Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Nikweli wengi gorofani hamna kituMkuu leo mchana tulikua na huo mjadala! Mtu anaanza kumlaumu tu Lissu namuuliza hivi unajua Lissu kaanza hizi harakati za madini lini? Hana jibu! Namuuliza wewe binafsi Lissu amewahi kukukosea nini mpaka unamchukia? Hana jibu!
Nilichokuja kugundua watu wengi wanaomchukia Lissu Wana uwezo mdogo sana kichwani kureason..(Mtanisamehe kwa hili)
Lengo la serikali halikua hiyo pesa, lengo kuu ilikua kuwaludisha Acacia barabarani,
Na ilifanikiwa, maana mikataba iliangaliwa upya hadi ikazaliwa Twiga,
So ukisema serikali ilidanganya watu hautokua sahihi.
4.Aliyetaka kumuua katoweka yeye, Mungu mkubwa.Mungu anasema maono ya lissu yapo na wamtakiao mabaya watashudia utukufu wa Mungu juu yake iwe mvua au jua ,wamekufa au WAKO hai, jiulize
1. Kapigwa risasi zaidi ya risasi za kumuua mnyama yeyote Dunian ila yupo, na anadunda pamoja na surgery kibao ambazo wenda zinavunja record, katika ulimwengu wa tiba ,25
2. Amenyimwa pesa ya matibabu, ya kujikim ila Ndo bado leo kavaa suti kali na imemkaa mwilini sawasawa,
3. Mkasema enzi za mwendazake haludi nchini, ebo ,mwanaume kaja mchana kweupe, kavuka vikwazo vyote vya nec, nakuanza kimbiza mwizi Kimia kimia bila huruma,
Lissu sio tumuonavyo huyu ni mshindi, alisema mchungaji mmoja,
Subilin wakati ,mda ,dakika muone utukufu wa Mungu ulivyo wa ajabu, ipo siku yaja
Kiufupi hakuna Mtanzania aliyepigania haki za mikataba ya madini kumzidi Tundu Lissu toka Tanganyika ipate uhuru toka kwa Mkoloni Mwingereza.Baadhi ya Watanzania wenzetu wana matatizo sana. Wanapenda kushadadia mambo bila kufanya tafakuri.
Kama mtu anasema mtapata hasara mkivunja mkataba fulani ndio apigwe risasi?
Mtu akisema tutumie akili kudili na masuala ya kisheria ndio apigwe masasi?
Serikali hii hii inatakiwa kumlipa Lissu stahiki zake. Ndio hii hii serikali iliyo mfanyia kitu mbaya.
..YES.
..acacia waliishtaki serikali ya Tz.
..kesi ilisitishwa baada ya barrick kununua hisa za minority share holders wa acacia.
..na madai ya usd 191 billion ya serikali dhidi ya acacia nayo yameyeyuka.
..TUMETAPELIWA.
Mkuu naomba ushahidi ni kipindi gani katika utawala wa JK alianza mazungumzo ambayo baadae yakaja kuzaa Twiga..huwezi ku-negotiate kwa kuwa na madai ya uongo, au yasiyo make sense.
..serikali ilikuwa inasema mambo mengi ya uongo ktk vyombo vya habari ili kuwapumbaza wananchi.
..lakini naamini ktk majadiliano ndiko mbivu na mbichi zilipojulikana.
..na ukiangalia mkataba ambao serikali imesaini na barrick ni kitu tofauti kabisa na madai waliyokuwa wanawatangazia wananchi.
..hata kampuni ya Twiga imeanzishwa kwasababu ya mabadiliko ya sheria yaliyofanyika wakati wa JK na siyo vurugu alizokuwa akifanya Jpm.
..tatizo la Jpm ni kwamba hata akisema ukweli lazima adanganye; kufanya jambo la heri lazima atumie shari. Na hicho ndicho kilichotokea ktk " mgogoro " wetu na acacia.
NB:
..acacia ni kampuni iliyoanzishwa na barrick. Lakini serikali ilikuwa inajenga taswira kwamba barrick ni wasafi na acacia ni wachafu.
