Tunatoa maadili kutoka kwenye Biblia? Kama Ni kweli, Mbona Mungu Hana Maadili?

Tunatoa maadili kutoka kwenye Biblia? Kama Ni kweli, Mbona Mungu Hana Maadili?

Kwanini neno la huyo Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote lina ukakasi kiasi hiko!?

Yanini mimi kumsoma kumuelewa kwenye kitabu chake hadi nitafute miongozo mingine.?

Unahisi muongozo sahihi wewe unaujua!?

Kama kweli Mungu huyo yupo, wala hata kusingehitajika nguvu kubwa namna hii kumuelewa kwa kusubiri miongozo mingine nje ya kitabu chake.
Huyo mungu kama kweli angekuwepo kwanza kusingekuwa na haja ya kitabu wala wahubiri.
Kwavile hajawahi jitokeza kujihubiri yeye mwenyewe huo ni udhihirisho kuwa Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.
Hiyo avatar yako ulishawahi kujiuliza Ina maanisha nini kwanza?Hayo maswali yenu mnayojibiwa kila muda huwa hamna utulivu wa kuyaelewa.Deal na avatar yako.
 
Hujaziona hata contradiction zenyewe lakini unaanza kulaumu kuwa tuna mawenge.

Nkikupa contradiction hapa wewe utaweza kuzitatua ambae huna mawenge!?
Hakuna migongano.Hicho ndiyo kipimo cha uwezo wako wa tafakuri.
 
Hiyo avatar yako ulishawahi kujiuliza Ina maanisha nini kwanza?Hayo maswali yenu mnayojibiwa kila muda huwa hamna utulivu wa kuyaelewa.Deal na avatar yako.
Jibu maswali yangu,
Unadhani avatar ntaiweka bila kujua maana yake ni nini!?
Na nmeiweka maksudi, sio bahati mbaya.

Avatar haihusiani na mada.
Jibu swali langu ipasavyo
 
Jwabu la kimantiki ni hili hapa;

1. Mungu ni mtunga "sheria X" aliyetunga sheria isemayo "usifanye kitu Y"

2. Mtunga sheria anayo mamlaka ya kutengua sheria kwa muda au jumla.

3. Kwa hiyo, Mungu anapofanya kitendo kinachoonekana kuvunja "sheria X" wakati huo anakuwa amebatilisha kwa muda "sheria X"

4. Kwa hiyo Mungu wa Biblia ni mwadilifu kila wakati na kila mahali.

cc. FaizaFoxy
Wabunge na majaji Wana haki ya kuvunja sheria?
 
Wakristo wengi wanaamini Biblia Ni maandiko takatifu na ndo yanawapa mwongozo watu katika maisha yenye maadili. Lakini mbona Biblia yenyewe Ina maandiko yasio na maadili na pia Mungu wa kwenye Biblia amekuwa ni mwenye mateso na kuonea watu bila sababu za msingi. Ni kweli Mungu yupo hivi au hizi zilikuwa story tu za mababu katika kutishia watu amani. Hebu tuone sehemu zifuatazo.

Kalaani binadamu na uumbaji wote kwa tendo la watu wawili(Mwanzo 3:16-23)

Kaua kwa mafuriko wajawazito, watoto wasio na hatia na wanyama(Mwanzo 7:20-23)

Kawapa magonjwa na mvua za mawe wamisri kisa farao kakataa kuwaachia wayahudi baada ya Mungu mwenyewe kuufanya moyo wake uwe mgumu(Kutoka 9:8-11,25)

Aliamuru waisraeli waue wanaume, wanawake wasio bikra na watoto wote wa mataifa Saba na waibe arhi Yao(kumbukumbu la torati 7:1-2)

Alimuua mtoto wa Daudi kisa alizini na Bathsheba (2 Samuel 12:13-18)

Alitaka mateso na kuuwawa kwa mtoto wake(Warumi 3:24-25)

Ameapa kuwatesa wasioamini kristo katika moto wa milele(Ufunuo 21:8)

Pia ameamuru kuuliwa mtu mwenye makosa ya kufanya kazi siku ya sabato(Kutoka 31:15), kumtukana mzazi(walawi 20:9), kuabudu miungu mingine(kumbukumbu la torati 17:2-5), kuwa mchawi(kutoka 22:18), Ushoga (Walawi 20:13), kutokuwa bikra siku ya ndoa(kumbukumbu la torati) 22:20-21

