Hebu lete story zaidi juu ya hii habari yako kiongozi. Au wapi naweza kusoma zaidi juu ya haya uliyoandika?Watu aina ya Lisu hata Congo pale wako wengi sana ana wamejazana ubelgiji!
Kila Congo ikijaribu kujikwamua kwenye makucha ya mabeberu kina Lisu wanaibuka na vurugu juu
HujitambuiUnao ushahidi juu ya kuhusika kwa serikali? Mpo kwenye lichama linaendeshwa kihuni tu kujichachawangwe afu mnatuletea mazingaombwe yenu sisi😡! TL alikuwa analipwa na acacia kutetea wizi😡! TL kahusika ktk kukamatwa ndege zetu! TL kakejeli ndege zetu! TL na Zito walihusika kutaka kuwazuia wahisani kuleta misaada! TL katutukania marais wetu wapendwa(JK Nyerere na JPJM (may the precious souls these great African heros rest in eternal peace and power, amen🙏)katutukania nchi yetu, na katutukana watz wote😡! Unasema siyo msaliti🤔😡😜😂🤣😂! Kwako msaliti ni nani vile😜!? Watz hatudanganyiki 😜!
Kisha wakaondoa walinzi wa serikali makazi ya wabunge, wakakataa kumtibu na kumvua ubunge et!!!Labda mtuambie kwanini nyie CHADEMA mlimpiga lissu risasi?
Mkuu najua wewe si mgeni kwenye siasa za TZ, nakuhakikishia Tundu angekua serikalini kipindi kile zile kelele zake usingezisikia,..wakati Lissu anayapigania madini Jpm si alikuwa bungeni akipiga kura na wana-ccm wenzake kuunga mkono sheria na mikataba inayoliumiza taifa?
..alikuwa anasubiri Uraisi ndipo atetee rasilimali zetu? Asingepata Uraisi angekufa akiwa msaliti aliyeunga mkono mikataba mibovu ya madini, gesi, na mafuta?
..Ni bahati mbaya sana kulikuwa na mtizamo kwamba ili watu fulani waibuke mashujaa lazima Lissu achafuliwe, apewe majina mabaya, na apotezwe ktk uso wa dunia.
Ni kweli Tundu alikuwa mwanasheria wa ao wachimba madini?Baadhi ya Watanzania wenzetu wana matatizo sana. Wanapenda kushadadia mambo bila kufanya tafakuri.
Kama mtu anasema mtapata hasara mkivunja mkataba fulani ndio apigwe risasi?
Mtu akisema tutumie akili kudili na masuala ya kisheria ndio apigwe masasi?
Serikali hii hii inatakiwa kumlipa Lissu stahiki zake. Ndio hii hii serikali iliyo mfanyia kitu mbaya.
Kuna baadhi wanalishwa matango pori, wengi wao ni waovu wanaogopa sana mtu kama Lisu kuchukua Nchi kwa gharama yoyote ni lazima wa mchafue siku akiapishwa kuwa raisi atafufua makaburi kuanzia mika ya 60 ccm waoga wa kurudisha hela walizopiga tangu uhuru chuki inaanzia hapoMkuu leo mchana tulikua na huo mjadala! Mtu anaanza kumlaumu tu Lissu namuuliza hivi unajua Lissu kaanza hizi harakati za madini lini? Hana jibu! Namuuliza wewe binafsi Lissu amewahi kukukosea nini mpaka unamchukia? Hana jibu!
Nilichokuja kugundua watu wengi wanaomchukia Lissu Wana uwezo mdogo sana kichwani kureason..(Mtanisamehe kwa hili)
Yani mkimgusa huyo wanakushambulia kama ukoma! Na sina hakika kama atarudi zaidi atafichwa kwa nguvu zoteIvi dereva wa Lissu amewahi kurudi nchini? Nauliza tu kwa anayejua
Dah sema JF imeharibika aiseeTeuzi zimekupitia pembeni,subiria kazi ya kulinda kaburi chato
Aisee kipindi Serikali ya JPM zilishuka nyuzi nyingi za kumlamu kuwa atakimbiza wawekezaji wa madini kisa hizo sheria zilizotungwa katika awamu yake..shares za serikali ktk kampuni ya Twiga sheria yake iliandikwa wakati wa JK.
..kama utakumbuka JK naye aliunda tume ya madini na bunge lilifanyia marekebisho sheria ya madini.
iliwaamnisha kuwa Lissu katumwa na mabeberu ,Mkuu leo mchana tulikua na huo mjadala! Mtu anaanza kumlaumu tu Lissu namuuliza hivi unajua Lissu kaanza hizi harakati za madini lini? Hana jibu! Namuuliza wewe binafsi Lissu amewahi kukukosea nini mpaka unamchukia? Hana jibu!
Nilichokuja kugundua watu wengi wanaomchukia Lissu Wana uwezo mdogo sana kichwani kureason..(Mtanisamehe kwa hili)
Hoja hujibiwa kwa hoja atayenishambulia atakuwa na matatizo yake tu, maana mi nimeuliza cos huyu ndiye ana abc za tukio zimaYani mkimgusa huyo wanakushambulia kama ukoma! Na sina hakika kama atarudi zaidi atafichwa kwa nguvu zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmoja wao ni huyu. Mwenye uwezo mdogo sana wa kuchambua hoja [emoji107]Watu aina ya Lisu hata Congo pale wako wengi sana ana wamejazana ubelgiji!
Kila Congo ikijaribu kujikwamua kwenye makucha ya mabeberu kina Lisu wanaibuka na vurugu juu
Huwezi kuelewa haya mambo maana wewe kula yako inategemea hao kina LisuMmoja wao ni huyu. Mwenye uwezo mdogo sana wa kuchambua hoja [emoji107]
Crimea hata kabla Mkapa hajagawa madini yetu bure kwa so called wawekezaji . Lissu alisimama na taifa wala si tumbo lake. Wakati huo Maghufuli wako alikuwa anaunga mkono hoja yoyote toka kwa watawala.Huwezi kuelewa haya mambo maana wewe kula yako inategemea hao kina Lisu
Sijawahi kusikia hoja za msingi wanazomjibu Lissu zaidi ya kupiga kelele tu.Baadhi ya Watanzania wenzetu wana matatizo sana. Wanapenda kushadadia mambo bila kufanya tafakuri.
Kama mtu anasema mtapata hasara mkivunja mkataba fulani ndio apigwe risasi?
Mtu akisema tutumie akili kudili na masuala ya kisheria ndio apigwe masasi?
Serikali hii hii inatakiwa kumlipa Lissu stahiki zake. Ndio hii hii serikali iliyo mfanyia kitu mbaya.
Ni kweli una hoja lakini huyu Jet-Lii mkwepa risasi alikimbizwa kwa kisingizio atauwawaHoja hujibiwa kwa hoja atayenishambulia atakuwa na matatizo yake tu, maana mi nimeuliza cos huyu ndiye ana abc za tukio zima
Fact,ubarikiwe.Mkuu leo mchana tulikua na huo mjadala! Mtu anaanza kumlaumu tu Lissu namuuliza hivi unajua Lissu kaanza hizi harakati za madini lini? Hana jibu! Namuuliza wewe binafsi Lissu amewahi kukukosea nini mpaka unamchukia? Hana jibu!
Nilichokuja kugundua watu wengi wanaomchukia Lissu Wana uwezo mdogo sana kichwani kureason..(Mtanisamehe kwa hili)