Mkuu naomba ushahidi ni kipindi gani katika utawala wa JK alianza mazungumzo ambayo baadae yakaja kuzaa Twiga
Simdharau JK, amefanya kazi kubwa sana kwenye utawala wake.
Wakati mwingine unajiuliza, uhuru tulioutaka sana kutoka kwa wakoloni ulikuwa wa kazi gani? Kama mwaka 1920 watu walishindwa kutoa maoni au kuwa na mawazo yanayokinzana na watawala, na leo 2020 bado ni makosa kuwa tofauti na watawala, uhuru wetu ulikuwa wa kazi gani?Mkuu leo mchana tulikua na huo mjadala! Mtu anaanza kumlaumu tu Lissu namuuliza hivi unajua Lissu kaanza hizi harakati za madini lini? Hana jibu! Namuuliza wewe binafsi Lissu amewahi kukukosea nini mpaka unamchukia? Hana jibu!
Nilichokuja kugundua watu wengi wanaomchukia Lissu Wana uwezo mdogo sana kichwani kureason..(Mtanisamehe kwa hili)
Nilitaka ushahidi mkuu, ila poa nimekuelewa..shares za serikali ktk kampuni ya Twiga sheria yake iliandikwa wakati wa JK.
..kama utakumbuka JK naye aliunda tume ya madini na bunge lilifanyia marekebisho sheria ya madini.
Nahisi sisi Watanzania ni special edition hapa duniani, namna yetu ya kufikiri, kuchanganua na kureact iko tofauti sana na binadamu wengine hapa chini ya Jua!Wakati mwingine unajiuliza, uhuru tulioutaka sana kutoka kwa wakoloni ulikuwa wa kazi gani? Kama mwaka 1920 watu walishindwa kutoa maoni au kuwa na mawazo yanayokinzana na watawala, na leo 2020 bado ni makosa kuwa tofauti na watawala, uhuru wetu ulikuwa wa kazi gani?
Tuko huru au tumebadilisha wakoloni?
Nilitaka ushahidi mkuu, ila poa nimekuelewa
Ila pamoja na kazi kubwa aliyoifanya JK, hatupaswi kuudharau mchango wa JPM hata kama tunamchukia,
Kuhusu mapitio ya sheria kipindi kile nakumbuka ilihusu zaidi Gas mkuu.
Mimi baharia huwa napenda sana kufumua miku...ndu ya nzi wa lumumbqMkuu unatafuta wa kukutomba?
Dada nyonyesha mtoto,au nkunyonyeshe mkuyenge wangu utulize genyeHahaha umemnyoosha huyo nyumbu
(Mtanisamehe kwa hili)
Uko sawa mkuu. Shauri yao watakaoona umewakosea. Huna haja ya kuwabembelezaMkuu leo mchana tulikua na huo mjadala! Mtu anaanza kumlaumu tu Lissu namuuliza hivi unajua Lissu kaanza hizi harakati za madini lini? Hana jibu! Namuuliza wewe binafsi Lissu amewahi kukukosea nini mpaka unamchukia? Hana jibu!
Nilichokuja kugundua watu wengi wanaomchukia Lissu Wana uwezo mdogo sana kichwani kureason..(Mtanisamehe kwa hili)
Good and well said.Kiufupi hakuna Mtanzania aliyepigania haki za mikataba ya madini kumzidi Tundu Lissu toka Tanganyika ipate uhuru toka kwa Mkoloni Mwingereza.
Kama uzalendo ungekuwa unapimwa kwa kutetea haki za madini kwa wazawa basi Tundu Lissu angekuwa ndiye Mzalendo Namba 1. Msidanganywe na propaganda za Magufuri na Kabudi.
Atakayebisha hili anaweza hata akamkataa mama yake aliyemzaa. Tafuta hata mapendekezo ya Tume ya Bomani, Time ya Mruma au Tume ya Lawrence Masha. Wote recommendations zao ni zile zile ambazo Lissu amwweka kwenye Tafiti zake au machapisho yake