Hitimisho: Ukitoa sodom na gomora na story ya Nuhu. Mungu ameua watu 2,038,344 na Shetani ameua watu 10 tu. Tena hao kumi ni watoto wa Ayubu ambae Mungu alibet na shetani so Mungu alimuamuru shetani awaue. Shetani hajawahi danganya Wala kuiba Biblia nzima. So Nani yupo sawa Mungu au Shetani.
Boss umesoma hayo ili kujinadi na sio kuelewa
 
Alimfavor Yakobo ambaye aliiba haki ya mzaliwa wa kwanza ya Esau lkn eti tunaambiwa usiibe

Yakobo huyohuyo alimcheat anko wake Labani akachukua utajiri wake huku akicngizia ni baraka za Mungu[emoji38]
 
Wakristo wengi wanaamini Biblia Ni maandiko takatifu na ndo yanawapa mwongozo watu katika maisha yenye maadili. Lakini mbona Biblia yenyewe Ina maandiko yasio na maadili na pia Mungu wa kwenye Biblia amekuwa ni mwenye mateso na kuonea watu bila sababu za msingi. Ni kweli Mungu yupo hivi au hizi zilikuwa story tu za mababu katika kutishia watu amani. Hebu tuone sehemu zifuatazo.

Kalaani binadamu na uumbaji wote kwa tendo la watu wawili(Mwanzo 3:16-23)

Kaua kwa mafuriko wajawazito, watoto wasio na hatia na wanyama(Mwanzo 7:20-23)

Kawapa magonjwa na mvua za mawe wamisri kisa farao kakataa kuwaachia wayahudi baada ya Mungu mwenyewe kuufanya moyo wake uwe mgumu(Kutoka 9:8-11,25)

Aliamuru waisraeli waue wanaume, wanawake wasio bikra na watoto wote wa mataifa Saba na waibe arhi Yao(kumbukumbu la torati 7:1-2)

Alimuua mtoto wa Daudi kisa alizini na Bathsheba (2 Samuel 12:13-18)

Alitaka mateso na kuuwawa kwa mtoto wake(Warumi 3:24-25)

Ameapa kuwatesa wasioamini kristo katika moto wa milele(Ufunuo 21:8)

Pia ameamuru kuuliwa mtu mwenye makosa ya kufanya kazi siku ya sabato(Kutoka 31:15), kumtukana mzazi(walawi 20:9), kuabudu miungu mingine(kumbukumbu la torati 17:2-5), kuwa mchawi(kutoka 22:18), Ushoga (Walawi 20:13), kutokuwa bikra siku ya ndoa(kumbukumbu la torati) 22:20-21

Hitimisho: Ukitoa sodom na gomora na story ya Nuhu. Mungu ameua watu 2,038,344 na Shetani ameua watu 10 tu. Tena hao kumi ni watoto wa Ayubu ambae Mungu alibet na shetani so Mungu alimuamuru shetani awaue. Shetani hajawahi danganya Wala kuiba Biblia nzima. So Nani yupo sawa Mungu au Shetani.
Ili mradi umeamini hayo yametokea kutokana na nguvu za Mungu, kumbe unafahamu uhai wako nao upo mikononi mwa Mungu huyo huyo unayemwita katili. Ninachoona kwako ni kusoma biblia na kudhani unaijua biblia kumbe hujui lolote.
 
Kitendo cha kumuacha mtu anateseka mateso makubwa, wakati Mungu ana uwezo wa kuzuia, hii inatosha kusema "Mungu hayupo" na kama yupo basi shetani kamtawala.
 
Wakristo wengi wanaamini Biblia Ni maandiko takatifu na ndo yanawapa mwongozo watu katika maisha yenye maadili. Lakini mbona Biblia yenyewe Ina maandiko yasio na maadili na pia Mungu wa kwenye Biblia amekuwa ni mwenye mateso na kuonea watu bila sababu za msingi. Ni kweli Mungu yupo hivi au hizi zilikuwa story tu za mababu katika kutishia watu amani. Hebu tuone sehemu zifuatazo.

