Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kukumbana na wananchi wakitaka maendeleo ya vitu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kukumbana na wananchi wakitaka maendeleo ya vitu

SERA ZA LISSU NIMEZISIKIA. NI KUTUKANA, KUPIGWA RISASI NA KUCHANGISHA WANANCHI FEDHA ZA KAMPENI
Mimi naamini wewe una akili timamu.. kama unahitaji kusikia sera za Lissu acha kusikiliza na kutazama TBC.

Hawa ni wajinga wameegemea upande mmoja
 
Mimi naamini wewe una akili timamu.. kama unahitaji kusikia sera za Lissu acha kusikiliza na kutazama TBC.

Hawa ni wajinga wameegemea upande mmoja

LISSU UNAMWAMINI KWA LIPI HASA? KWENYE KAMPENI ANATUKANA MWANZO HADI MWISHO, ALISHIRIKI KUTEKA MWANDISHI NA KUMFUNGIA CHUMBANI HUKO BAGAMOYO, ALISHIRIKI KUFANYA MIPANGO YA KUMWAGIA WATU TINDIKALI, ALISHIRIKI MIPANGO YA KUFANYA FUJO KWENYE MIKUTANO MBALIMBALI YA CHADEMA, ALISHIRIKI KUWADHALILISHA AKINA LOWASA NA BAADAE KUWASAFISHA WALIPOJIUNGA NA CHADEMA, KWENYE KAMPENI HASEMI LOLOTE JUU YA KULINDA RASLIMALI ZA TAIFA, AMEFANYA USHIRIKA NA WAZUNGU WANAOFADHILI MACHAFUKO AFRIKA, ALISHIRIKI KWENYE TUME YA KUCHUNGUZA WANANCHI 50 WALIOUAWA KWENYE MIGODI YA GEITA LAKINI HAKULETA RIPOTI HADI SASA, RUZUKU YA CHADEMA INATAFUNWA AMEKAA KIMYA, NK. HIZO NDO HAKI ANAZOPIGANIA?? KATIKA NCHI ANAONA YEYE NDO AMESOMA PEKE YAKE, WENGINE WOTE NI WAJINGA. HII NDO HAKI ANAYOTETEA??
 
Ujui chochote kuhusu modern world

Hakuna modern world ya matusi. Ni wahuni tu wanaishi maisha kama ya Kiongozi wenu Lissu. Modern world ambayo haikujenga nguzo za uchumi ni ipi? Taja nchi hata moja ambayo iliendelea bila kujenga miundombinu kwanza.
 
Hakuna modern world ya matusi. Ni wahuni tu wanaishi maisha kama ya Kiongozi wenu Lissu. Modern world ambayo haikujenga nguzo za uchumi ni ipi? Taja nchi hata moja ambayo iliendelea bila kujenga miundombinu kwanza.
Zimeendelea kwa mfumo wa uchumi wa kisasa na sio wa kijima.
Sijawahi ona unataka maendeleo huku ukisomesha watu namba,ukizuia mzunguko wa pesa,ukiminya demokrasia,ukiuwa diplomasia.
Ndo madhara ya kukabidhi nchi kwa asiyetokana na fani ya sheria, uchumi, biashara au diplomasia.
 
LISSU UNAMWAMINI KWA LIPI HASA? KWENYE KAMPENI ANATUKANA MWANZO HADI MWISHO, ALISHIRIKI KUTEKA MWANDISHI NA KUMFUNGIA CHUMBANI HUKO BAGAMOYO, ALISHIRIKI KUFANYA MIPANGO YA KUMWAGIA WATU TINDIKALI, ALISHIRIKI MIPANGO YA KUFANYA FUJO KWENYE MIKUTANO MBALIMBALI YA CHADEMA, ALISHIRIKI KUWADHALILISHA AKINA LOWASA NA BAADAE KUWASAFISHA WALIPOJIUNGA NA CHADEMA, KWENYE KAMPENI HASEMI LOLOTE JUU YA KULINDA RASLIMALI ZA TAIFA, AMEFANYA USHIRIKA NA WAZUNGU WANAOFADHILI MACHAFUKO AFRIKA, ALISHIRIKI KWENYE TUME YA KUCHUNGUZA WANANCHI 50 WALIOUAWA KWENYE MIGODI YA GEITA LAKINI HAKULETA RIPOTI HADI SASA, RUZUKU YA CHADEMA INATAFUNWA AMEKAA KIMYA, NK. HIZO NDO HAKI ANAZOPIGANIA?? KATIKA NCHI ANAONA YEYE NDO AMESOMA PEKE YAKE, WENGINE WOTE NI WAJINGA. HII NDO HAKI ANAYOTETEA??
Mzungu ndo anapigana afrika? Raslimali zipi zinazolindwa Sasa?si mnavyombo vya uchunguzi mmeshindwa vipi baini hizo hoja za uhalifu alioufanya.Hio ruzuku imetafunwa vipi
 
