spika, Makamu wa Rais na Jaji Mkuu, hili lilikuwa jambo la hatari sana, sasa kama Rais ameamua kuvaa utu na kunyoosha mkono wa heri kwa nini ukatae kupokea mkono huo?Kwa sababu kama tukikaza shingi na yeye akavaa uso wa mbuzi mwisho wake ni nini? Siku zote kimbilio la kudai haki ni mahakama lakini tuliona pia kuwa mahakama nayo ilishamezwa na ofisi kuu.
Amani haipatikani ila Kwa upanga, wakiweka uso mbuzi tunaweka wa lemi ongala. Tutaingia barabarani nahakuna cha kuficha ni MAPANGA, MAJEMBE, VISU, MAWE, MITI, MACHUMA, BUNDUKI itakuwa liwalo na liwe poteleambali hakuna hasara yoyote anayopata mtu aliyekufa
 
Amani haipatikani ila Kwa upanga, wakiweka uso mbuzi tunaweka wa lemi ongala. Tutaingia barabarani nahakuna cha kuficha ni MAPANGA, MAJEMBE, VISU, MAWE, MITI, MACHUMA, BUNDUKI itakuwa liwalo na liwe poteleambali hakuna hasara yoyote anayopata mtu aliyekufa
Sasa wao wameona njia sahihi ni hii wewe nawe tumia hiyo njia yako kwani wote tunajenga nyumba moja
 
Katiba ilikuwa inakulinda sawa, lakini ulikuwa tayari kushindana na mwenye nguvu?

Umeshasahau hii hii Katiba isiyotaka Rais ashtakiwe kwa lolote atakalofanya akiwa madarakani, imempa Rais umalkia wa kuamua chochote, na hayupo wa kumpinga...

Ndio maana licha ya Katiba kuruhusu, lakini bado Mbowe alibambikiwa kesi akakaa gerezani zaidi ya miezi sita, na hakuna yeyote aliyefanya chochote kumtoa Mbowe magereza, mpaka Rais malkia alipoamua...

Hizi kelele mnazopiga baada ya kuruhusiwa mikutano ya siasa, ni mihemko tu, inayosababishwa na uamuzi wa Rais kuruhusu mikutano, mmeshasahau kama angeikataa, hakuwepo wa kumzuia kati yenu.
Upo sahihi kabisa tatizo ni katiba, ila kumbuka kama hii iliyopo inasiginwa na maisha yanaendelea kama kawaida hata hiyo mnayoipigania itasiginwa pia na hakuna kitakachofanyika.

Kuwa na katiba nzuri ni jambo moja ila kuitekeleza kikamilifu ni jambo lingine kabisa.

JokaKuu idawa
 
Naomba niseme kitu kimoja, ccm wana political league za kishamba sana, yani wanafanya kututisha tu eti tusifanye mikutano ya kisiasa kisa wanaona tutawananga nakuwaanika mchana kweupe uchafu wao. Sisi kama Chama tulikuwa tunajipanga tu kimkakati ni lini tutaanza mikutano maana mikutano Ni haki yetu hatufati kauli ya Rais tunasoma katiba inasemaji juu ya mikutano ya kisiasa.

Hata asingeruhusu ni yeye mwenyewe wala hatukuwa tunawaza hilo sisi tulikuwa tunahitaji katiba Mpya tu. Kwani tukifanya mikutano ya vyama vya siasa watatupeleka Wapi? Watashtaki Wapi? Watatufunga Kwa kifungu kipi.

Sisi hatutafuti huruma tunataka haki zetu nasio Kwa kuomba bali Kwa lazima maana ni GOD given. Huwezi kutepelekesha kizembe tu View attachment 2467812
Mikutano ya hadharani iko KiKatiba ya nchi na Wala sio ruhusanitolewe na Rais au mwenyekiti wa chama. Polisi hawana haki ya kukataza ila kazi yao ni kuhakikisha amani!

Hivyo waTanzania tujielewe tuacheni sifa CCM sio inayoruhusu mikutano kamwe.
Tuko hapa tutasikiza.

Sent from my T810S using JamiiForums mobile app
 
Upo sahihi kabisa tatizo ni katiba, ila kumbuka kama hii iliyopo inasiginwa na maisha yanaendelea kama kawaida hata hiyo mnayoipigania itasiginwa pia na hakuna kitakachofanyika.

Kuwa na katiba nzuri ni jambo moja ila kuitekeleza kikamilifu ni jambo lingine kabisa.

JokaKuu idawa
Tusubiri katiba Mpya
 
Naomba niseme kitu kimoja, ccm wana political league za kishamba sana, yani wanafanya kututisha tu eti tusifanye mikutano ya kisiasa kisa wanaona tutawananga nakuwaanika mchana kweupe uchafu wao. Sisi kama Chama tulikuwa tunajipanga tu kimkakati ni lini tutaanza mikutano maana mikutano Ni haki yetu hatufati kauli ya Rais tunasoma katiba inasemaji juu ya mikutano ya kisiasa.

