Tundu Lissu aache kumsema vibaya Hayati Magufuli

Tundu Lissu aache kumsema vibaya Hayati Magufuli

Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Mbona MAREHEMU Hitler mnamsema?
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Kwa vyote vyote vile Wewe ndo ulihusika kumpiga Tundu Lisu Risasi! Kama ni mnufaika wa Teuzi za Jiwe kwa Sifa za kuua na kuumiza Watanzania wenzako, Wewe na wanufaika wenzako kwa nini msiendelee kumpenda na kumuenzi Jiwe? Kwa kipimo hicho hicho mwache naye Tundu aendelee kumsifu Jiwe kwa machungu ya Risasi ambazo Wewe na wenzako, kwa kutumwa na Jiwe au kwa kutafuta Sifa za kuteuliwa mulimpiga Tundu Lisu Risasi za kutosha.
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Akili yako imejaa mafii!
Mwache L'issu afanye yake na wewe andaa mikutano ukamsifie huyo Luciferi wako; Umbwa kabisa!
 
Sawa, lakini ikumbukwe kuwa, TAL ni mwanasiasa kwa hiyo anahitaji watu.

Watu hao anaowahitaji TAL kama mtaji wa kisiasa ndio wanaomkubali sana JPM anayesemwa vibaya hadharani. Kwa hiyo, kumsema vibaya JPM ni kupunguza wafuasi wengi sana wa Siasa, lakini pia kumsema vibaya JPM haisaidii chochote kile.
Na huo ndio ukweli anatakiwa acheze na akili za hao watu. !! After all kumsema sema vibaya yule jamaa wala haiwezi kumuongezea wafuasi !! Watu wanajua yote yaliyotokea hata asipoyaeleza mara kwa mara ! Washauri wake wamsaidie ushauri wa ajikite kwenye kuelezea vitu gani vitakavyo wasaidia watu wa nchi hii ambao wengi wao wamo kwenye hali ngumu sana ya maisha kutokana na kupanda kwa bidhaa muhimu kama chakula nk ! Wapo wengi tu watakaoendelea kumsema marehemu ila yeye Lisu ajikite kwenye atawasaidiaje hao waliokuwa wakiitwa wanyonge ambao kwa kweli wapo wapo tu they don’t know what is coming next !!
 
Wacha amseme. Kwani anampunguzia nini mtu aliyeishi maisha ya utumishi uliotukuka wa taifa hiki hadi ngazi ya juu kabisa? Kama kuna chochote anachokifanya Lissu katika kumsema Magufuli ni kutuonyesha waziwazi jinsi ambavyo upinzani wa aina hii haufai hata kidogo hata kunusa ngazi zozote za maamuzi makubwa katika nchi hii.
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.

Kwani Tundu Lisu kawazuia watu wanaomkubali wasimkubali? Yeye anaongelea ukatili wa Magu, si juu yake kuwahofia waliokuwa wanamkubali Magu. Kwani dhalimu alipoagiza Lisu ashambuliwe alikuwa hajui kuwa kuna wanaomkubali Lisu?
 
Wacha amseme. Kwani anampunguzia nini mtu aliyeishi maisha ya utumishi uliotukuka wa taifa hiki hadi ngazi ya juu kabisa? Kama kuna chochote anachokifanya Lissu katika kumsema Magufuli ni kutuonyesha waziwazi jinsi ambavyo upinzani wa aina hii haufai hata kidogo hata kunusa ngazi zozote za maamuzi makubwa katika nchi hii.
Ila urais wa kuteka wasiokusujudia ndio unaonyesha urais unaotufaa. Ngazi za nchi gani boss hiyo unaongelea, hii shithole ama?
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Kama kuna ukwel acha usemwe tu, wewe ukizungumzia mazur inatosha!!
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Mhe. Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Hana unafiki, anamsema coz anamchukia,
Atampendaje mtu aliyedhamiria kumtoa uhai?
 
Na huo ndio ukweli anatakiwa acheze na akili za hao watu. !! After all kumsema sema vibaya yule jamaa wala haiwezi kumuongezea wafuasi !! Watu wanajua yote yaliyotokea hata asipoyaeleza mara kwa mara ! Washauri wake wamsaidie ushauri wa ajikite kwenye kuelezea vitu gani vitakavyo wasaidia watu wa nchi hii ambao wengi wao wamo kwenye hali ngumu sana ya maisha kutokana na kupanda kwa bidhaa muhimu kama chakula nk ! Wapo wengi tu watakaoendelea kumsema marehemu ila yeye Lisu ajikite kwenye atawasaidiaje hao waliokuwa wakiitwa wanyonge ambao kwa kweli wapo wapo tu they don’t know what is coming next !!
Kabisaaaa.
 
Ila urais wa kuteka wasiokusujudia ndio unaonyesha urais unaotufaa. Ngazi za nchi gani boss hiyo unaongelea, hii shithole ama?
Hayo ya kuteka wasiokusujudia unayajua wewe. Sisi tunachojua ni kwamba Magufuli atabaki kwenye kumbukumbu kama miongoni mwa marais bora kabisa taifa hili liliwahi au litakuja kupata. Lissu amseme au asimseme haiwezi kupunguza au kuongeza chochote kwenye kumbukumbu hiyo.
 
Tuanzie uko CCM tuache kumsema vibaya.WanaCCM Tena viongozi wanamsema vibaya , huyu chadema afanyeje kwa yaliyomtokea?.kwani nyie CCM mnasema vibaya aliwafanya Nini?
 
Hayo ya kuteka wasiokusujudia unayajua wewe. Sisi tunachojua ni kwamba Magufuli atabaki kwenye kumbukumbu kama miongoni mwa marais bora kabisa taifa hili liliwahi au litakuja kupata. Lissu amseme au asimseme haiwezi kupunguza au kuongeza chochote kwenye kumbukumbu hiyo.

Atakumbukwa kama rais na wala sio kwa ubora unaotaka tuamini kuwa alikuwa nao. Alikuwa rais bora kwako ww na mkeo/mumeo. Na anachokisema Lisu kuhusu yeye huo ndio ukweli. Hutaki jinyonge.
 
Tuanzie uko CCM tuache kumsema vibaya.WanaCCM Tena viongozi wanamsema vibaya , huyu chadema afanyeje kwa yaliyomtokea?.kwani nyie CCM mnasema vibaya aliwafanya Nini?
Huko ulikokutaja kivuli chake kitaendelea kuwatesa kweri kweri !!
 
Back
Top Bottom