Zimeendelea kwa mfumo wa uchumi wa kisasa na sio wa kijima.
Sijawahi ona unataka maendeleo huku ukisomesha watu namba,ukizuia mzunguko wa pesa,ukiminya demokrasia,ukiuwa diplomasia.
Ndo madhara ya kukabidhi nchi kwa asiyetokana na fani ya sheria, uchumi, biashara au diplomasia.

Ndg yangu naomba nikujibu moja tu ambalo wapinzani mnalipigia kelele kila siku. Suala la Democrasia. JPM ameminya democracy kivipi? Nakusihi usimezeshwe sumu. JPM aliruhusu vyama vya upinzanj vifanye mikutano kila mtu kwenye jimbo lake. Hiyo siyo democracy? Au democracy ni kuandamana nchi nzima? Nitajie serikali yoyote duniani inayoruhusu vyama vya siasa kufanya maandamano au mikutano ya nchi nzima baada ya uchaguzi. Nchi za Ulaya tunazozitumia kama mifano ya democracy ya kuigwa hazifanyi hivyo. Sisi maskini ambao tunahitaji kufanya kazi zaidi kuleta maendeleo tunataka tushinde barabarani tukiandamana kuanzia January hadi December. Hilo haliwezekani. Hata vyama vya upinzani vikipata fursa ya kuongoza nchi havitaruhusu hivyo. Kwa nini tunakuwa watu wa kukumbatia kila uongo wa wapinzani wakati tuna akili ya kutafakari mambo na macho ya kuona?
 
Ndg yangu naomba nikujibu moja tu ambalo wapinzani mnalipigia kelele kila siku. Suala la Democrasia. JPM ameminya democracy kivipi? Nakusihi usimezeshwe sumu. JPM aliruhusu vyama vya upinzanj vifanye mikutano kila mtu kwenye jimbo lake. Hiyo siyo democracy? Au democracy ni kuandamana nchi nzima? Nitajie serikali yoyote duniani inayoruhusu vyama vya siasa kufanya maandamano au mikutano ya nchi nzima baada ya uchaguzi. Nchi za Ulaya tunazozitumia kama mifano ya democracy ya kuigwa hazifanyi hivyo. Sisi maskini ambao tunahitaji kufanya kazi zaidi kuleta maendeleo tunataka tushinde barabarani tukiandamana kuanzia January hadi December. Hilo haliwezekani. Hata vyama vya upinzani vikipata fursa ya kuongoza nchi havitaruhusu hivyo. Kwa nini tunakuwa watu wa kukumbatia kila uongo wa wapinzani wakati tuna akili ya kutafakari mambo na macho ya kuona?

Hilo zuio awamu zingine lilikuwepo.
Wangapi wapo jela kwa kubambikwa,mama yake kabendera Nani alimuuwa,bensaanane je,rejea chaguzi feki za marudio na serikali za mitaa umewahi ona wapi uhuni ule,vipi viongozi wa dini awakushughulikiwa kakobe kabla ya kuunga juhudi Hakuwa mtz baada ya kuunga juhudi amekuwa mtz, vipi kuhusu zuio la bunge live Hali uzinduzi wa vyoo Ni live, kupigwa ban kwa magazeti, vipi kuhusu usiri wa matumizi ya Kodi zetu, vipi kuhusu usiri juu ya mikataba inayotafuna Kodi zetu, vipi kuzulumiwa kwa wakulima, kuliwa kwa rambirambi, vipi kuzuia pesa za maendeleo majimbo ya upinzani,vipi kuhusu wasiojulikana amewahi kemea?,vipi kamata kamata ya wapinzani Hadi mikutano ya ndani Tena ya wanawake hofu ya nini,vipi kupigwa risasi kwa Lisu Tena sehemu nyeti. Jibu haya kwa uchache mengine yanakuja.
 
