Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pisi kali ndo hawanuki au?We zombie......
Unajua haya maisha yapo too aggressive....unapata pisi kulingana na financial status Yako .....
so tafuta pesa mkuu.....utapata pisi Kali
Elewa swaliWe zombie......
Unajua haya maisha yapo too aggressive....unapata pisi kulingana na financial status Yako .....
so tafuta pesa mkuu.....utapata pisi Kali
yaani unataka kusema alipojichanua au kujibenjua tu kunako 6kwa6 ukahisi feri ya magogoni imehamia magetoni au mi ndo sijaelewa?Hivi hii hali ya mwanamke kunuka shombo la samaki kunako faragha ni kawaida au ni ugonjwa?
Kuna siku moja nilikua na mwanamke tukivunja amri ya sita sasa katika ile in and out nikaanza kuskia harufu ya shombo la samaki utadhani tupo kivukoni kwenye soko la samaki.
Ile hali kiukweli kila ilipokua inaanza ilinikata sana stimu ya kuendelea kunyanduana
Nilidhani huenda labda siku ile yule mwanamke huenda hajajisafisha vizuri lakini hata siku nyingine nilipokutana nae faragha hali ilikua ni ileile hali iliyopelekea mpaka leo nimpotezee na nikwepe kukutana nae.
Je, hali hii kwa wanawake huwa ni maumbile tu au ni ugonjwa? Mana ikianza wakati tuko faragha inakata stimu ile mbaya ya kuendelea kuchakata mbususu.
Kuna yoyote humu ashawahi kukutana na hali kama hii?
We zombie......
Unajua haya maisha yapo too aggressive....unapata pisi kulingana na financial status Yako .....
so tafuta pesa mkuu.....utapata pisi Kali
tratratataaaaa 🤣na hapo kishakuchuna kinoma, siku ya marudisho papuchi uvundo
kiwolper aka kisamaki
Jirani jirani.....Hamna kawaida kwenye harufu mbaya, labda dampo.
Muende hospitali.
Hahahaaaaa.......daahMchagua jembe si mkulima
Aaiii jirani nimecheka!Jirani jirani.....
Ebu acha kuingilia mambo ya vijana, ebu pitia hapa simba hotel tusalimiane kwane