Tunatoa maadili kutoka kwenye Biblia? Kama Ni kweli, Mbona Mungu Hana Maadili?

Soma kisa cha Nuhu utaelewa. Wote walikataa kutii maagizo ya Mungu thus akawaona hawana faida akawauwa kwa maji, kama ambavyo anakuja kuwaua kizazi hiki cha SAsa kwa kukataa kutii amri zake.
Unafahamu hadithi ya Gharika biblia imecopy wapi?

Umewahi kuskia hadithi ya Atrahasis?
 
Kwani kuatajiri ndio utimamu wa akili????
Narudia tena nenda kapimwe mkojo brother
Acha ujinga dogo kwa hiyo Elon musk anapeleka rockets angani na kutengeneza magari ya umeme yeye Hana akili Ila we unayeamini story za miujiza ya mababu wasiojua jua linatokea wapi ndo una akili sawa. Si ndo maana wazungu walikuja na dini wakachukua madini wanajua mijitu mipumbavu
 
Epic of Gilgamesh pia
Mkuu, watu hawaelewi kuhusu haya mambo.
Kuna hadithi ya "Enuma Elish" hapo utaona jinsi uumbaji unavyofanywa

Right wakisoma vizuri na kwa udadisi watajua kuna kitu na hakuna sababy ya kuamini hizi hadithi za Alfa_ulela ulela.

Bahati mbaya ukiwa kondoo wa bwana kila utachopewa chenye kuonesha mambo kama hayo, utasema ni kazi/mpango wa Shetani.

Kondoo si watu.
 
Angekua na akili asingeshindwa kuishi na mke??
 
Kwani Mungu ndie alieandika biblia? Miungu ilioandikwa kwenye vitabu vya dini zote ina ukatili na muda mwingine ina miyeyusho mfano kuna mungu huyo anaahidi watu mabikra na mito ya pombe sasa hapo akili kumkichwa
 
Kama anakili,ataelewa.
 
Mungu wa Biblia hajielewi au aliyeaiandika ndo halikuwa hajielewi
 
Na kondoo ndo mifugo mijinga inafata kila kitu inasubiri kuchinjwa tu ndo maana wanaitwa kondoo
 
Kwani Mungu ndie alieandika biblia? Miungu ilioandikwa kwenye vitabu vya dini zote ina ukatili na muda mwingine ina miyeyusho mfano kuna mungu huyo anaahidi watu mabikra na mito ya pombe sasa hapo akili kumkichwa
Si ndo maana nasema sio neno la Mungu
 
Hayo Mambo personal unaconclude na akili. We ukishindwana na mke wako huna akili. If so basi hii Convo haikuhusu, tafuta wa kubishanana nae
Kwakua yeye karusha vyombo hewani basi wanadamu wote wajinga dunin?? Kesha jua kuhusu udaktari, uganga na physiology??
Ndo uelewa wako huu, acha na wewe uuzwe kwa waarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…