Watanzania tu wanafiki na tunajua kuongea balaa
ila NAPENDEKEZA NA KAMA ATAIONA HII SMS YANGU MZEE BABA,
AKIINGIA TU IKULU RASMI FOR SECOND HALF AWE KATILI MARA 2 au 3 IVI ILI AKILI ZITUKAE SAWA KABISA KWA UNAFIKI TULIONAO
NCHI ANAIJENGA ILA RAIA HAWAONI KINACHOENDELEEAA😂😂😂😂

Hata ingelikuwa mimi kwa matusi haya LAZIMA MNGEISOMA NAMBA KWA NAMNA YAKE
HAIWEZEKANI NIMEJITOA MHANGA KULINDA NA KUITETEA NCHI NA RASIRIMALI ZAKE LAKN KUNA WAPUUZI NDANI YA NCHI WANAONA NIA UHALO TU,

NITAFURAHI SANA JPM AINGIE IKULU TENA NA JF IWE YA WACHACHE KULIKO HAYA MATUSI YA KISHENZI KABISA
JPM NYOROOOOSHA HII NCHI ILIYOJAA UNAFIKI ULIOTOPEA😂😂😂😂
 
Ccm wamekaa madarakani miaka 50+ wameshindwa kujenga barabara ndo wataweza leo hiki chama kimechoka
 
Hilo zuio awamu zingine lilikuwepo.
Wangapi wapo jela kwa kubambikwa,mama yake kabendera Nani alimuuwa,bensaanane je,rejea chaguzi feki za marudio na serikali za mitaa umewahi ona wapi uhuni ule,vipi viongozi wa dini awakushughulikiwa kakobe kabla ya kuunga juhudi Hakuwa mtz baada ya kuunga juhudi amekuwa mtz, vipi kuhusu zuio la bunge live Hali uzinduzi wa vyoo Ni live, kupigwa ban kwa magazeti, vipi kuhusu usiri wa matumizi ya Kodi zetu, vipi kuhusu usiri juu ya mikataba inayotafuna Kodi zetu, vipi kuzulumiwa kwa wakulima, kuliwa kwa rambirambi, vipi kuzuia pesa za maendeleo majimbo ya upinzani,vipi kuhusu wasiojulikana amewahi kemea?,vipi kamata kamata ya wapinzani Hadi mikutano ya ndani Tena ya wanawake hofu ya nini,vipi kupigwa risasi kwa Lisu Tena sehemu nyeti. Jibu haya kwa uchache mengine yanakuja.

