Tunatoa maadili kutoka kwenye Biblia? Kama Ni kweli, Mbona Mungu Hana Maadili?

Tunatoa maadili kutoka kwenye Biblia? Kama Ni kweli, Mbona Mungu Hana Maadili?

Mkuu naomba unisaidie kunieleza hapa🙏🙏
For social purposes and selfish reasons, the human ego aims at appearing as egoless as possible as a form of social manipulation.

Kwasababu tokea zamani binadamu waligundua kuwa ili aishi kwa urahisi zaidi kwenye hii Dunia sio akiishi mwenyewe, bali ni pale atakapokubalika na jamii anayoishi maana akiimasta atapata chochote anachotaka (food,shelter,clothing,mate etc.)

Ndio maana watu wana fake smile, wanajipendekeza kwa maboss nk. wanaact like they care about others(friends, relatives nk ) but only due to their selfish reasons.
They are purposely trying to show they are virtuous.

We ungependa kuishi na rafiki gani? Yule anaekuchukia ila anakualika kwake kinafiki ili akuonyeshee tv yake mpya, au yule asiye mnafiki hakufichi kitu akichukia kwako?

Oftenly wale watu wanaojaribu kuonekana ni egoless huwa ni selfish kuliko wale wanaoonekana wana ego/wanaringa etc. Kwasababu hawafichi nature ya ukweli ya binadamu. They are real . (Eg. Trump vs Biden)

Interestingly, mtu aliye na true virtue huwa hajaribu kuwaonyeshea watu kuwa ana virtue. Bali hufanya mambo bila yeye kujua kama ni virtuous ila anafanya Kwasababu hana sababu ndivyo alivyo tu.

Ni kama mama kumnyonyesha mtoto wake, hafanyi vile akiwa na agenda yake sijui ili apendwe na mtoto ila anafanya purely kwa mapenzi ya ndani. Na akiona nyumba inaungua mtoto wake yumo ndani hatojiuliza mara mbili kuingia kumuokoa.
Yani anafanya virtue bila kufikiria na wala kujijua kwa kuasses the gain.

Consequently, watu wengine ni actors wanaact kama sio selfish when deep down wanajijua kabisa the number one interets they are trying to protect are theirs.

They are selfishly trying to look selfless.
 
Wakristo wengi wanaamini Biblia Ni maandiko takatifu na ndo yanawapa mwongozo watu katika maisha yenye maadili. Lakini mbona Biblia yenyewe Ina maandiko yasio na maadili na pia Mungu wa kwenye Biblia amekuwa ni mwenye mateso na kuonea watu bila sababu za msingi. Ni kweli Mungu yupo hivi au hizi zilikuwa story tu za mababu katika kutishia watu amani. Hebu tuone sehemu zifuatazo.

Kalaani binadamu na uumbaji wote kwa tendo la watu wawili(Mwanzo 3:16-23)

Kaua kwa mafuriko wajawazito, watoto wasio na hatia na wanyama(Mwanzo 7:20-23)

Kawapa magonjwa na mvua za mawe wamisri kisa farao kakataa kuwaachia wayahudi baada ya Mungu mwenyewe kuufanya moyo wake uwe mgumu(Kutoka 9:8-11,25)

Aliamuru waisraeli waue wanaume, wanawake wasio bikra na watoto wote wa mataifa Saba na waibe arhi Yao(kumbukumbu la torati 7:1-2)

Alimuua mtoto wa Daudi kisa alizini na Bathsheba (2 Samuel 12:13-18)

Alitaka mateso na kuuwawa kwa mtoto wake(Warumi 3:24-25)

Ameapa kuwatesa wasioamini kristo katika moto wa milele(Ufunuo 21:8)

Pia ameamuru kuuliwa mtu mwenye makosa ya kufanya kazi siku ya sabato(Kutoka 31:15), kumtukana mzazi(walawi 20:9), kuabudu miungu mingine(kumbukumbu la torati 17:2-5), kuwa mchawi(kutoka 22:18), Ushoga (Walawi 20:13), kutokuwa bikra siku ya ndoa(kumbukumbu la torati) 22:20-21

Hitimisho: Ukitoa sodom na gomora na story ya Nuhu. Mungu ameua watu 2,038,344 na Shetani ameua watu 10 tu. Tena hao kumi ni watoto wa Ayubu ambae Mungu alibet na shetani so Mungu alimuamuru shetani awaue. Shetani hajawahi danganya Wala kuiba Biblia nzima. So Nani yupo sawa Mungu au Shetani.

Jwabu la kimantiki ni hili hapa;

1. Mungu ni mtunga "sheria X" aliyetunga sheria isemayo "usifanye kitu Y"

2. Mtunga sheria anayo mamlaka ya kutengua sheria kwa muda au jumla.

3. Kwa hiyo, Mungu anapofanya kitendo kinachoonekana kuvunja "sheria X" wakati huo anakuwa amebatilisha kwa muda "sheria X"

4. Kwa hiyo Mungu wa Biblia ni mwadilifu kila wakati na kila mahali.

cc. FaizaFoxy
 
Unamatumaini yasiyo na mantiki.

