Tunawasaidiaje wapenzi wetu wanaotoa harufu mbaya ukeni wakati wa tendo?

Tunawasaidiaje wapenzi wetu wanaotoa harufu mbaya ukeni wakati wa tendo?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Niliwahi kuwa na mrembo fulani mzuri kweli kweli, lakini sasa wakati wa tendo ile harufu hata ukioga IPO tu. Mwisho wake niliamua kumuacha kimyakimya.

Najua wako wengi wenye hiyo changamoto. Tunawasaidiaje?
 
Hili nalo linazidi kuwa janga.

Kuna Dada mmoja n mteja wangu anafanya ofisi X sijui huko ofisini wanashindaje nae 😑

Sijui Kama analijua tatizo lake maana hata ukikaa nae karibu unaipata harufu.

Ni mzuri ila changamoto yake ni hiyo ameshanitongoza zaidi ya mara 3 ila simpi ushirikiano wowote.

Nadhan wenye changamoto hii wanastruggle Sana kupata wenza na kudumu nao kwenye mahusiano.
 
Cha kumsaidia hapo kama kweli unampenda mwambie unajihisi kama una UTI kwa hiyo muende wote hospital mkapime muanze dozi, mkifika hospital pimeni magonjwa yote hadi ya zinaa, yeye lazima ataonekana na fangasi na hapo hapo ataanzishiwa dozi,

Harufu mbaya ukeni ni fangasi na wengi hawatumii dawa vizuri na kufata masharti hadi inakua sugu.
 
Cha kumsaidia hapo kama kweli unampenda mwambie unajihisi kama una UTI kwa hiyo muende wote hospital mkapime muanze dozi, mkifika hospital pimeni magonjwa yote hadi ya zinaa, yeye lazima ataonekana na fangasi na hapo hapo ataanzishiwa dozi,

Harufu mbaya ukeni ni fangasi na wengi hawatumii dawa vizuri na kufata masharti hadi inakua sugu.
Trichomonas vaginatis(trichomoniasis) unaijua?..Harufu ile mbaya sana sio ya fangasi..hapo ni kumeza tu antiprotozoa kama Metronidazole,Tinidazole,Ornidazole..

Kama ni Chlamydia au bacterial vaginosis nyingine antibiotics zitahusika..

Shida ya wadada wanadhani harufu mbaya ni UTI..yaani kila kitu ni UTI..kumbe sio hivyo
 
Trichomonas vaginatis unaijua?..Harufu ile mbaya sana sio ya fangasi..hapo ni kumeza tu antiprotozoa kama Metronidazole,Tinidazole,Ornidazole..

Kama ni Chlamydia antibiotics zitahusika..

Shida ya wadada wanadhani harufu mbaya ni UTI..yaani kila kitu ni UTI..kumbe sio hivyo
Uko sahihi na madaktari wengi mnacheza na akili zao,kila ugonjwa mnawaambia ni UTI
 
Trichomonas vaginatis unaijua?..Harufu ile mbaya sana sio ya fangasi..hapo ni kumeza tu antiprotozoa kama Metronidazole,Tinidazole,Ornidazole..

Kama ni Chlamydia antibiotics zitahusika..

Shida ya wadada wanadhani harufu mbaya ni UTI..yaani kila kitu ni UTI..kumbe sio hivyo

Atamezaje dawa bila kupima? ni lazima aende kituo cha Afya akapime ndio apate dawa,

UTI haitoi harufu mbaya ukeni atajijua kwenye kukojoa
 
Sijui nitatumia mbinu gani natamani nimwambie ila nitaanzaje asijisikie vibaya? Atahisi ndio sababu ya kutompa ushirikiano wa maombi yake kwangu.
Kwa kua amekutongoza huyo tayari una mmudu mwambie ili umkubalie mkapime kwanza Afya kwa maana ya magonjwa yote hasa ya Zinaa, akikubali tu, mwambie aende hospital na akuletee majibu na wewe utampa yako,

Simple tu.
 
Back
Top Bottom