Kalaani binadamu na uumbaji wote kwa tendo la watu wawili(Mwanzo 3:16-23)

Kaua kwa mafuriko wajawazito, watoto wasio na hatia na wanyama(Mwanzo 7:20-23)

Kawapa magonjwa na mvua za mawe wamisri kisa farao kakataa kuwaachia wayahudi baada ya Mungu mwenyewe kuufanya moyo wake uwe mgumu(Kutoka 9:8-11,25)

Aliamuru waisraeli waue wanaume, wanawake wasio bikra na watoto wote wa mataifa Saba na waibe arhi Yao(kumbukumbu la torati 7:1-2)

Alimuua mtoto wa Daudi kisa alizini na Bathsheba (2 Samuel 12:13-18)

Alitaka mateso na kuuwawa kwa mtoto wake(Warumi 3:24-25)

Ameapa kuwatesa wasioamini kristo katika moto wa milele(Ufunuo 21:8)

Pia ameamuru kuuliwa mtu mwenye makosa ya kufanya kazi siku ya sabato(Kutoka 31:15), kumtukana mzazi(walawi 20:9), kuabudu miungu mingine(kumbukumbu la torati 17:2-5), kuwa mchawi(kutoka 22:18), Ushoga (Walawi 20:13), kutokuwa bikra siku ya ndoa(kumbukumbu la torati) 22:20-21

Hitimisho: Ukitoa sodom na gomora na story ya Nuhu. Mungu ameua watu 2,038,344 na Shetani ameua watu 10 tu. Tena hao kumi ni watoto wa Ayubu ambae Mungu alibet na shetani so Mungu alimuamuru shetani awaue. Shetani hajawahi danganya Wala kuiba Biblia nzima. So Nani yupo sawa Mungu au Shetani.
It is funny that chombo cha udongo kilichofinyangwa na mfinyanzi kinampangie mfinyanzi how to deal with it anapo ona hakifai.Mimi nadhani ni busara kumuacha Mungu afanye what he sees fit with us.Tutakuwa safer.The following Bible verses speaks it all.

Waumi 9:21-23
21 Au mfinyanzi je! Hana amri juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima?
22 Ni nini basi, ikiwa Mungu kwa kutaka kuonyesha ghadhabu yake, na kuudhihirisha uweza wake, kwa uvumilivu mwingi, alichukuliana na vile vyombo vya ghadhabu vilivyofanywa tayari kwa uharibifu;
23 tena, ili audhihirishe wingi wa utukufu wake katika vile vyombo vya rehema, alivyovitengeneza tangu zamani vipate utukufu;
 
Wabunge na majaji Wana haki ya kuvunja sheria?
Mbunge na jaji haishi milele. Mungu anaishi milele.

Utakua ni zwazwa kumfananisha wa milele na wa muda.

Non fair comparison, broo.

Ukitaka kuujua ukuu wa Mungu na Biblia yake, jua kwanza maisha ya ulimwengu wa roho.

Hivihivi utajidanganya ujinga tuu.

Taabu yako nilishakueleza hili tangu huko kabla ila unaendelea kubishana mpaka basi.

Huu uzi ni wa kiduwanzi
 
Mbunge na jaji haishi milele. Mungu anaishi milele.

Utakua ni zwazwa kumfananisha wa milele na wa muda.

Non fair comparison, broo.

Ukitaka kuujua ukuu wa Mungu na Biblia yake, jua kwanza maisha ya ulimwengu wa roho.

Hivihivi utajidanganya ujinga tuu.

Taabu yako nilishakueleza hili tangu huko kabla ila unaendelea kubishana mpaka basi.

Huu uzi ni wa kiduwanzi
Mambo ya milele yameingiaje nikikuuliza kuhusu mbwa na paka nani anakula Sana ukaniambia mbwa Hali panya utakuwa umenijibu swali..jibu swali kwa logic sio kilele...milele unaijua wewe
 
Mbunge na jaji haishi milele. Mungu anaishi milele.

Utakua ni zwazwa kumfananisha wa milele na wa muda.

Non fair comparison, broo.

Ukitaka kuujua ukuu wa Mungu na Biblia yake, jua kwanza maisha ya ulimwengu wa roho.

Hivihivi utajidanganya ujinga tuu.

Taabu yako nilishakueleza hili tangu huko kabla ila unaendelea kubishana mpaka basi.

Huu uzi ni wa kiduwanzi
🤣 Ulimwengu wa roho haupo...ni kisingizio Cha kutojua vitu bac. Kitu hukijui mwenyewe huwezi kuelezea unapachika ulimwengu wa kiroho..naweza pachika chochote hata why nakunya.. nikasema coz ni ulimwengu wa kiroho..it's nonsense
 
[emoji1787] Ulimwengu wa roho haupo...ni kisingizio Cha kutojua vitu bac. Kitu hukijui mwenyewe huwezi kuelezea unapachika ulimwengu wa kiroho..naweza pachika chochote hata why nakunya.. nikasema coz ni ulimwengu wa kiroho..it's nonsense
"Nothing is nonsense.. if you don't know.."
 
Back
Top Bottom