Matumaini potofu
Matumaini na unachokiamini wewe hakina tofauti na matumaini na anachokiamini yeye, hukumu yako juu yake haijatenda haki unayotamani wewe juu yake aelewe unavyoelewa wewe, maana ana haki ya kuamini anachoona ni sawa kuliko unavyotamani aamini unavyoamini wewe kua ni sawa..
 
Ila bora Mungu huyu kuliko mnyaazi mwenyewe maana mnyaazi anafix kwanza ukija na kiswahili chako hakuskii ngomq mpaka uiseme kiarabu. Kwani kwenye kitabu cha kuru1 Mungu wa kule naye si anatoa ahadi za madem 70 mkifa anatoa ahadi ya mito ya pombe imagine unakutana na mungu mlevi alafu anamadem 70😂😂😂😂
 
Mfano ile''..AKAMWAGIA NJE'',..
Basi tutazame mfano wa mwanadamu alivyounda AI, (Artificial intelligence ) unahisi analenga nini?
Ukipata jibu jiulize unachohisi hakipo sawa kwa unaempinga mbona ndicho binadamu amekiazimia kwenye AI?
 
Matumaini na unachokiamini wewe hakina tofauti na matumaini na anachokiamini yeye, hukumu yako juu yake haijatenda haki unayotamani wewe juu yake aelewe unavyoelewa wewe, maana ana haki ya kuamini anachoona ni sawa kuliko unavyotamani aamini unavyoamini wewe kua ni sawa..
Matumaini yake ni potofu kwasababu ni hearsey zaidi hayana fact hata moja.

Then mimi siamini kitu.

Hivyo bhasi kauli yako hii unaposema
Matumaini na unachokiamini wewe hakina tofauti na matumaini na anachokiamini yeye, hukumu yako juu yake haijatenda haki unayotamani wewe juu yake aelewe unavyoelewa wewe,
Ni batili.

Matumaini yake ni potofu na hukumu yangu inatenda haki haijalishi haki yake ya kuamini atakacho,
kwamaana sijaiingilia wala kuiharibu kivyovyote vile.
 
Biblia haisomwi kama hadithi za AbuuNuwas!Ni hivyo tu.
Hii huwa ni kauli ya mwisho ya kutetea kitabu chenu kilichosheheni hadithi za uongo zenye kujipinga zenyewe.

Yaani ni full of contradiction tu humo kiasi cha kuonesha kuwa kimetungwa na watu wajinga wa zama za giza, tena wasiojua hata jua linaenda wapi usiku.
 
Jwabu la kimantiki ni hili hapa;

1. Mungu ni mtunga "sheria X" aliyetunga sheria isemayo "usifanye kitu Y"

2. Mtunga sheria anayo mamlaka ya kutengua sheria kwa muda au jumla.

3. Kwa hiyo, Mungu anapofanya kitendo kinachoonekana kuvunja "sheria X" wakati huo anakuwa amebatilisha kwa muda "sheria X"

4. Kwa hiyo Mungu wa Biblia ni mwadilifu kila wakati na kila mahali.

cc. FaizaFoxy
Huyo Mungu kweli yupo au ni hadithi tu za uongo zilitungwa na watu!?

Unajuaje dhana ya Mungu kuwa ni kweli!?
 
Hii huwa ni kauli ya mwisho ya kutetea kitabu chenu kilichosheheni hadithi za uongo zenye kujipinga zenyewe.

Yaani ni full of contradiction tu humo kiasi cha kuonesha kuwa kimetungwa na watu wajinga wa zama za giza, tena wasiojua hata jua linaenda wapi usiku.
Unasoma kwa mawenge na tena bila kuomba miongozo,unatarajia nini?Na si wewe tu.Kuna wanaofanana nawe ambao huingia hadi darasani kuilewa lakini wanabaki na ujinga wao daima dumu.
 
Kwakuwa umesema unaamini bhasi umejieleza vyema, maana kuamini ni kuwa unayo mashaka huna uhakika.

Lakini bado unaposema Mungu ni mkali nakumbuka pia kwenye zile fasihi huwa tunaona jinsi Mungu anavyokasirika,

Sasa Huyu Mungu tunayeambiwa ni kitovu cha ukamilifu, how mkamilifu halafu akasirike? Hamuoni kama mnamnyang'anya sifa ya ukamilifu?

Bila shaka ni unaamini kuwa Mungu wa biblia ndo muumbaji wa kila kitu, hilo sikupingi kwakuwa unaamini tu.

Ila kwenye reality huyo Mungu wa kwenye bible hayupo, na wala hawezekani kuwepo.

Sasa kama hakuna wa kumuelewa Mungu kwa yote aliyofanya, unamaanisha hata wale wanaodaiwa kuongea nae hawawezi kumuelewa. Hao woye wanaojinasibu utume sjui wameambiwa na Mungu means hao ni waongo.
Kuna jamaa anaitwa Musa tunaambiwa aliongea na Mungu huko milimani, sasa kwa hoja hiyo umeleta hapa unadhani nitakubali kuwa ni kweli Musa aliongea na Mungu na akamuelewa hadi aje kutuambia?
Kumbe Musa hakumuelewa huyo Mungu na asingeweza kumuelewa kama ulivyosema hapo. Sasa kwanini unakubali maagizo na ile story ya Musa akaambiwa na Mungu?
Huoni kuwa Musa alijitungia tu mambo yake na hadithi zake?


