Tundu Lissu aache kumsema vibaya Hayati Magufuli

Tundu Lissu aache kumsema vibaya Hayati Magufuli

Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Kwa sasa hawana ajenda wala hawana hoja. Wacha waicheze tu ngoma ya Magu.
 
Tundu lisu aendelee kabisa kumsema vibaya Hayati Magufuli, tena asiache kabisa; tena aongeze na kumtukana kabisa! Ninasema hivyo kwa sababu hizi zifuatazo:
1. Lisu asipomsema vibaya Magufuli atasema nini? Lisu hana uwezo wa kujenga hoja za msingi, ni mpayukaji mzuri tu. Kumsema vibaya Magufuli ndiyo kikomo cha uwezo wake wa kujenga hoja.
2. Nyie mnaotaka lisu asiendelee kkupyaukana kujimaliza sijui mnataka nini? Mwacheni apayuke na kutukana, baada ya miezi miwili ule mpapatiko wa watu kwake utakuwa umeisha, anabaki kuwa mwanasiasa kapuku tu wa kawaida. Hatumhitaji awe mwanasiasa mwenye ushawishi in a long term. Mwacheni ajimalize.
3. Kwa kuendelea kupayuka na kutukana ndiyo anajipunguzia ushawishi na kujidharirisha kwa wananchi wengi wanaoipenda Tanzania na kumkubali Magufuli. Kwa hiyo mwacheni tu. Na asivyo na uwezo mzuri wa kufikiri, hawezi kuyaona hayo!
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Wewe unataka amseme vp, wakati yeye magufuli ndiye Alissa abisha
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Wewe unataka ampambe wakati ndiye aliyesababisha ulemavu wake au unazungumza tu kwa sababu hayajakufika,uchafu wa magufuli sasa tunauona na kuusikia jinsi alivyokuwa akinyanyasa na kutesa akiwatumia wajomba zake kina bwisalo na yule mjomba wake wizara ya fedha huku akijiita mkombozi wa wanyonge uongo mtupu.
 
Mtume Muhammad ana wafuasi mabilioni duniani, na kuna binadamu wengi wanamsemea mabaya. Japo hawajawahi kumsikia...

Yesu Kristo ana wafuasi mabilioni duniani na kuna binadamu wengi wanamsema vibaya japo hawajawahi kumjua...

Sembuse Magufuli?

Tusipangiane maisha.

Au nasema uongo ndugu zangu?

Basi hili nalo ukalitazame
Tafakari vizuri aina ya watu wanaomsema vibaya mtume Mohamed S.A.W na au Yesu Kristo.
Je, Tundu Lissu yupo kwenye aina ya watu hao?
Je, ikitokea mtu akawasema vibaya mtume Mohammed na Yesu Kristo, itamsababishia mtu huyo kupata popularity yoyote kisiasa au kisanaa?
 
Kifo cha Magufuli kilileta hasara gani, labda kwa lile kundi lenu la watu wasiojulikana, maana huenda miradi yenu ilikuwa haijakamilika. Alichokuwa anakifanya Magufuli dhidi ya wapinzani ni kiburi cha ulevi wa madaraka sio zaidi ya hapo. Mama Samia hatoi nafasi kwa upinzani kama hisani, bali huo ndio uhalisia na ndio katiba isemavyo. Mzungu gani anamridhisha huyo mama Samia? Kuna wazungu gani wanahangaika na siasa za nchi masikini boss?

Umma upi wa watanzania, ule umma uliokuwa unawekewa maneno mdomoni kuwa unamkubali Magufuli, lakini ilipofika wakati wa uchaguzi ikabidi apore uchaguzi ili mtazamo halisi wa watanzania usifahamike?! Ukweli wa uchaguzi ule hata mama Samia anaujua, na vile hana ulimbukeni wa madaraka inabidi afuate uhalisia, na sio ule ushamba wa yule limbukeni. Unajisifu unakubalika, kisha inafika siku ya uchaguzi unapora uchaguzi.

Magufuli atakuwa ana impact gani baada ya kufa, wakati hata alipokuwa hai alikuwa anatumia vitisho na vikundi vya kumpamba ili ionekane anakubalika? Angeheshimu uchaguzi maana ule ndio ulikuwa kipimo halisi cha kukubalika kwake na chama chake. Sasa anapora uchaguzi halafu we sukuma gang unasema anakubalika, sijui legacy na upuuzi gani. Uza ubongo huo mzee maana unakaa nao kwa hasara.
Ilikuwa hasara sana kumpoteza kiongozi mwenye maono makubwa na charisma ya kutosha kufanya mambo yatokee kwa spidi na kwa uhakika.

