Sawa, lakini ikumbukwe kuwa, TAL ni mwanasiasa kwa hiyo anahitaji watu.Acha asemwe Ili wengine wajifunze
Kwenye Siasa tunaangalia faida na hasara.lazima asemwe
Sawa lazima asemwe tuKwenye Siasa tunaangalia faida na hasara.
Kama kumsema vibaya JPM kuna faida, basi aendelee kumsema, lakini kama kuna hasara, aache kumsema vibaya JPM.
Upo sahihi ila chukulia mfano wewe ndiye TAL na maswahibu uliyopitia huenda ungemponda huyo mtu zaidi ya yeye anavyomuongeleaSawa, lakini ikumbukwe kuwa, TAL ni mwanasiasa kwa hiyo anahitaji watu.
Watu hao anaowahitaji TAL kama mtaji wa kisiasa ndio wanaomkubali sana JPM anayesemwa vibaya hadharani. Kwa hiyo, kumsema vibaya JPM ni kupunguza wafuasi wengi sana wa Siasa, lakini pia kumsema vibaya JPM haisaidii chochote kile.
Umenishangaza sana uliposema JPM alikuwa na mapungufu machache!Ni muhimu sana tena sana kwa mh. TAL kuepuka kumsema vibaya JPM katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, JPM ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa. Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Ni kweli, ni ngumu sana kusamehe mtu aliyekufanyia mabaya, lakini kwa mustakabali wa siasa, ni vema kuwa na ngozi ngumu ya kusamehe ili mambo mengine yaendelee.Upo sahihi ila chukulia mfano wewe ndiye TAL na maswahibu uliyopitia huenda ungemponda huyo mtu zaidi ya yeye anavyomuongelea
Kweli kuna watu bado wana roho kama ya marehemu wanachukulia mambo juu eti waachwe tu.Mapungufu ya kutoa watu roho ndio machache? Acha asemwe Ili wengine wajifunze
Alisema na kitabu chake kiandikwe. Sasa ndio kwanza kinasemwa tu bila kuandikwa watu wananuna je yakiandikwa itakuwajeJPM alisema tufundishe watoto wetu historia ya nchi hii. Kuuzungumzia utawala wake ni sehemu ya historia hiyo pia!
Mtume Muhammad ana wafuasi mabilioni duniani, na kuna binadamu wengi wanamsemea mabaya. Japo hawajawahi kumsikia...Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
We ni sawa tu na hao marehemu unaongea upupu. Katishie wafu siyo walio hai. Hao wanaomshabikia mfu km wewe wote ni wafu mpigieni tena kura huko mlipoSawa, lakini ikumbukwe kuwa, TAL ni mwanasiasa kwa hiyo anahitaji watu.
Watu hao anaowahitaji TAL kama mtaji wa kisiasa ndio wanaomkubali sana JPM anayesemwa vibaya hadharani. Kwa hiyo, kumsema vibaya JPM ni kupunguza wafuasi wengi sana wa Siasa, lakini pia kumsema vibaya JPM haisaidii chochote kile.
Magufuli hakubaliki na watu wengi kama unavyotaka kutuaminisha. Ushahidi ni namna alivyopora uchaguzi 2019 na 2020. Anayekubalika hawezi kuwa na hofu kiasi kile. Kwa nini alijiprintia fomu moja ya Mgombea urais?Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Nyie mnaofungua nyuzi za kumhusu huyu mwovu ndiyo mnakaribisha mijadala ya kumsema vibaya kama wewe ulivyofanyaNi muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Acha ujinga ungekuwa ni wewe umetendewa alivyotendewa Lissu ungemsifia huyo Magufuli? Tumia akiliNi muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Mnatumia nguvu nyingi sana kumtetea, sasa wewe acha amseme vibaya(of course kwa mabaya yake) ndipo tuone huko kukubalika kwake.Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.