Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Hakuna ansyemkubali lile dubwanaNi muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.