Tunawasaidiaje wapenzi wetu wanaotoa harufu mbaya ukeni wakati wa tendo?

Tunawasaidiaje wapenzi wetu wanaotoa harufu mbaya ukeni wakati wa tendo?

Mada kama hii ilishajadiliwa sana humu, tafuta nyuzi zake utapata majibu yote Mkuu...

Source kubwa ni Uchafu au Ugonjwa...kama alijisafisha vizuri kabisa siku ya pili basi nakushauri mkamwone daktari wa wanawake anaweza kumsaidia

Ni vizuri umsindikize kuonesha upendo na kujali
 
Hivi hii hali ya mwanamke kunuka shombo la samaki kunako faragha ni kawaida au ni ugonjwa?

Kuna siku moja nilikua na mwanamke tukivunja amri ya sita sasa katika ile in and out nikaanza kuskia harufu ya shombo la samaki utadhani tupo kivukoni kwenye soko la samaki.

Ile hali kiukweli kila ilipokua inaanza ilinikata sana stimu ya kuendelea kunyanduana

Nilidhani huenda labda siku ile yule mwanamke huenda hajajisafisha vizuri lakini hata siku nyingine nilipokutana nae faragha hali ilikua ni ileile hali iliyopelekea mpaka leo nimpotezee na nikwepe kukutana nae.

Je, hali hii kwa wanawake huwa ni maumbile tu au ni ugonjwa? Mana ikianza wakati tuko faragha inakata stimu ile mbaya ya kuendelea kuchakata mbususu.

Kuna yoyote humu ashawahi kukutana na hali kama hii?
yaani unataka kusema alipojichanua au kujibenjua tu kunako 6kwa6 ukahisi feri ya magogoni imehamia magetoni au mi ndo sijaelewa?
 
Nilienda Morogoro nikakutana na mtoto mmoja wa Singida anatoa harufu siielewi. Siku ya kwanza nikajilazamisha siku ya pili alipofika nikamlazimisha aingie bafuni, niligundua ni mchafu. Bado harufu ikawepo.

Kesho yake nikaenda kula ugali samaki nikachagua mkubwa kumbe ni wale wanaitwa perege. Kuweka mdomoni hivi harufu ya yule demu hii hapa, ileile kabisa. Nikaachana na perege sijawahi kula tena. Sikupata connection ya yeye kula perege na kutoa harufu yake ileile. Nilimuuliza akadai huwa anapenda sana hao samaki. Nilimuacha instantly.
 
Back
Top Bottom