Magari ya Biashara
Senior Member
- Sep 16, 2019
- 183
- 578
- Thread starter
- #481
karibuAhsante kwa taarifa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibuAhsante kwa taarifa...
Nyumba ya heshima!Mjengo huu una vyumba 4 vya kisasa MNOOOO ...vitatu ni self contained na kimoja ni master room
Nyumba Iina servant quater (nyumba ndogo ya pembeni yenye vyumba 2)
Nyumba ina sitting roo 2 moja ipo juu na nyingine chini .. Kuna dining room,public toilet,jiko , bacon pia imezungushiwa fence
Full AC, paving block,garden,Tiles,gypsum, aluminum Slide windows.
Nyumba ipo mbezi beach mtaa mzuri wa kishua kabisa..inafaa kwa ajili ya makazi au ofisi
Umnali ni mita 200 tu kutoka barabara kuu
BEI: 550 Million
Nyumba pia ina
-Car Parking, standby -Genetator is available for 24/7
-Air Conditioning,
-Fire safety
-Swimming pool
-Security 24hrs
View attachment 1809015View attachment 1809016View attachment 1809017View attachment 1809018View attachment 1809019View attachment 1809020View attachment 1809021View attachment 1809022View attachment 1809023View attachment 1809024View attachment 1809026
View attachment 1809025
Hii nyumba ni nzuri, heshima kwa aliyeijenga.
Tena hiyo bei ni kubwa sana,mjomba wangu ametumi 600M kujenga nyumba ya ghorofa ya 2 tena kubwa sana.Mbona bei ndogo hiyo? Amefanya assessment ya thamani ya hiyo nyumba au amekisia tu? Akumbuke kama alijenga zamani basi sasa kwa bei hiyo hawezi kabisa. La pili ajue hapo kuna capital gains tax (nadhani 10%) zitafyekwa na TRA.
Labda kama ana shida sana au alipata fedha kwa njia za panya ndiyo anauza kwa bei hiyo. Trust me.
Kajenga mbezi beach? Au wapi.Tena hiyo bei ni kubwa sana,mjomba wangu ametumi 600M kujenga nyumba ya ghorofa ya 2 tena kubwa sana.
Usikute Ni chanika au kigamboniKajenga mbezi beach? Au wapi.
Tambua thaman ya eneo ..pia
Hata kiwanja haupati kwa bei hiyoHiyo Nyumba haizidi milioni Mia mbili
Sabaya ni lihuni halina nyumba wala mke lile jambazi.Ya Sabaya hii
Duh!Sabaya ni lihuni halina nyumba wala mke lile jambazi.
Tutafanyj ndo wadau wenyew hawa hawa wakusukumia uzi utembeeBaba naona umeirudisha tena, umemiss yale masimango nini
Nini tenaDa! MUNGU WANGU 😱🤒
Tutaelewana tu. Milioni 500 itapendeza.Mjengo huu una vyumba 4 vya kisasa MNOOOO ...vitatu ni self contained na kimoja ni master room
Nyumba Iina servant quater (nyumba ndogo ya pembeni yenye vyumba 2)
Nyumba ina sitting roo 2 moja ipo juu na nyingine chini .. Kuna dining room,public toilet,jiko , bacon pia imezungushiwa fence
Full AC, paving block,garden,Tiles,gypsum, aluminum Slide windows.
Nyumba ipo mbezi beach mtaa mzuri wa kishua kabisa..inafaa kwa ajili ya makazi au ofisi
Umnali ni mita 200 tu kutoka barabara kuu
BEI: Milioni 550 (bei ya kuuzia , haina mazungumzo)
Nyumba pia ina
-Car Parking, standby -Genetator is available for 24/7
-Air Conditioning,
-Fire safety
-Swimming pool
-Security 24hrs
View attachment 1809015View attachment 1809016View attachment 1809017View attachment 1809018View attachment 1809019View attachment 1809020View attachment 1809021View attachment 1809022View attachment 1809023View attachment 1809024View attachment 1809026
View attachment 1809025
Hata hapa wapo wahitajiHii wauziane wenyewe tu huko. Mana ukiishi huko Kila siku wewe ni mwenyeji wa wapi. Na ukifungua biashara wakikujua hawaji kwako kununua wanakukwepa Mana wewe ni kyasaka watakunyanyuaje ufaidike uwazidi.
Mikoa mwingine unapata maisha Ila sio huko ,yanai unakuwa upo Kenya. Peleka redio boma fm wakutanguzie