Tunavyojidanganya kuhusu mapinduzi huko Sri Lanka

Tunavyojidanganya kuhusu mapinduzi huko Sri Lanka

Salaam wakuu,

Hivi majuzi kumetokea vurugu huko nchini Sri Lanka baada ya wananchi kutoka kila nyanja ya maisha kuingia ikulu ya Raisi na makazi ya Waziri Mkuu kuwataka kujiuzuru na hadi wakati huu bado wananchi wanaendelea kukalia makazi na ofisi hizo hadi pale viongozi hao watakapo jiuzuru.

Kwa picha ya kawaida tunaweza sema wale ni wananchi ndio waliofanya au wanaotaka kuitoa madarakani serikali ila ukweli ni kwamba nyuma ya pazia ni kuna mkono wa mfumo na idara za usalama au nguvu toka mataifa ya nje.Wengi mataifa ya Afrika wanajidanya kuwa hata wao kuna siku wanaweza fanaya kama walivyo fanya wananchi wa Sri Lanka ukweli ni kwamba kamwe haiwezi tokea.

NB: Ukiona Raisi anapinduliwa au anauliwaa ujue kuna mkono wa idara a usalama au mataifa ya nje.
Pumba, wananchi wanapitia msoto wa maisha makali halafu wapuuzi wachache mnanenepesha makalio Tu Kwa kukwapua resources halafu unataka wakae Tu ? , Upuuzi huo upo danganyika state tu
 
Inatakiwa Tawala zinazokataliwa na raia regime nzima inyongwe hadharani maana sio kushindwa kuongoza bali walikuwa kwenye nia ya kungamiza raia so ni hukumu ya kifo tu wanastahili viongozi waliondoshwe kwa nguvu ya uma
 
Na Kwa taarifa yenu kuna nchi haya yaliyotokea Sri Lanka yatatokea na yanaendelea kutokea Argentina leo kulikuwa na maandamano na sababu ni zile zile ugumu WA maisha na uongozi mbovu + corruption, Chile , Turkey, Ecuador ,Honduras, Pakistan , Lebanon, Zimbabwe wafanyakazi wapo kwenye migomo , Cuba Hali si shwari , Venezuela , Libya ,Egypt , Brasil , Ghana pia kuna maandamano ,. Huu ni mfano WA nchi chache Tu Ila nchi nyingi zinapumulia mirija kiuchumi Kwa sasa , na ni upumbav WA viongozi WA hizo nchi kumismanage
 
Kuna watu wengi sana wanaopenda kutetea watawala wabovu kwa ujinga wa conspiracy theories za kusema kwamba matatizo ya wananchi yameletwa na mabeberu wa nje, au hata kusema hakuna matatizo kuna njama za mabeberu tu.

Dunia inaendeshwa na geopolitics.

Lakini, rais akijikojolea mwenyewe wakati kalewa huku akitoa hotuba kwa mamilioni ya watu, asisingizie mabeberu.

Nchi ina kila kitu wanataka waonyeshwe la kufanya vilema wa akili
 
Nakubaliana na wewe mkuu.

Lazima system yao iliwachoka hao viongozi wawili ila wamewaondoa kistaarabu wamewasaidia hadi kuwaficha na wameweza hata kukimbia na mabegi ya pesa.
 
Salaam wakuu,

Hivi majuzi kumetokea vurugu huko nchini Sri Lanka baada ya wananchi kutoka kila nyanja ya maisha kuingia ikulu ya Raisi na makazi ya Waziri Mkuu kuwataka kujiuzuru na hadi wakati huu bado wananchi wanaendelea kukalia makazi na ofisi hizo hadi pale viongozi hao watakapo jiuzuru.

Kwa picha ya kawaida tunaweza sema wale ni wananchi ndio waliofanya au wanaotaka kuitoa madarakani serikali ila ukweli ni kwamba nyuma ya pazia ni kuna mkono wa mfumo na idara za usalama au nguvu toka mataifa ya nje.Wengi mataifa ya Afrika wanajidanya kuwa hata wao kuna siku wanaweza fanaya kama walivyo fanya wananchi wa Sri Lanka ukweli ni kwamba kamwe haiwezi tokea.

NB:
Ukiona Raisi anapinduliwa au anauliwaa ujue kuna mkono wa idara a usalama au mataifa ya nje.
Wewe endelea kuota hujui people's power !!
Endelea kuamini ktk propaganda za kijamaa.....
 