Siasa za Magufuli tulizielewa na kwa bahati mbaya sana kweni Magufuli hakuwa mnafiki kula na kipofu eti asimshike mkono. Kipofu hapo ni nyinyi wapinzani na hakupepesa macho kuwafunua agenda yenu kuwa hamna interest na nchi. Ni ubinafsi tu na mnatumia siasa, demokrasia, sijui katiba kama loopholes za kuendekeza ubinafsi wenu tu.

Na kauli yako kuwa "mzungu gani anahangaika na nchi maskini" inazidi kukuonyesha jinsi ulivyo clueless kwenye masuala ya mahusiano ya kimataifa kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni. Ukiachilia mbali kwamba Tanzania siyo nchi maskini kiraslimali na kiwatu, huwezi kuwa mtu serious kuamini kwamba mzungu hawezi kuwa na interest na nchi maskini. Na sitaingia kwa undani kuhusu hilo maana ni agenda off topic anyway.

Impact mojawapo endelevu ya Magufuli inawahusu nyinyi ambao hamjaweza kumsahau hata leo hii. Na hamtaweza kumsahau maana aliwafunua jinsi mlivyo na madhara yake kwenu hayawezi kuisha leo wala kesho.
 
Tafakari vizuri aina ya watu wanaomsema vibaya mtume Mohamed S.A.W na au Yesu Kristo.
Je, Tundu Lissu yupo kwenye aina ya watu hao?
Je, ikitokea mtu akawasema vibaya mtume Mohammed na Yesu Kristo, itamsababishia mtu huyo kupata popularity yoyote kisiasa au kisanaa?
Jibu ni ndio

Swali jingine?
 
Ilikuwa hasara sana kumpoteza kiongozi mwenye maono makubwa na charisma ya kutosha kufanya mambo yatokee kwa spidi na kwa uhakika.

Siasa za Magufuli tulizielewa na kwa bahati mbaya sana kweni Magufuli hakuwa mnafiki kula na kipofu eti asimshike mkono. Kipofu hapo ni nyinyi wapinzani na hakupepesa macho kuwafunua agenda yenu kuwa hamna interest na nchi. Ni ubinafsi tu na mnatumia siasa, demokrasia, sijui katiba kama loopholes za kuendekeza ubinafsi wenu tu.

Na kauli yako kuwa "mzungu gani anahangaika na nchi maskini" inazidi kukuonyesha jinsi ulivyo clueless kwenye masuala ya mahusiano ya kimataifa kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni. Ukiachilia mbali kwamba Tanzania siyo nchi maskini kiraslimali na kiwatu, huwezi kuwa mtu serious kuamini kwamba mzungu hawezi kuwa na interest na nchi maskini. Na sitaingia kwa undani kuhusu hilo maana ni agenda off topic anyway.

Impact mojawapo endelevu ya Magufuli inawahusu nyinyi ambao hamjaweza kumsahau hata leo hii. Na hamtaweza kumsahau maana aliwafunua jinsi mlivyo na madhara yake kwenu hayawezi kuisha leo wala kesho.

Hakuwa na speed bali alikuwa na pupa na mkurupukaji wa hatari, na pale alipofikia alifika mwisho, hakuwa na mtu wa kumpora tena, wala wa kumkopa, ndio maana aligeuka akawa mpole kadiri siku zilivyosonga. Kifo chake kilimfika akiwa na msongo mkubwa wa mawazo maana alijua anaenda kuumbuka. Kwa watu wajinga wa aina yako ndio waliona ni bonge la kiongozi.

Usingeacha kuzielewa siasa za Magufuli kama alikupa udiwani na ubunge wa wizi, ulifaidika na pesa alizopora kwenye maburea de change, za plea bargaining, na ukizingatia ulikuwa kwenye kundi lake la watu wasiojulikana, ungeachaje kuzielewa siasa zake?

Sisi hapa kazi yetu ni kuweka wazi siasa za yule shetani, ww unayemsujudia endelea kujiliza hapa. Sisi tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
 
Ndio siasa za huko
Kutukana, kusuta, na hata kuropoka na kubweka ni baadhi tu ya mitindo ya kuwasilisha maneno na wapo wanaopiga makofi pia

Ukitukana wanacheka na ukiwatukana wanacheka

Waliambiwa wakae na Mavi yao kwao wakacheka
Hao ndio wapiga kura kokote wanaenda
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Kutoa amri tu kwamba asisemwe kwa ubaya, haitakusaidia maana LAZIMA ATASEMWA tu na huwezi kufanya lolote!!