If God real exist why do we need books and preachers to explain him? the fact that God can't do it himself it's the good evidence he doesn’t exist.
Kwanza naamini una Baba mzazi, naamini kakuzaa kakulea ktk "Do" and "Dont" sina hakika kama umewah kumuuliza why hakukuacha free ukajikulia km kitoto cha mjusi au nyoka maporin, hata hao viumbe wanalelewa na wazazi wao, wanafundishwa do na dont, unahisi ni kosa Mungu kutoa maelekezo ya Do na Dont?

Mwanadamu au viumbe wakitokwa na kile kinachowafanya waweze kutenda wanachopenda wanakufa, unahisi ww unaweza kukishika hcho kinachokufanya uwe hai au kukiona kwa macho? Una uhakika una roho wewe? Au una uhakika wewe sio AI/robot la jamii fulani huko mbali sana?
Kama unahisi hivyo...mkuu wa hiyo jamii ndie Mungu tunaemuabudu..na hana mzaha pindi umezngua donts zake, km robot inavyokosea ikapita kwenye magnet area...ukibisha vunja amri za Mungu za Dont hapa dunian, utajua hujui...
 
Unasoma kwa mawenge na tena bila kuomba miongozo,unatarajia nini?Na si wewe tu.Kuna wanaofanana nawe ambao huingia hadi darasani kuilewa lakini wanabaki na ujinga wao daima dumu.
Hujaziona hata contradiction zenyewe lakini unaanza kulaumu kuwa tuna mawenge.

Nkikupa contradiction hapa wewe utaweza kuzitatua ambae huna mawenge!?
 
Kwanza naamini una Baba mzazi, naamini kakuzaa kakulea ktk "Do" and "Dont" sina hakika kama umewah kumuuliza why hakukuacha free ukajikulia km kitoto cha mjusi au nyoka maporin, hata hao viumbe wanalelewa na wazazi wao, wanafundishwa do na dont, unahisi ni kosa Mungu kutoa maelekezo ya Do na Dont?
Hujaweza kuthibitisha kama kweli huyo Mungu yupo.

Unahubiri tu.

Neno "Mahubiri" kwangu huwa linamaanisha "matango pori"

Mwanadamu au viumbe wakitokwa na kile kinachowafanya waweze kutenda wanachopenda wanakufa, unahisi ww unaweza kukishika hcho kinachokufanya uwe hai au kukiona kwa macho
Unaposema "unaweza kukishika kinachokufanya kuwa hai au kukiona kwa macho.."

Wewe unajua ni kipi/kitu gani kinafanya kiumbe kuwa hai hadi unauliza kushikika na kuonekana kwake?

Unaelewa hata uhai ni nini?
Una uhakika una roho wewe?
Roho ni kitu gani!?
Kama unahisi hivyo...mkuu wa hiyo jamii ndie Mungu tunaemuabudu..na hana mzaha pindi umezngua donts zake, km robot inavyokosea ikapita kwenye magnet area...ukibisha vunja amri za Mungu za Dont hapa dunian, utajua hujui
Natambua Kuna Miungu zaidi ya 3000+
Kila jamii hujinasibu kuwa Mungu wake ni wa kweli, na kwenye hao miungu na idadi zao kila mmoja anazo amri zake tofauti na miungu wengine.
(uwepo kama dhana, sio katika uhalisia)

Wewe unamuongelea Mungu yupi?

Kabla ya yote Unaweza kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu wako na kuonesha kuwa wale walio kwenye jamii zingine ni Miungu wa uongo!?
 
Unasoma kwa mawenge na tena bila kuomba miongozo,unatarajia nini?Na si wewe tu.Kuna wanaofanana nawe ambao huingia hadi darasani kuilewa lakini wanabaki na ujinga wao daima dumu.
Kwanini neno la huyo Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote lina ukakasi kiasi hiko!?

Yanini mimi kumsoma kumuelewa kwenye kitabu chake hadi nitafute miongozo mingine.?

Unahisi muongozo sahihi wewe unaujua!?

Kama kweli Mungu huyo yupo, wala hata kusingehitajika nguvu kubwa namna hii kumuelewa kwa kusubiri miongozo mingine nje ya kitabu chake.
Huyo mungu kama kweli angekuwepo kwanza kusingekuwa na haja ya kitabu wala wahubiri.
Kwavile hajawahi jitokeza kujihubiri yeye mwenyewe huo ni udhihirisho kuwa Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.
 
Even if the God-hypothesis is ontologically fictional yet it is functionally true
How do you know if it is true in terms of functionality? Can you prove that this functionality is real and derived from God?

Since you said "God hypothesis is ontologically fictional" this means its a falsehood, then even the functionality you mentioned would merely be a placebo and nothing else."
 
Back
Top Bottom