1. Huko nyuma mazuio yalikuwepo lkn sheria hazikufuatwa. Serikali ya JPM imeamua kutekeleza sheria hiyo ili ilete maendeleo yaliyokusudiwa.
2. Waliopo jela kwa kubambikwa kama wapo ni makosa. Sheria zipo you can prove beyond doubt that someone has been wrongly held in custody. Then follow the legal procedures to set him/her free, then demand compensation.
3. Mama yake Kabendera unaweza ukataja aliyemuua kama unamjua. Nenda polisi ukawasaidie kurahisisha upelelezi.
4. Ben Saanane aliuawa kwa mipango ya akina Mbowe. Labda wewe tu ndo hujui au unajua lkn unaendeleza madai ya chadema kuinyooshea vidole serikali wkt ukweli mnaujua. Hayo mambo ya kujiteka na kuuana ni mambo ya kawaida ndani ya chadema. Chacha Wangwe nani alimuua?
5. Wapinzani wakishindwa uchaguzi wanauita uchaguzi feki. Wakishinda unakuwa uchaguzi safi. Hizo ni akili za wendawazimu.
6. Mambo ya viongozi wa dini kushughulikiwa, hizo ni hoja hafifu za Lisu. Nawe umemezeshwa sumu hivyo hivyo. Unapaswa kufanya utafiti kujua ukweli. No research, no right to speak.
7. Bunge live. Ni nchi gani uliona bunge lao linakuwa live kila siku mwanzo hadi mwisho. Unapata wapi muda wa kuangalia bunge live? Utafanya kazi saa ngapi? Matukio ya uzinduzi hayapo kila siku. Na yanapokuwepo ni ya muda mfupi. Malalamiko yako ktk hili hayana logic. Hizi ni kati ya agenda za kijinga za CHADEMA.
8. Kupigwa ban magazeti. Hizi hoja mufilisi. Usalama wa Taifa kwanza, magazeti badae.
9. Usiri wa kodi zenu. Hapa ndo naona wewe ni bendera fuata upepo. Unamezeshwa maneno mazima mazima na wewe huna uwezo wa kupambanua pumba na mchele. Hujui kazi ya kodi? Siri gani ulitaka kujua na ukanyimwa? Kodi kazi zake ni kutoa huduma kwa wananchi. Huduma hazitolewi? Acha kudandia madai ya kipuuzi ya watu waliofilisika kisiasa. Akili za kuambiwa na wewe weka zako.
10. Madai yako Mengine yaliyobaki. Madai yote uliyoorodhesha ni ya upotoshaji tu. Hayana logic yoyote. Ni madai ya kutapatapa tu ya akina Lisu na wenzake, na wewe unadandia tu kuimba nyimbo hizo hizo. Kama wewe unaongea kwa haki mbona hutaji utafunaji wa ruzuku ya chadema, mbona husemi juu ya CHADEMA kupiga risasi AQUILINA, mbona husemi juu ya Lisu kushiriki kumteka mwandishi wa habari huko Bagamoyo, mbona husemi juu ya CHADEMA kumwagia tindikali kijana huko Nzega Lisu akishiriki kuratibu uovu huo, mbona husemi juu ya dereva wa Lisu kufichwa baada ya Lisu kupigwa risasi, mbona husemi juu ya askari polisi kuuawa huko Kibiti, mbona husemi juu ya sababu za kukimbia chadema akina Prof Balegu, Safari, Zitto Kabwe, wabunge kibao, nk. Usionyeshe kidole kimoja kwa mwenzako wakati vidole vitano vimekuangalia wewe.
 
1. Huko nyuma mazuio yalikuwepo lkn sheria hazikufuatwa. Serikali ya JPM imeamua kutekeleza sheria hiyo ili ilete maendeleo yaliyokusudiwa.
2. Waliopo jela kwa kubambikwa kama wapo ni makosa. Sheria zipo you can prove beyond doubt that someone has been wrongly held in custody. Then follow the legal procedures to set him/her free, then demand compensation.
3. Mama yake Kabendera unaweza ukataja aliyemuua kama unamjua. Nenda polisi ukawasaidie kurahisisha upelelezi.
4. Ben Saanane aliuawa kwa mipango ya akina Mbowe. Labda wewe tu ndo hujui au unajua lkn unaendeleza madai ya chadema kuinyooshea vidole serikali wkt ukweli mnaujua. Hayo mambo ya kujiteka na

kuuana ni mambo ya kawaida ndani ya chadema. Chacha Wangwe nani alimuua?
5. Wapinzani wakishindwa uchaguzi wanauita uchaguzi feki. Wakishinda unakuwa uchaguzi safi. Hizo ni akili za wendawazimu.
6. Mambo ya viongozi wa dini kushughulikiwa, hizo ni hoja hafifu za Lisu. Nawe umemezeshwa sumu hivyo hivyo. Unapaswa kufanya utafiti kujua ukweli. No research, no right to speak.
7. Bunge live. Ni nchi gani uliona bunge lao linakuwa live kila siku mwanzo hadi mwisho. Unapata wapi muda wa kuangalia bunge live? Utafanya kazi saa ngapi? Matukio ya uzinduzi hayapo kila siku. Na yanapokuwepo ni ya muda mfupi. Malalamiko yako ktk hili hayana logic. Hizi ni kati ya agenda za kijinga za CHADEMA.
8. Kupigwa ban magazeti. Hizi hoja mufilisi. Usalama wa Taifa kwanza, magazeti badae.
9. Usiri wa kodi zenu. Hapa ndo naona wewe ni bendera fuata upepo. Unamezeshwa maneno mazima mazima na wewe huna uwezo wa kupambanua pumba na mchele. Hujui kazi ya kodi? Siri gani ulitaka kujua na ukanyimwa? Kodi kazi zake ni kutoa huduma kwa wananchi. Huduma hazitolewi? Acha kudandia madai ya kipuuzi ya watu waliofilisika kisiasa. Akili za kuambiwa na wewe weka zako.
10. Madai yako Mengine yaliyobaki. Madai yote uliyoorodhesha ni ya upotoshaji tu. Hayana logic yoyote. Ni madai ya kutapatapa tu ya akina Lisu na wenzake, na wewe unadandia tu kuimba nyimbo hizo hizo. Kama wewe unaongea kwa haki mbona hutaji utafunaji wa ruzuku ya chadema, mbona husemi juu ya CHADEMA kupiga risasi AQUILINA, mbona husemi juu ya Lisu kushiriki kumteka mwandishi wa habari huko Bagamoyo, mbona husemi juu ya CHADEMA kumwagia tindikali kijana huko Nzega Lisu akishiriki kuratibu uovu huo, mbona husemi juu ya dereva wa Lisu kufichwa baada ya Lisu kupigwa risasi, mbona husemi juu ya askari polisi kuuawa huko Kibiti, mbona husemi juu ya sababu za kukimbia chadema akina Prof Balegu, Safari, Zitto Kabwe, wabunge kibao, nk. Usionyeshe kidole kimoja kwa mwenzako wakati vidole vitano vimekuangalia wewe.
1.Kama CDM wamehusika na mauaji ya kina Ben 8 why mmewagomea wachunguzi wa kimataifa? Wasijechunguza.
2.Kakobe alisumbuliwa si raia Hadi kuporwa pasipoti alipoiabudu tu Sanamu akawa raia kamili.
3.hizo awamu zilizopita watu walikuwa awafanyi kazi sababu ya bungelive. Kwa akili yako waweza shinda njaa kwa kutofanya kazi ili uangalie bunge, kazi zinafanyika masaa 24 kwa zamu ukilala wenzio wapo kazini, ukiwa kazini wenzio wamelala.
4.Hayo magazeti je Ni hatari kuliko mitandao, usalama wa taifa upi huo unaolindwa na ban ya magazeti, maana magazeti huwa hayaandiki kipya kisichojulikana.
5.Mbona hatuoni uwazi juu ya matumizi ya Kodi, pili ripoti zote za miaka 5 ya awamu Kuna upigaji Mkubwa sana wa Kodi zetu na atupewi majibu ya hizo querry zote.
6.Wazee wa escrow wapo ndani sababu wamegoma kuisujudia Sanamu na kugoma kutoa pesa thus wanakomolewa.
7.We uoni kazi za ruzuku zinanunua magari ya chama, zinagharamia kampeni, hio michango haitoshi hata kulala hotel tu.
8.Hao wabunge waliunga juhudi kwa kudanganywa na jiwe kwamba atauwa upinzani na atawabeba kumbe alitaka kuwaharibia potepote Leo wanajuta wanaomba msamaha warudi walipotoka, hata hao waliobahatika kugombea ccm still wametengwa na maccm maana sio chaguo lao Bali la aliewanunua.
9.Aquiline aliuliwa na police lipo wazi thus jarada lake la uchunguzi lilifungwa haraharaka, ukizingatia familia ilipoozwa pia ni chovu kufile case kimataifa.Kama viongozi wa CDM walihusika mbona awakuhukumiwa kwa mauaji ya acquiline?
10.Dereva wa Lisu yupo shule ili msimmalize maana anawajua wauaji,pili hakuna kizuizi chochote Cha kumpata mkimtaka ,Lisu amekuja mmewahi hata kumuhoji juu ya ishu yake.
 
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko Mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu Lissu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji na kwamba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahirisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyonayo na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu muda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu Lissu akiingia madarakani atatekeleza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyoomba au atataka awajaze pesa ili wawe na furaha kwanza?
maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu
 
Acha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!

Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?

Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?

Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.

Nashawishika kukupa jibu la maudhi ila kwa hulka yangu nikujibu kwa swali kuhusu hoja yako Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, ni hakika kila mtu anastahili haki yake.

Je, wafanyakazi ni asimilia ngapi ya Watanzania kulinganisha na idadi inayohitaji barabara bora, imara na ya kudumu kwa shighuli zao za kijamii, kisiasa na maendeleo? Kama barabara zingekuwa mbovu, huyo Lissu angeweza kumudu kufanya kampeni maeneo yote hayo, akimwaga upupu wa chuki, uzushi wa tuhuma na uwongo?

JITAMBUE, JIKUBALI, JIANDAE. Wakatu ndio huu.[/I]
 
Back
Top Bottom