Tunawasaidiaje wapenzi wetu wanaotoa harufu mbaya ukeni wakati wa tendo?

Tunawasaidiaje wapenzi wetu wanaotoa harufu mbaya ukeni wakati wa tendo?

Kuna mtu anaizoea harufu mbaya? Ukikaa karibu na choo kinachonuka kuna mda unaizoea ile hali? Na ukawa sawa kabisa
Mimi nasema wapo, mfano huyo huyo kama wewe unaisikia harufu ina maana hata yeye anaisikia ila anajipa moyo kua anaipata peke yake, na wanawake wengi huona aibu kujieleza hali zao za uke hospital hapo ukute anajisweka mavitunguu saumu, maziwa mtindi, ndio wanavyoshauriana huko kwenye vikundi vyao,

Unakuta mwingine ananuka jasho kali na wala hastuki bado wale wanaonuka mdomo uwiiii, mimi kwa kweli siwezi kuvumilia harufu mbaya nitamwambia tu mtu akichukia na achukie ila ajue.
 
Sasa mna kuaje na dem ambae huwezi ata kumfungukia ukweli wanaume wa siku hizi wengi maboya kweli ujasiri zero..

me kuna kipindi nilkua naye wala hai kunipa shida nli mwambia ukweli akaenda hospital tatizo lilikua ni fungus ,hadi leo ana nikubali sana wala hana tena iyo shida, Na msicho kijua wao wana kuaga hawa i sense iyo harufu kabsaa yani tuna isikia sisi tu lakini wao hawa iskiii kabsaa

NT
Kipindi hiki uki mwambia tu kuhusu iyo tatzo ata elewa haraka maana sio jipya kama miaka ile wengi wamesha sikia story zake wala sio big issue
 
Mimi nasema wapo, mfano huyo huyo kama wewe unaisikia harufu ina maana hata yeye anaisikia ila anajipa moyo kua anaipata peke yake, na wanawake wengi huona aibu kujieleza hali zao za uke hospital hapo ukute anajisweka mavitunguu saumu, maziwa mtindi, ndio wanavyoshauriana huko kwenye vikundi vyao,

Unakuta mwingine ananuka jasho kali na wala hastuki bado wale wanaonuka mdomo uwiiii, mimi kwa kweli siwezi kuvumilia harufu mbaya nitamwambia tu mtu akichukia na achukie ila ajue.
kwenye ishu ya afya mtu unaogopea nini kueleza ili upate msaada kwa sababu kadri mda unavyoenda ndio hali inazidi kuwa mbaya.

Mimi pia siwezi na sipendi ila ugumu unakuja kwenye namna ya kumwambia.
 
Niliwahi kuwa na mrembo fulani mzuri kweli kweli,lakini sasa wakati wa tendo ile harufu hata ukioga IPO tu.mwisho wake niliamua kumuacha kimyakimya.

Najua wako wengi wenye hiyo changamoto. Tunawasaidiaje?
Mwaka Jana nilikuwa nimetoka kuoa Mwanamke ambae alikuwa na tatizo Kama Hilo nilivumilia Sana Ila badae ikabidi nimwambie ukweli nikihofia tatizo like lisije likaathiri Hadi afya ya uzazi kumbe alikuwa na fungal infection na aliumia Sana Ila alikubali ukweli na nikaensa nae kituo Cha afya ambapo waligundua tatizo Hilo na kumpa dose ikiwemo VAGINAL CREAM ANTI FUNGAL ambayo alikuwa anapaka sehemu za Siri kwa wiki nzima no sex at that period...baada ya wiki tatizo liliisha and we enjoy the thing.
 

Attachments

  • R.jpeg
    R.jpeg
    72.3 KB · Views: 33
Kuna wanaoesema ile harufu kama dagaa wa ferry ndio inawapa stimu ya kunyandua papa vizuri😂😂😂😂😂. Hapo nenda duka la dawa kunandawa inauzwa 10k inakiua cha pinki inahusika na mambo ya uke anaisukuma ile dawa kwenye uke kulingana na maelezo ya duka la dawa. Mm nilisharuka na mlupo wangu ukawa unanuka sikuogopa kumwambia nikamnunulia na dawa hiyo mpka leo demu ananiheshimu sana japo kashasepa na zake ila nilisaidia kumpa tiba ya harufu mbaya
 
Mwingine ukipanua mapaja yake uke wake ukafunguka utachokutana nacho ni htr zaidi utaanza kujuta kwann umepanua mapaja yake mwanamke yeyote wa aina hii kupata mahusiano ya kudumu ni ngumu kama unajijua upo mwanamke watembelee matabibu wa uzazi wakushauri juu ya nn chakufanya +255686282545 WhatsApp watakusaidia pia wanaosikia maumivu wakati wa tendo la ndoa msisite kuwaona
 
Cha kumsaidia hapo kama kweli unampenda mwambie unajihisi kama una UTI kwa hiyo muende wote hospital mkapime muanze dozi, mkifika hospital pimeni magonjwa yote hadi ya zinaa, yeye lazima ataonekana na fangasi na hapo hapo ataanzishiwa dozi,

Harufu mbaya ukeni ni fangasi na wengi hawatumii dawa vizuri na kufata masharti hadi inakua sugu.
Ulishawahi kupata tatizo husika? Maana nimevutiwa na maelezo uliyotoa hapo
 
Cha kumsaidia hapo kama kweli unampenda mwambie unajihisi kama una UTI kwa hiyo muende wote hospital mkapime muanze dozi, mkifika hospital pimeni magonjwa yote hadi ya zinaa, yeye lazima ataonekana na fangasi na hapo hapo ataanzishiwa dozi,

Harufu mbaya ukeni ni fangasi na wengi hawatumii dawa vizuri na kufata masharti hadi inakua sugu.
Harufu si kutokua msafi. Hakikisha anaoga kabla ya tendo
 
Nyapu zinakaharufu flani,Zina kaharufu kanakovutia na kale kanako kera kisa uchafu aka kisamaki.Ila kuna zile zinatema kama panya kafia ndani,mostly ukichunguza utakuta katoa mimba kienyeji na hawakusafisha vyema.Kuna pisi Moja nlikuwa nayo field mkoa x,ofisini kila mtu akawa anamkwepa kisa anatema,zikaanza za ndani kuwa katoa mimba,ye mwenyewe akawa hata hajui anatikisa tu Tako na alikuwa nalo kweli ndio kisa nikatupa ndoano,na kwakuwa wengi walimkwepa Hadi wahuni,competition ikawa rahisi.Jioni tumebaki boardroom,piga mate,Ile napima oil mtoto Wala hapingi naskia tu miguno,ila kifupi nlivyochomoa kidole Ilikuwa mwanzo na mwisho,wa mazoea na kidole kilinuka wiki 2.Ila alikuja kupona baada ya madem wenzie kumkalisha chini.
 
Back
Top Bottom