Nyumba ipo vizuri pia ipo katika eneo zuri la kiungwana a.k.a kishua. Ipo peke yake katika uwanja.

Kodi shs 800,000 kwa mwezi. Kuiona tuwasiliane kwa simu 0784225000
 
Iinavutia, Bora na ya Kisasa.

Nyumba ina mwonekano wa kuvutia wa ndani na nje ikuwa na vyumba vitatu vya kulala vyote vinavyochojitoshereza (masters), sebure kubwa, jiko la kisasa na mahali pa kula. Bei $ 170,000 maelewano yapo. Kuiona wasiliana nami kwa simu/whatsapp +255784225000














 
Dola laki na 70 ni hela ndogo Sana iyo kwa hapa new York so chini ya dola milioni moja mkuu.

Iko ghorofa ya ngapi tokea ground floor.

Kuna dola 80k hapa mfuko wa Shati nikutafute
 
Mkiambiwa tafuten pesa, muwe mnaelewa, na hizo ndizo nyumba anazotakiwa kuishi mtu na mwanaume[emoji23][emoji23][emoji23].

Just imagine umelala kwa bed kama lile na mdirisha ukikutizama uku hewa nzur na safi ikiwa imetanda room[emoji12].

Hizo stress unapataje sas?.

Tutafuten pesa jaman , kuishi dunian kama paradiso inawezekana kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…