Salaam wakuu,

Hivi majuzi kumetokea vurugu huko nchini Sri Lanka baada ya wananchi kutoka kila nyanja ya maisha kuingia ikulu ya Raisi na makazi ya Waziri Mkuu kuwataka kujiuzuru na hadi wakati huu bado wananchi wanaendelea kukalia makazi na ofisi hizo hadi pale viongozi hao watakapo jiuzuru.

Kwa picha ya kawaida tunaweza sema wale ni wananchi ndio waliofanya au wanaotaka kuitoa madarakani serikali ila ukweli ni kwamba nyuma ya pazia ni kuna mkono wa mfumo na idara za usalama au nguvu toka mataifa ya nje.Wengi mataifa ya Afrika wanajidanya kuwa hata wao kuna siku wanaweza fanaya kama walivyo fanya wananchi wa Sri Lanka ukweli ni kwamba kamwe haiwezi tokea.

NB: Ukiona Raisi anapinduliwa au anauliwaa ujue kuna mkono wa idara a usalama au mataifa ya nje.
Typical hizi ni akili duni za mtanzania anayedhani hawezi kufanya chochote bila msaada! Unadhani nchi zote zina wananchi goigoi kama sisi. Hivyo vyombo vya usalama vitaweka mkono kama wananchi wamelala huku wanabishana mambo ya Yanga na Simba kama sisi? Kwanza hujui historia ya nchi ya Sri Lanka na ni kina nani walikuwa kwenye madaraka! Rubbish!
 
Salaam wakuu,

Hivi majuzi kumetokea vurugu huko nchini Sri Lanka baada ya wananchi kutoka kila nyanja ya maisha kuingia ikulu ya Raisi na makazi ya Waziri Mkuu kuwataka kujiuzuru na hadi wakati huu bado wananchi wanaendelea kukalia makazi na ofisi hizo hadi pale viongozi hao watakapo jiuzuru.

Kwa picha ya kawaida tunaweza sema wale ni wananchi ndio waliofanya au wanaotaka kuitoa madarakani serikali ila ukweli ni kwamba nyuma ya pazia ni kuna mkono wa mfumo na idara za usalama au nguvu toka mataifa ya nje.Wengi mataifa ya Afrika wanajidanya kuwa hata wao kuna siku wanaweza fanaya kama walivyo fanya wananchi wa Sri Lanka ukweli ni kwamba kamwe haiwezi tokea.

NB: Ukiona Raisi anapinduliwa au anauliwaa ujue kuna mkono wa idara a usalama au mataifa ya nje.
Unataka kutuambia kuna mkono wa CIA
 
... ukweli ni kwamba nyuma ya pazia ni kuna mkono wa mfumo na idara za usalama au nguvu toka mataifa ya nje.Wengi mataifa ya Afrika wanajidanya kuwa hata wao kuna siku wanaweza fanaya kama walivyo fanya wananchi wa Sri Lanka ukweli ni kwamba kamwe haiwezi tokea.
Kwa hiyo unapinga kwamba mataifa ya Afrika hayawezi kupata nguvu ya idara za usalama wala mkono wa mataifa ya nje?
 
Unajaribu kuelimisha hawa raia wenye utapiamlo wa akili watakuelewa? Aliyetubania elimu alituweza kweli kweli.
Socialsm brougt us here !! Na hali inazidi kuwa mbaya , hapo mwanzo ujamaa ulitutengenezea watu wavivu , wakiamini kuwa hata wasipofanya kazi , kuna mtu atawafanya na watapata manufaa wote.
Hali ilipofikia sasa ni kuwa hata kufikiri kwa kawaida tu , jamii inaamini kuwa viongozi wanaweza kufikiri kwa niaba yao.
 
Na hata ukitazama mwelekeo wa mahojiano uliyoyagusia hapo juu kuhusu ushiriki wa China, chombo hicho cha BBC ni kama kinapalilia nadharia ile ile ya nchi za Magharibi dhidi ya hizi nyingine zinazoibuka, kama China. Ni kama vita baridi inarudi palepale pa zamani.

Suala la China kukopesha fedha nyingi Sri Lanka kwa mikopo mibaya isiyolipika ni fact, na limesemwa na watu wengi.

BBC haikusababisha China kuikopesha Sri Lnka hela nyingi kwa mikopo isiyolipika.

