Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃😃😃 vigezo na masharti kuzingatiwa.Hivi unaposema unauza ni kwamba nikinunua inakuwa yangu kabisa? Je, baadae nikiamua kubomoa itakuwaje? Maana si ni mali yangu? Hao wa juu itakuwaje
Masharti kwenye nyumba yangu?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] vigezo na masharti kuzingatiwa.
Masharikidah nimeipenda sana ipo upanga ipi mkuu?
Wenye nazo changamkia fulsa,The apartment is situated on the ground floor and has direct access to the garden and is set in a private and quiet location within the complex. The accommodation consists of three bedrooms with two bathrooms open concept kitchen and dining room.Interested to have a look? Please schedule a DAY and HOUR for a visit or call/sms/whatsapp 0784225000View attachment 1670588View attachment 1670589View attachment 1670590View attachment 1670591View attachment 1670592View attachment 1670595View attachment 1670594
Eeeee . Mkuu acha utaniHivi unaposema unauza ni kwamba nikinunua inakuwa yangu kabisa? Je, baadae nikiamua kubomoa itakuwaje? Maana si ni mali yangu? Hao wa juu itakuwaje
Kwa mwaka?Wenye nazo changamkia fulsa,
Hiyo 190M,bila shaka ni kwa mwaka?
Kwa milele yotee hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wenye nazo changamkia fulsa,
Hiyo 190M,bila shaka ni kwa mwaka?
Hahahah unajua hata maisha yako yanamilikiwa na serikali mkuu?kama huamini angalia mtu akijaribu kujiua halafu ikashindikana kwanini serikali inamfunga wkt maisha ni yake.?Masharti kwenye nyumba yangu?

Kwenye real estate ukinunua nyumba kama haiwezi kurudisha pesa kwa miaka 12 ni hasara sana. Na katika miaka 16 unapangisha hela hairudi basi itume kitu kingine. Inamfaa atakayeishi mwenyewe .Kitomai hii nyumba ipo katika ghorofa ya ngapi
Akikujibu nijulishe maana picha zimepigwa kijanja pia hiyo bei kwa upanga ni sawa na bureKitomai hii nyumba ipo katika ghorofa ya ngapi