Hata asingeruhusu ni yeye mwenyewe wala hatukuwa tunawaza hilo sisi tulikuwa tunahitaji katiba Mpya tu. Kwani tukifanya mikutano ya vyama vya siasa watatupeleka Wapi? Watashtaki Wapi? Watatufunga Kwa kifungu kipi.

Sisi hatutafuti huruma tunataka haki zetu nasio Kwa kuomba bali Kwa lazima maana ni GOD given. Huwezi kutepelekesha kizembe tu View attachment 2467812
Wewe sijui Umetoka usingizini au vipi? Katiba inakuruhusu sawa, Sasa ulijaribu kufanya ukafaulu? Katiba iliyopo Rais anaweza akakufanya chochote na hakuna wa kukusaidia, unataka katiba ya aina hiyo?
 
Naomba niseme kitu kimoja, ccm wana political league za kishamba sana, yani wanafanya kututisha tu eti tusifanye mikutano ya kisiasa kisa wanaona tutawananga nakuwaanika mchana kweupe uchafu wao. Sisi kama Chama tulikuwa tunajipanga tu kimkakati ni lini tutaanza mikutano maana mikutano Ni haki yetu hatufati kauli ya Rais tunasoma katiba inasemaji juu ya mikutano ya kisiasa.

Hata asingeruhusu ni yeye mwenyewe wala hatukuwa tunawaza hilo sisi tulikuwa tunahitaji katiba Mpya tu. Kwani tukifanya mikutano ya vyama vya siasa watatupeleka Wapi? Watashtaki Wapi? Watatufunga Kwa kifungu kipi.

Sisi hatutafuti huruma tunataka haki zetu nasio Kwa kuomba bali Kwa lazima maana ni GOD given. Huwezi kutepelekesha kizembe tu View attachment 2467812
Umesahau Marehemu alipigamarufuku mikutano hadi wakati wa uchaguzi?
 
Wewe sijui Umetoka usingizini au vipi? Katiba inakuruhusu sawa, Sasa ulijaribu kufanya ukafaulu? Katiba iliyopo Rais anaweza akakufanya chochote na hakuna wa kukusaidia, unataka katiba ya aina hiyo?
Vyovyote iwavyo ila Hakuna haja ya kumshukuru
 
Je? Unamiliki biashara ya aina yoyote na ulikuwa unahitaji kufikia wateja wengi,kujitangaza pia kuuza bidhaa zako kupitia njia ya kidigitali.

Wasiliana nasi Leo tutakutengenezea website kwa gharama nafuu ya Tsh; 200,000/tu.

Gharama zinajumuisha;

  • Free .co.tz domain/year
  • Free hosting for 6 months
  • Free SSL Certificate
  • 15 Business Email
  • Full access cpanel
  • Free support etc.

Pia tunatoa huduma ya kusajiri Domain pamoja na kuhost Website kwa gharama ya kuanzia Tsh.3,000/ kwa mwezi.
Wasiliana nasi sasa,

Contacts;
CALL/Whatsap/Sms
0626454253/
 
Ndugu zangu ni vizuri tukawaelikisha wananchi juu ya haya yanayoendelea ndani ya taifa letu eti mikutano ya vyama vya siasa ilizuiliwa.

Hivi mikutano imeruhusiwa kikatiba au ni mtu anaamua alafu na sisi vyama vya siasa tunamsaidia mtawala kwenye maamuzi kwa kukaa kimya na kuufyata mkoa pasipo kutetea katiba yetu ambayo imeruhusu mikutano.

Swali la msingi la kujiuliza ni je tutaweza kweli kuitetea katiba mpya tunayoitaka kama tumeshindwa au tumeufyata mkia ilhali katiba ya sasa imeruhusu mikutano ya vyama vya siasa na tumekubali kuburuzwa kwa matakwa ya mtu.

Viongozi wa vyama vyetu vya siasa wameshangilia sana eti mikutano ya vyama vya siasa imeruhusiwa jambo ambalo mm mwenzenu limenipa mashaka makubwa sana na ninapata nguvu na kuhitimisha kwamba nchi haina wanasiasa kabisa ina wachumia matumbo tu.

Karibuni tutafakari sote juu ya haya yote tunayo yasikia na tujiulize wanasiasa tulionao wanaweza kutuongoza kutetea katiba mpya.
 
Magufuli alizuia kwa kuvunja KATIBA likawa ZUIO HARAMU
Rais SAMIA Ameondoa ZUIO HARAMU na kuheshimu KATIBA inayoruhusu MIKUTANO
eastafricatv_1673376947632585.jpg
 
Back
Top Bottom