Hakuna ansyemkubali lile dubwanaNi muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Mwambie mumeo huo ujinga wakoNi muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Nijinyonge wakati hapa nilipo nafaidi baadhi ya matokeo ya ubora wake? Vitu alivyovifanya havitafutika kirahisi so wa kujinyonga ni nyie ambao hamchoki kupigana nae. Haya Lissu na maneno yake kitu gani hasa alishawahi kufanya chenye faida kikaonekana?Atakumbukwa kama rais na wala sio kwa ubora unaotaka tuamini kuwa alikuwa nao. Alikuwa rais bora kwako ww na mkeo/mumeo. Na anachokisema Lisu kuhusu yeye huo ndio ukweli. Hutaki jinyonge.
Hata shetani Mkuu anakubalika na wewe mpumbavu sembuse shetani Magufuli aliyekupa ulaji utaachaje kumkubali!Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Mpumbavu!Ni kweli, ni ngumu sana kusamehe mtu aliyekufanyia mabaya, lakini kwa mustakabali wa siasa, ni vema kuwa na ngozi ngumu ya kusamehe ili mambo mengine yaendelee.
Nijinyonge wakati hapa nilipo nafaidi baadhi ya matokeo ya ubora wake? Vitu alivyovifanya havitafutika kirahisi so wa kujinyonga ni nyie ambao hamchoki kupigana nae. Haya Lissu na maneno yake kitu gani hasa alishawahi kufanya chenye faida kikaonekana?
Na huyo Lissu wako mfute kabisa kwenye urais maana hatakuja kuwa Rais kwa upuuzi wake. Ni hivi, kuna sababu za msingi hata Magufuli alikuja kuwa Rais na kuna sababu za msingi kabisa zinazofanya watu aina ya Lissu tuwakatae. Na vile hata hamjuagi kusoma alama za nyakati.Kwani Magufuli alifanya kipi tunachofaidi kwa mshahara wake? Kama ni vitu mbona hata wakoloni walifanya na wala hatuwasifii? Kwa taarifa yako hata Lisu angekuwa rais hayo angafanya.
Ni Tanzania tu palipo na siasa za kisasi, na siasa za kisasi hazimfikishi mtu popote. Lissu needs to move on if he is to have credibility. You cannot dwell on an agenda that does not help the country. This shows retributive politics.Sawa, lakini ikumbukwe kuwa, TAL ni mwanasiasa kwa hiyo anahitaji watu.
Watu hao anaowahitaji TAL kama mtaji wa kisiasa ndio wanaomkubali sana JPM anayesemwa vibaya hadharani. Kwa hiyo, kumsema vibaya JPM ni kupunguza wafuasi wengi sana wa Siasa, lakini pia kumsema vibaya JPM haisaidii chochote kile.
Yoyote aliekuwa anamshabikia magu hatuwataki wabaki na magu wao. kwanza wengi wao ni wajinga tu hawana mpango wowote mijitu isiyojua lolote kwenye politicsSawa, lakini ikumbukwe kuwa, TAL ni mwanasiasa kwa hiyo anahitaji watu.
Watu hao anaowahitaji TAL kama mtaji wa kisiasa ndio wanaomkubali sana JPM anayesemwa vibaya hadharani. Kwa hiyo, kumsema vibaya JPM ni kupunguza wafuasi wengi sana wa Siasa, lakini pia kumsema vibaya JPM haisaidii chochote kile.
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Na huyo Lissu wako mfute kabisa kwenye urais maana hatakuja kuwa Rais kwa upuuzi wake. Ni hivi, kuna sababu za msingi hata Magufuli alikuja kuwa Rais na kuna sababu za msingi kabisa zinazofanya watu aina ya Lissu tuwakatae. Na vile hata hamjuagi kusoma alama za nyakati.
Sawa, lakini ikumbukwe kuwa, TAL ni mwanasiasa kwa hiyo anahitaji watu.
Watu hao anaowahitaji TAL kama mtaji wa kisiasa ndio wanaomkubali sana JPM anayesemwa vibaya hadharani. Kwa hiyo, kumsema vibaya JPM ni kupunguza wafuasi wengi sana wa Siasa, lakini pia kumsema vibaya JPM haisaidii chochote kile.
Ni kweli, ni ngumu sana kusamehe mtu aliyekufanyia mabaya, lakini kwa mustakabali wa siasa, ni vema kuwa na ngozi ngumu ya kusamehe ili mambo mengine yaendelee.
Ingekuwa wale wanaohusishwa na pyu pyu pyu pyu wanatoka Serikalini ningewafukuza kazi, na kuwapeleka mahakamani, na kunyongwa.
Bahati mbaya hawakutoka huko, kwani wanaotoka huko 'huwa hawakosagi'....yaani umkute mtu katili na AK amkose hivi hivi tu? Eboo!
Akimaliza kuonyesha majerahaha atarudi Ulaya kukaza vyuma na skruu....abakie huko asijetumalizia ma Vii eiti
Hili jamaa jinger sana.
Anatakiwa apate therapy.
Well kifo cha Magufuli ilikuwa hasara kwa taifa, wakati huo huo ni bora mara 100 tulimpata Rais Magufuli walau kwa miaka ile michache tuliyobahatika kuwa nae kuliko tusingekuwa nae kabisa. Miaka yake mitano ilitosha kabisa kufichua what a giant facade vyama vya upinzani are. Leo mama Samia anawapa airtime wapinzani si kwa ajili ya kuwaridhisha watanzania (maana umma wa watanzania ulishajitoa huko kwenye kuwategemea/kutumainia upinzani). Samia anawaridhisha tu wazungu na hata sioni faida yake anyway.Hata asipokuwa kwani kila mtanzania atakuwa rais wa nchi hii hadi useme hatakuwa. Kwani ww umeshawahi kuwe rais hadi uone ajabu Lisu kutokuwa rais? Magufuli alikuwa rais, lakini wengi walikuja kugundua kuwa mtu kama yeye hakustahili kuwa rais kutokana na alipokuwa anapeleka nchi hii. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Alikuwa na mapungufu machache!!??Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Well kifo cha Magufuli ilikuwa hasara kwa taifa, wakati huo huo ni bora mara 100 tulimpata Rais Magufuli walau kwa miaka ile michache tuliyobahatika kuwa nae kuliko tusingekuwa nae kabisa. Miaka yake mitano ilitosha kabisa kufichua what a giant facade vyama vya upinzani are. Leo mama Samia anawapa airtime wapinzani si kwa ajili ya kuwaridhisha watanzania (maana umma wa watanzania ulishajitoa huko kwenye kuwategemea/kutumainia upinzani). Samia anawaridhisha tu wazungu na hata sioni faida yake anyway.
Sasa Magufuli hatupo nae but usije ukafanya kosa kuamini kwamba impact ya Magufuli inaishia kwenye sera zake na matendo yake akiwa hai. Legacy ya Magufuli inakwenda mbali sana hata asipokuwepo. Miongoni mwa legacy za Magufuli ni kwamba leo hii kuna watanzania wachache sana wanaomchukulia serious Lissu na mbwembwe zake.