bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Kabisa, kwa Mbezi beach bei hiyo ya kiwanja ya mwaka 2010Hata kiwanja haupati kwa bei hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, kwa Mbezi beach bei hiyo ya kiwanja ya mwaka 2010Hata kiwanja haupati kwa bei hiyo
ahsante kwa offa..mkuu yaan hiyo ndio last price (550M)Hii nyumba bado ipo?
Kuna 400M hapa, kama inapendeza tumalize kazi.
bado jengo lipoVp wameshauza au bado?
hakuna mauzauza mkuu njoo tufanye biasharaMbona bei Chee hivyo? Hamna mauzauza humo?
tuendelee kupambana na uchumi wa katiKipindi cha nyuma hizi wala ulikuwa huulizi mara mbili lakini kwa sasa mambo yamebadilika sana
Kweli mkuu nimekumanya ila sasa hii tabia itakujaga kuisha kila chenye mwanzo kina mwisho kweli umekaa kaskazini.Mkuu nimesomea shule na nimefanya kazi takribani 5 years. Hapo boma nimekaa Kama miaka 2 , maeneo hapo ya ccm ,Dorcas na kule uzunguni.
Nimeishi Rombo pale njia panda ya mkuu,tarakea na huruma hospital,Moshi mjini ni kule pasua, machame tumejenga Ile health center,Arusha nimeishi kisongo kwenye nyumba za meja mruto Kama unazifahamu.
Hakuna mchaga anayenunua kwenye duka la chasaka sembuse mpaka hiace wanataka kujua mmiliki.
Kusema ukweli mangi Ana Tabia za kikenya jamani tukubali.
Unapajua pe Soweto Moshi Ila ngoja niishir hapo tu
Mali kafuata nini.mkuu waganga wa kafara wapo sana, **** mmoja nasikilizia ameenda nchini mali akirudi tu nimeula
viko wapi? mbona hatuzioniNyumb bado zipo