Tunawasaidiaje wapenzi wetu wanaotoa harufu mbaya ukeni wakati wa tendo?

Tunawasaidiaje wapenzi wetu wanaotoa harufu mbaya ukeni wakati wa tendo?

A:
1. Tab Fluconazole 150mg every 72hours x 3 doses,
then 150mg weekly for 6months
au
2.Tab Itraconazole 200mg twice daily x 3 days,
then 200mg daily x 6 months.

B:
1. Boric acid 600mg intravaginally daily for 3weeks
au
2. Flucytosine 15.5% vagina cream daily x 2weeks
au
3.Amphotericin B 50mg vaginal suppository daily x 2 weeks

Atumie
1. aina moja ya kunywa from group A
2. Aina moja ya kuweka ukeni from group B
 
A:
1. Tab Fluconazole 150mg every 72hours x 3 doses,
then 150mg weekly for 6months
au
2.Tab Itraconazole 200mg twice daily x 3 days,
then 200mg daily x 6 months.

B:
1. Boric acid 600mg intravaginally daily for 3weeks
au
2. Flucytosine 15.5% vagina cream daily x 2weeks
au
3.Amphotericin B 50mg vaginal suppository daily x 2 weeks

Atumie
1. aina moja ya kunywa from group A
2. Aina moja ya kuweka ukeni from group B
Huu ni msaada mkubwa Sana Kwa hawa wenzetu😀Japo wanapita kwenye huu Uzi kimya kimya,Ila kuna waliokosa mume sababu ya harufu
 
Niliwahi kuwa na mrembo fulani mzuri kweli kweli,lakini sasa wakati wa tendo ile harufu hata ukioga IPO tu.mwisho wake niliamua kumuacha kimyakimya.

Najua wako wengi wenye hiyo changamoto. Tunawasaidiaje?
Bacteria Vaginosis ndiyo hupelekea Vaginal odor (usitumie neno stink au kunuka).
Hiyo husababishwa bacterial inbalance, bad bacterial wakiingia ukeni na hupelekea mapambano na bacteria wanaolinda uke au ule mchangamano wao ndiyo hupelekea inbalance inaykwenda ku trigger hiyo Vaginal odor.
Bacteria hao huingia ukeni unapoanza kushirikiana na mpenzi mpya, au mwanamke anapokua anashirikiana na wapenzi tofauti tofauti, pia mapenzi ya kunyonywa uke kwa mdomo
Kama wewe ni mwanamke na unafanya yote hayo na haujawahi kupata, hii haimaanishi kuwa ni uongo, bali ni kiashiria kwamba una strong immune na pH yako ipo on.
Kingine kinachosababisha harufu ni vile vyote vinavyoweza kusababisha vagina pH kuwa off, mfano kupaka deodorant around vigina au other products, kuosha vagina kwa sabuni, kumbuka, vigina inatakiwa kuoshwa na maji tu, vagina ni kama jicho kitabia, pia treatment yake.
Kisichotakiwa kugusa jichoni, hicho pia hakitakiwi kuugusa uke.

Pia, unywaji kidogo wa maji na kuwa na mazoea ya kwenda haja ndogo pasipo kujisafisha.

Kutibu hivi ni kuanza kutenda kinyume chake
 
Trichomonas vaginatis(trichomoniasis) unaijua?..Harufu ile mbaya sana sio ya fangasi..hapo ni kumeza tu antiprotozoa kama Metronidazole,Tinidazole,Ornidazole..

Kama ni Chlamydia au bacterial vaginosis nyingine antibiotics zitahusika..

Shida ya wadada wanadhani harufu mbaya ni UTI..yaani kila kitu ni UTI..kumbe sio hivyo
Asante Mganga!
Naunga Mkono Hoja...Akienda Hosp kwenye LaB za Uhakika avanye High Vaginal Swab. But, Regardless of the test Result. Antiprotozoa ndio chagua sahihi la matibabu.
 
Kuna wale Wana harufu halafu Yale maji maji yao yakulowanishe kwenye makende yanawasha kinoma Yani yanawasha mfano wa acid.
Ukiona hivyo umetembea na demu afu anatoa majimaji ambayo yanagusa kende zako afu zinaanza kuwasha "JUA WEWE NDIYO UNA TATIZO LA FUNGUS KWENYE KENDE ZAKO SEMA TU HAZIJAANZA KUJITOKEZA KWENYE NGOZI YA PUMBU ILA HAO FUNGUS WANA REACT ILE ACID YA MAJIMAJI YA UKENI" Nunua Vitamin B complex za 500 mkuu meza alafu rudi kwa huyo mwanamke uone kama kengele zitawasha tena..
 
Ukiona hivyo umetembea na demu afu anatoa majimaji ambayo yanagusa kende zako afu zinaanza kuwasha "JUA WEWE NDIYO UNA TATIZO LA FUNGUS KWENYE KENDE ZAKO SEMA TU HAZIJAANZA KUJITOKEZA KWENYE NGOZI YA PUMBU ILA HAO FUNGUS WANA REACT ILE ACID YA MAJIMAJI YA UKENI" Nunua Vitamin B complex za 500 mkuu meza alafu rudi kwa huyo mwanamke uone kama kengele zitawasha tena..
Mkuu Sina fungus nipo fresh shida ni huyo demu yeye mwenyewe anajijua kama ni hivo hata sabuni zingekuwa zinaniwasha maana Zina acid pia.
 
Trichomonas vaginatis(trichomoniasis) unaijua?..Harufu ile mbaya sana sio ya fangasi..hapo ni kumeza tu antiprotozoa kama Metronidazole,Tinidazole,Ornidazole..

Kama ni Chlamydia au bacterial vaginosis nyingine antibiotics zitahusika..

Shida ya wadada wanadhani harufu mbaya ni UTI..yaani kila kitu ni UTI..kumbe sio hivyo
Umeeleweka mtaalamu
 
Ndio maana tunashauriwa
IMG-20230626-WA0002.jpg
 
Hivi hii hali ya mwanamke kunuka shombo la samaki kunako faragha ni kawaida au ni ugonjwa?

Kuna siku moja nilikua na mwanamke tukivunja amri ya sita sasa katika ile in and out nikaanza kuskia harufu ya shombo la samaki utadhani tupo kivukoni kwenye soko la samaki.

Ile hali kiukweli kila ilipokua inaanza ilinikata sana stimu ya kuendelea kunyanduana

Nilidhani huenda labda siku ile yule mwanamke huenda hajajisafisha vizuri lakini hata siku nyingine nilipokutana nae faragha hali ilikua ni ileile hali iliyopelekea mpaka leo nimpotezee na nikwepe kukutana nae.

Je, hali hii kwa wanawake huwa ni maumbile tu au ni ugonjwa? Mana ikianza wakati tuko faragha inakata stimu ile mbaya ya kuendelea kuchakata mbususu.

Kuna yoyote humu ashawahi kukutana na hali kama hii?
 
Back
Top Bottom