Labda Fanya hivi pengine itakusaidia kupunguza hasira mkizi zako;

Kwamba, walio upande wake (umesema wako wengi) waseme ya kwao kwanini asisemwe kwa mapungufu au mabaya yake? Mkijibu vizuri hilo, then semeni mazuri yake ili yafunike mabaya yake ili wanaomsema Kwa mabaya wanyamaze kimya..
 
Ilikuwa hasara sana kumpoteza kiongozi mwenye maono makubwa na charisma ya kutosha kufanya mambo yatokee kwa spidi na kwa uhakika.

Siasa za Magufuli tulizielewa na kwa bahati mbaya sana kweni Magufuli hakuwa mnafiki kula na kipofu eti asimshike mkono. Kipofu hapo ni nyinyi wapinzani na hakupepesa macho kuwafunua agenda yenu kuwa hamna interest na nchi. Ni ubinafsi tu na mnatumia siasa, demokrasia, sijui katiba kama loopholes za kuendekeza ubinafsi wenu tu.

Na kauli yako kuwa "mzungu gani anahangaika na nchi maskini" inazidi kukuonyesha jinsi ulivyo clueless kwenye masuala ya mahusiano ya kimataifa kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni. Ukiachilia mbali kwamba Tanzania siyo nchi maskini kiraslimali na kiwatu, huwezi kuwa mtu serious kuamini kwamba mzungu hawezi kuwa na interest na nchi maskini. Na sitaingia kwa undani kuhusu hilo maana ni agenda off topic anyway.

Impact mojawapo endelevu ya Magufuli inawahusu nyinyi ambao hamjaweza kumsahau hata leo hii. Na hamtaweza kumsahau maana aliwafunua jinsi mlivyo na madhara yake kwenu hayawezi kuisha leo wala kesho.
Hauwezi kumsahau muuaji kirahisi, Hitler na Mussolini hawajasahaulika kwa sababu zinazofanana. Idd Amin Dada anakumbukwa na kutajwa mpaka leo hivyo ujue na Jiwe ataendelea kutajwa sana, mshenzi muuaji yule bora alikufa watu wakapumua.
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Ushawahi kupigwa hata na jiwe tu? Mwenzio alipigwa risasi zaidi ya 10. Enewei marehemu hasemwi kwa mabaya
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Naunga mkono hoja, tena kwa kuzingatia mahali JPM alipo sasa, anaweza kumuomba Baba yake na mtu yoyote akaitwa fasta!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P.
 
Tafakari vizuri aina ya watu wanaomsema vibaya mtume Mohamed S.A.W na au Yesu Kristo.
Je, Tundu Lissu yupo kwenye aina ya watu hao?
Je, ikitokea mtu akawasema vibaya mtume Mohammed na Yesu Kristo, itamsababishia mtu huyo kupata popularity yoyote kisiasa au kisanaa?
Ukiwa mkubwa utaelewa maana utakuwa na akili.
 
Lissu ameshaharibu kisiasa kamwe huwezi msema vibaya JPM utarajie Kigoma, Mara, Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga, Katavi, Kagera, Tabora, Mbeya, Ruvuma, Iringa watakuunga mkono na mtajionea anguko la kila mwanasiasa atayemsema vibaya JPM , kelele za nchi nzima juu ya makamba sr zingewastua wanasiasa maana kwa kawaida watanzania Humpenda zaidi mtu aliekufa tofauti na alie hai, hivo tarajieni kupuuzwa kwa Lissu na chama chake maana wataonekana hawana sera yoyote kushindana na marehemu kila siku
 
Miongoni mwa legacy za Magufuli ni kwamba leo hii kuna watanzania wachache sana wanaomchukulia serious Lissu na mbwembwe zake.

..wakati mwingine muwe mnapima mnachokisema.

..ulichoandika ni sawa na kusema Magufuli amewarithisha Watanzania mioyo migumu ya kikatili.
 
..wakati mwingine muwe mnapima mnachokisema.

..ulichoandika ni sawa na kusema Magufuli amewarithisha Watanzania mioyo migumu ya kikatili.
Tunaongea kulingana na mada iliyo mezani. Mada iliyo mezani inamhusu huyo jamaa. Mioyo ya migumu ya kikatili mnaijua nyinyi ila kwetu sisi wengine tunamwona kiongozi mwenye maona aliyemaanisha business. Hakwenda Ikulu kupiga picha, na kazi zake zitaishi muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom