House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
Kipindi cha nyuma hizi wala ulikuwa huulizi mara mbili lakini kwa sasa mambo yamebadilika sana
 
Kwa sisi ambao hata kupata 1m/- ni shida tunaogopa kucomment hapa!
 
Mkuu nimesomea shule na nimefanya kazi takribani 5 years. Hapo boma nimekaa Kama miaka 2 , maeneo hapo ya ccm ,Dorcas na kule uzunguni.
Nimeishi Rombo pale njia panda ya mkuu,tarakea na huruma hospital,Moshi mjini ni kule pasua, machame tumejenga Ile health center,Arusha nimeishi kisongo kwenye nyumba za meja mruto Kama unazifahamu.
Hakuna mchaga anayenunua kwenye duka la chasaka sembuse mpaka hiace wanataka kujua mmiliki.
Kusema ukweli mangi Ana Tabia za kikenya jamani tukubali.
Unapajua pe Soweto Moshi Ila ngoja niishir hapo tu
Kweli mkuu nimekumanya ila sasa hii tabia itakujaga kuisha kila chenye mwanzo kina mwisho kweli umekaa kaskazini.
 
Back
Top Bottom