Na hicho ndicho alichojibu mwanasiasa huyo wa Sri Lanka, kwamba wanasiasa wa Sri Lanka wamefanya maamuzi mabaya, hilo halikwepeki.

Huko nje hata kama kuna mbinu za ku undermine Sri Lanka, hiyo ni fact ya dunia tu, ni geopolitics.

Kinachotakiwa ni Sri Lanka kuwa na wanasiasa wanaojua kuitetea nchi yao, na si kuacha nchi yao inateketea kiuchumi huku wao wakivimbisha matumbo yao, halafu wakifurushwa, walalamike kuna mabeberu huko nje.

Yani, ni kama vile unajua huu uwanja una miba na mbigiri nyingi, halafu unao uamuzi wa kuvaa viatu, halafu unakataa kuvaa viatu. Halafu ukichomwa na miba, unalalamika uwanja una miba mingi.

Uwanja kuwa na miba ni fact, wewe umejilinda vipi na hiyo miba? Kwa nini miba ikuchome wewe na si jirani yako?
 
Suala la China kukopesha fedha nyingi Sri Lanka kwa mikopo mibaya isiyolipika ni fact, na limesemwa na watu wengi.

BBC haikusababisha China kuikopesha Sri Lnka hela nyingi kwa mikopo isiyolipika.

Na hicho ndicho alichojibu mwanasiasa huyo wa Sri Lanka, kwamba wanasiasa wa Sri Lanka wamefanya maamuzi mabaya, hilo halikwepeki.

Huko nje hata kama kuna mbinu za ku undermine Sri Lanka, hiyo ni fact ya dunia tu, ni geopolitics.

Kinachotakiwa ni Sri Lanka kuwa na wanasiasa wanaojua kuitetea nchi yao, na si kuacha nchi yao inateketea kiuchumi huku wao wakivimbisha matumbo yao, halafu wakifurushwa, walalamike kuna mabeberu huko nje.

Yani, ni kama vile unajua huu uwanja una miba na mbigiri nyingi, halafu unao uamuzi wa kuvaa viatu, halafu unakataa kuvaa viatu. Halafu ukichomwa na miba, unalalamika uwanja una miba mingi.

Uwanja kuwa na miba ni fact, wewe umejilinda vipi na hiyo miba? Kwa nini miba ikuchome wewe na si jirani yako?
Heri yao Sri Lanka, kama wameweza kutambua "uwanja wao una mbigiri" na kufanya uamzi wa kuondoa hiyo miba.

Huku kwingine hadithi ni zile zile za "mabeberu", au "bila mabeberu nchi yetu haiwezi kupata maendeleo"
Hatuwezi kukosa wa kumlaumu, ila hatuwezi kujilaumu wenyewe.
 
Salaam wakuu,

Hivi majuzi kumetokea vurugu huko nchini Sri Lanka baada ya wananchi kutoka kila nyanja ya maisha kuingia ikulu ya Raisi na makazi ya Waziri Mkuu kuwataka kujiuzuru na hadi wakati huu bado wananchi wanaendelea kukalia makazi na ofisi hizo hadi pale viongozi hao watakapo jiuzuru.

Kwa picha ya kawaida tunaweza sema wale ni wananchi ndio waliofanya au wanaotaka kuitoa madarakani serikali ila ukweli ni kwamba nyuma ya pazia ni kuna mkono wa mfumo na idara za usalama au nguvu toka mataifa ya nje.Wengi mataifa ya Afrika wanajidanya kuwa hata wao kuna siku wanaweza fanaya kama walivyo fanya wananchi wa Sri Lanka ukweli ni kwamba kamwe haiwezi tokea.

NB: Ukiona Rais anapinduliwa au anauliwa ujue kuna mkono wa Idara a Usalama au mataifa ya nje.
Walijaribu kwa jiwe wakaangukia pua
 
mode ya kulinda usalama ni tofauti namsifu samia Kila wilaya wapo watu 1260 politely ambao wapo na shughuli zao za kawaida ila wakifanya kazi ya serikali kwa weledi na wengine hawajuani.

Mpango mwingine ni wa kuweka vituo bubu vya usalama kila mita 500 ndani ya majiji na miji

Hahaa uongo wenye upumbavu ndani yake.

Nani anaweza kuajiri watu 1260 kila wilaya?

Tena hawajuani? We umewajuaje? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom