Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kukumbana na wananchi wakitaka maendeleo ya vitu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kukumbana na wananchi wakitaka maendeleo ya vitu

Lissu amerejesha tabasamu kwenye nyuso za watanzania. Miaka mitano iliyopita ilikuwa mirefu mno.
 
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko Mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu Lissu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji na kwamba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahirisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyonayo na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu muda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu Lissu akiingia madarakani atatekeleza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyoomba au atataka awajaze pesa ili wawe na furaha kwanza?
We we ni masikini wa akili na hoja.
Kama unajiunga na JF na huwezi kuelewa lugha nyepesi anayoelezea Lissu basi utakuwa na mzito kuliko hata huyo jiwe
 
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko Mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu Lissu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji na kwamba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahirisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyonayo na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu muda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu Lissu akiingia madarakani atatekeleza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyoomba au atataka awajaze pesa ili wawe na furaha kwanza?
Mkuu wewe ni taahira? Kwani Lissu anapinga ujenzi wa miundombinu? Anachosema Lissu maendeleo ya vitu yaende pamoja na maendeleo ya watu! Sasa maji hiyo siyo maendeleo ya watu? Mwaka huu MATAGA mpaka mjambe cheche! Kila kona mnapigwa!!
 
Acha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!

Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?

Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?

Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.
Haya majibu mazito mnayapataga wapi!
 
Ameuliza kwanini ujengwe uwanja wa Chato badala ya barabara za huko Mufindi.

Ameuliza kwanini lijengwe daraja la baharini la kupunga upepo hapa DSM badala ya barabara ya Mikumi-Kilombero-Ifakara-Mlimba.

LISSU hana focus kwenye kampeni zake. Kila mtu anajua umuhimu wa daraja la baharini kuwa ni kupunguza foleni iliyopo ktk barabara ya Ali Hassani Mwinyi na Ocean Road. Anapopinga daraja hilo, watu wa OSTERBAY wote na maeneo ya jirani hawatampigia kura.
 
kwan inashindikana nn ili lichama kufutwa maaaana ni kero tu
 
Naapa na nnaamini hata laki moja hapo huna...unamhonga Nani? Labda yeye ndo akupe hela ya kula ..miccm bwana
Acha kuapa vitu ambavyo hauna uhakika navyo, bado nawaza 🤔 kwanini comment ambayo haikuwa inakuhusu imekuuma hivyo zaidi ya mlengwa.

Hiyo laki moja wenzako tunaitupa kwenye bundles.Watu wote wenye maisha, wasio na nafasi yoyote ya kimasilahi ndani ya chedema, huwezi kuwakuta wakioshabikia CHADEMA, na kujifanya washupavu nyuma ya keyboard Kama mnavyofanya humu, watafanya hivyo ujanani,wakijitambua wanahamia CCM.Tafuteni hela, tafuta hela.

NB:Huyo🖕 mmeo hawezi kunipa Mimi hela ya kula.
 
Acha kuapa vitu ambavyo hauna uhakika navyo, bado nawaza 🤔 kwanini comment ambayo haikuwa inakuhusu imekuuma hivyo zaidi ya mlengwa.

Hiyo laki moja wenzako tunaitupa kwenye bundles.Watu wote wenye maisha, wasio na nafasi yoyote ya kimasilahi ndani ya chedema, huwezi kuwakuta wakioshabikia CHADEMA, na kujifanya washupavu nyuma ya keyboard Kama mnavyofanya humu, watafanya hivyo ujanani,wakijitambua wanahamia CCM.Tafuteni hela, tafuta hela.

NB:Huyo🖕 mmeo hawezi kunipa Mimi hela ya kula.

Imeniuma Kwasababu mhusika namfahamu alivyo Safi...chadema wamejaa watu waliojitambua wewe sio nyie mafisadi...haya hamuoni..tumewachoka tunahitaji nchi yetu 28th
 
Hu
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko Mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu Lissu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji na kwamba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahirisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyonayo na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu muda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu Lissu akiingia madarakani atatekeleza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyoomba au atataka awajaze pesa ili wawe na furaha kwanza?
Huna hoja mkuu.
 
Ameuliza kwanini ujengwe uwanja wa Chato badala ya barabara za huko Mufindi.

Ameuliza kwanini lijengwe daraja la baharini la kupunga upepo hapa DSM badala ya barabara ya Mikumi-Kilombero-Ifakara-Mlimba.
Uwanja wa ndege chato ni wa kuvutia watalii wa mbuga ya Burigi
 
Lissu kawashika pabaya sana, Lissu shikilia hapohapo mnahangaika sana.
Hadi Mr president sasa hivi hataki kuletewa maneno na watu anataka kusikiliza mwenyewe Lisu kasemaje Leo,Binafsi nimependa sasa hivi anajionea mwenyewe watanzania walivyomchoka anashangaa mbona wapambe walikuwa wananiletea maneno mengine tofauti na anachokiona
 
Imeniuma Kwasababu mhusika namfahamu alivyo Safi...chadema wamejaa watu waliojitambua wewe sio nyie mafisadi...haya hamuoni..tumewachoka tunahitaji nchi yetu 28th
Ndomaana unatakiwa uache kujipendekeza kwenye comments ambazo hazikihusu, kwasababu mwenzako hapo juu 🖕,alikuwa anadai awe mnufaika wa zile million 50 za kila Kijiji,zenye lengo la kusaidia Kaya masikini, Sasa hayo maisha Safi unayosema wewe kayatoa wapi🤔?
Mmekosa hela mifukoni, mnataka kuisingizia CCM? Kwamba tukiwaachia nchi hiyo tarehe 28th ndo mtatajirika😂?

Vijana pigeni kazi, acheni kuwa wasindikizaji wa maisha ya watu, huku kwenye majukwaa hata huyo Lissu wako akipita hatakuletea chochote mfukoni wewe shabiki ndala huku mitandaoni, zaidi ya kunufaika yeye,familia yake na watu wake wa karibu.🚶
 
Ndomaana unatakiwa uache kujipendekeza kwenye comments ambazo hazikihusu, kwasababu mwenzako hapo juu 🖕,alikuwa anadai awe mnufaika wa zile million 50 za kila Kijiji,zenye lengo la kusaidia Kaya masikini, Sasa hayo maisha Safi unayosema wewe kayatoa wapi🤔?
Mmekosa hela mifukoni, mnataka kuisingizia CCM? Kwamba tukiwaachia nchi hiyo tarehe 28th ndo mtatajirika😂?

Vijana pigeni kazi, acheni kuwa wasindikizaji wa maisha ya watu, huku kwenye majukwaa hata huyo Lissu wako akipita hatakuletea chochote mfukoni wewe shabiki ndala huku mitandaoni, zaidi ya kunufaika yeye,familia yake na watu wake wa karibu.🚶

Sasa wewe uvccm umenufaika Nini naccm yako!?..unapiga debe tu hapo wanaokula maisha wenginee!unadhani unavyoshupaza shingo huku Magu atakuteua? Potea
 
Sasa wewe uvccm umenufaika Nini naccm yako!?..unapiga debe tu hapo wanaokula maisha wenginee!unadhani unavyoshupaza shingo huku Magu atakuteua? Potea
Sina haja ya teuzi zake,Nina maisha mazuri, hata kabla Magu hajaingia Madarakani, na hata alivyoingia sijayumba kivyovyote vile, hivyo Sina sababu ya kumchukia au yoyote ile ya kuacha kumchagua.Hilo ni juu yangu, usilazimishe nipende unachokipenda wewe kwasababu zako binafsi.🙏🙏
 
Ameuliza kwanini ujengwe uwanja wa Chato badala ya barabara za huko Mufindi.

Ameuliza kwanini lijengwe daraja la baharini la kupunga upepo hapa DSM badala ya barabara ya Mikumi-Kilombero-Ifakara-Mlimba.

Hivi Lissu ana mpango wa kwenda kuomba kura Chato na Kigamboni? Akiffika huko atawaambia kuwa uwanja haustabili kujengwa? Na Kigamboni atawaambia daraja lao ni la kupunga upepo?
 
Sina haja ya teuzi zake,Nina maisha mazuri, hata kabla Magu hajaingia Madarakani, na hata alivyoingia sijayumba kivyovyote vile, hivyo Sina sababu ya kumchukia au yoyote ile ya kuacha kumchagua.Hilo ni juu yangu, usilazimishe nipende unachokipenda wewe kwasababu zako binafsi.🙏🙏

Na wewe usilazimishe vitu unachopenda wewe tupende wote..unaipenda ccm haya ...tuache na sisi tunaomwelewa Lissu the Greatest..kiboko ya Magufuli...
 
Unadhani hiyo pesa ya Chato na hilo daraja la baharini vingemaliza matatizo ya barabara Tanzania nzima?
Siyo lazima kumaliza lakini gharama ya hivyo viwili ni kubwa mno Ni pesa ambazo zingeweza kujenga viwanda barabara nyingi vijijini
 
Back
Top Bottom