Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Huenda akaacha pindi akiridhika waliokosa haki wamepataAcha asemwe Ili wengine wajifunze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda akaacha pindi akiridhika waliokosa haki wamepataAcha asemwe Ili wengine wajifunze
Mbona MAREHEMU Hitler mnamsema?Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Kwa vyote vyote vile Wewe ndo ulihusika kumpiga Tundu Lisu Risasi! Kama ni mnufaika wa Teuzi za Jiwe kwa Sifa za kuua na kuumiza Watanzania wenzako, Wewe na wanufaika wenzako kwa nini msiendelee kumpenda na kumuenzi Jiwe? Kwa kipimo hicho hicho mwache naye Tundu aendelee kumsifu Jiwe kwa machungu ya Risasi ambazo Wewe na wenzako, kwa kutumwa na Jiwe au kwa kutafuta Sifa za kuteuliwa mulimpiga Tundu Lisu Risasi za kutosha.Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Akili yako imejaa mafii!Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Na huo ndio ukweli anatakiwa acheze na akili za hao watu. !! After all kumsema sema vibaya yule jamaa wala haiwezi kumuongezea wafuasi !! Watu wanajua yote yaliyotokea hata asipoyaeleza mara kwa mara ! Washauri wake wamsaidie ushauri wa ajikite kwenye kuelezea vitu gani vitakavyo wasaidia watu wa nchi hii ambao wengi wao wamo kwenye hali ngumu sana ya maisha kutokana na kupanda kwa bidhaa muhimu kama chakula nk ! Wapo wengi tu watakaoendelea kumsema marehemu ila yeye Lisu ajikite kwenye atawasaidiaje hao waliokuwa wakiitwa wanyonge ambao kwa kweli wapo wapo tu they don’t know what is coming next !!Sawa, lakini ikumbukwe kuwa, TAL ni mwanasiasa kwa hiyo anahitaji watu.
Watu hao anaowahitaji TAL kama mtaji wa kisiasa ndio wanaomkubali sana JPM anayesemwa vibaya hadharani. Kwa hiyo, kumsema vibaya JPM ni kupunguza wafuasi wengi sana wa Siasa, lakini pia kumsema vibaya JPM haisaidii chochote kile.
Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Ila urais wa kuteka wasiokusujudia ndio unaonyesha urais unaotufaa. Ngazi za nchi gani boss hiyo unaongelea, hii shithole ama?Wacha amseme. Kwani anampunguzia nini mtu aliyeishi maisha ya utumishi uliotukuka wa taifa hiki hadi ngazi ya juu kabisa? Kama kuna chochote anachokifanya Lissu katika kumsema Magufuli ni kutuonyesha waziwazi jinsi ambavyo upinzani wa aina hii haufai hata kidogo hata kunusa ngazi zozote za maamuzi makubwa katika nchi hii.
Kama kuna ukwel acha usemwe tu, wewe ukizungumzia mazur inatosha!!Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Hana unafiki, anamsema coz anamchukia,Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Kabisaaaa.Na huo ndio ukweli anatakiwa acheze na akili za hao watu. !! After all kumsema sema vibaya yule jamaa wala haiwezi kumuongezea wafuasi !! Watu wanajua yote yaliyotokea hata asipoyaeleza mara kwa mara ! Washauri wake wamsaidie ushauri wa ajikite kwenye kuelezea vitu gani vitakavyo wasaidia watu wa nchi hii ambao wengi wao wamo kwenye hali ngumu sana ya maisha kutokana na kupanda kwa bidhaa muhimu kama chakula nk ! Wapo wengi tu watakaoendelea kumsema marehemu ila yeye Lisu ajikite kwenye atawasaidiaje hao waliokuwa wakiitwa wanyonge ambao kwa kweli wapo wapo tu they don’t know what is coming next !!
Hayo ya kuteka wasiokusujudia unayajua wewe. Sisi tunachojua ni kwamba Magufuli atabaki kwenye kumbukumbu kama miongoni mwa marais bora kabisa taifa hili liliwahi au litakuja kupata. Lissu amseme au asimseme haiwezi kupunguza au kuongeza chochote kwenye kumbukumbu hiyo.Ila urais wa kuteka wasiokusujudia ndio unaonyesha urais unaotufaa. Ngazi za nchi gani boss hiyo unaongelea, hii shithole ama?
Hayo ya kuteka wasiokusujudia unayajua wewe. Sisi tunachojua ni kwamba Magufuli atabaki kwenye kumbukumbu kama miongoni mwa marais bora kabisa taifa hili liliwahi au litakuja kupata. Lissu amseme au asimseme haiwezi kupunguza au kuongeza chochote kwenye kumbukumbu hiyo.
Huko ulikokutaja kivuli chake kitaendelea kuwatesa kweri kweri !!Tuanzie uko CCM tuache kumsema vibaya.WanaCCM Tena viongozi wanamsema vibaya , huyu chadema afanyeje kwa yaliyomtokea?.kwani nyie CCM mnasema vibaya aliwafanya Nini?