Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kukumbana na wananchi wakitaka maendeleo ya vitu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kukumbana na wananchi wakitaka maendeleo ya vitu

Kwamba maji ni maendeleo ya vitu?
Akili nyingine bwana ni zaidi ya tope.
Kwahiyo maji sio kitu 😳, kumbe Ni Nini Sasa🤔?
Usiwe Kama nyumbu wewe, tatizo lenu huwa mnataka kuleta ubishi kwenye kila kitu, bila ya kutumia akili.Ujuaji mwingine haufai 🚶.
 
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu lisu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji, na kwamaba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahilisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyo nayo, na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu mda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu lisu akiingia madarakani atatekereza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyo omba au atataka awajaze pesa iii wawe na furaha kwanza?
Tatizo siyo maendeleo ya aina gani tu ila ni vilivyofichama kwenye maendeleo ya vitu.
Wizi na upigaji ndivyo vilivyojazana kwenye vitu. Hivi wewe unanunua ndege unachukua pesa bila taratibu kama zako binafsi kwa sababu hata za familia unamuambia mke! Halafu ukirudi unaficha mahesabu uchagoni asione mtu. Jambazi liondoke ikulu yetu takatifu come october 2020
 
Tunaomba kwanza zile milioni 50 zetu za kwenye kila Kijiji. Kupovuka tu hakutusaidii chochote.
Achana na hizo 50 huenda haukuwa target ndo maana haukuziona.

Nikikuhonga million 10, utazifanyia nini?
 
Vitu

Vitu vingi vilikwama kukamilika watu walikuwa na pesa lakini huduma zilikuwa dini sana, na ndo maana chadema mliandamana kila siku kuwa pesa ya nchi inaibiwa na haifanya kazi na miradi haikamiliki kwa wakati na kwa kiwango sahihi.
Pia hao watumishi walipandishwa madaraja lakini walibaki ni madeni tu.
Na m

Kwa hiyo unataka uniaminishe siku hizi hakuna upigaji serikalini!! Miradi ya miundombinu mfano maji, barabara, nk. awamu hii inakamilika kwa wakati kuliko awamu iliyopita!! Uko dunia ya wapi mheshimiwa!! Tanzania hii hii!!

Umeshawahi kusafiri kutoka Mikumi kwenda Ifakara? Ile barabara inayojengwa kwa kiwango cha lami ina muda gani mpaka sasa?

Hiyo hoja ya kuwahusu watumishi ndiyo sijaielewa kabisa ulichomaanisha.
 
Kwa hiyo unataka uniamishe siku hizi hakuna upigaji serikalini!! Miradi ya miundombinu mfano maji, barabara, nk. awamu hii inakamilika kwa wakati kuliko awamu iliyopita!! Uko dunia ya wapi mheshimiwa!! Tanzania hii hii!!

Umeshawahi kusafiri kutoka Mikumi kwenda Ifakara? Ile barabara inayojengwa kwa kiwango cha lami ina muda gani mpaka sasa?

Hiyo hoja ya kuwahusu watumishi ndiyo sijaielewa kabisa ulichomaanisha.
Thibitisha huo upigaji hapa, acha porojo za vijiwe vya kahawa.
 
Halafu kwanini billions za walipa kodi zitumike kujenga uwanja huo bila idhini ya Bunge? Na kwanini huyo anayejiita KICHAA anamzuia CAG kukagua gharama za ujenzi huo?

..ameuliza kwanini ujengwe uwanja wa chato badala ya barabara za huko Mufindi.

..ameuliza kwanini lijengwe daraja la baharini la kupunga upepo hapa Dsm badala ya barabara ya Mikumi-Kilombero-Ifakara-Mlimba.
 
Thibitisha huo upigaji hapa, acha porojo za vijiwe vya kahawa.

Ni sababu ipi iliyo muondoa Kangi Lugola Wizara ya Mambo ya Ndani? Au lile sakata la mkataba tata kwenye Jeshi la zima moto, lilikua ni kiini macho?

Vipi na ile Trilioni 1.5 iliyosababisha CAG Mussa Asad kupigwa figisu wakati ule, alikula nani?
 
..ameuliza kwanini lijengwe daraja la baharini la kupunga upepo hapa Dsm badala ya barabara ya Mikumi-Kilombero-Ifakara-Mlimba.
Daraja la Baharini linajengwa kwa pesa za nchi ya Korea ya kusini sio za Tanzania na ni wao walitaka bila kuombwa sababu walikuwa wakichelewa ofisini kwao sababu ya foleni. Hakuna hata mia ya Tanzania ya kujenga hilo Salender

Lisu anajiharibia kwa wafadhili .Mabalozi wote wa nje walioko Tanzania wana umoja wao na vikao vyao kwenye vikao vyao waliongea foleni iliyoko kenyatta drive inayowafanya wachelewe kazini wakitokea makazi yao Masaki wanakoishi wengi

Ndipo ubalozi wa Korea kusini ukakatafuta wafadhili wa kujenga daraja kwao kwa ajili ya watoka Masaki ambao wengi ni vigogo wa balozi za nje wapate short cut isiyo na foleni ili Salender ibaki tu kwa walala hoi watoka mwenge ,msasan,
Tegeta,bunju nk


Lisu kifupi ni mwongo mpiga fix hasa ukimpa kura ni at your own risk
 
Nadhani hizo ni salamu tosha kwa Magufuri kumwambia kuwa ameshindwa kutatua kero zao za barabara sasa wanamtaka Lissu atatue matatizo yao! ni jambo la kushangaza kidogo,wakati Magufuri anasema watu wakichagua vyama vya upinzani hawezi kuwapelekea maendeleo.Je Mbunge wa huko si ni wa CCM? Nachojua kwa mkoa wa Iringa ukiondoa Iringa mjini kwingine kote ni wabunge wa CCM.
 
Daraja la Baharini linajengwa kwa pesa za nchi ya Korea ya kusini sio za Tanzania na ni wao walitaka bila kuombwa sababu walikuwa wakichelewa ofisini kwao sababu ya foleni. Hakuna hata mia ya Tanzania ya kujenga hilo Salender

Lisu anajiharibia kwa wafadhili .Mabalozi wote wa nje walioko Tanzania wana umoja wao na vikao vyao kwenye vikao vyao waliongea foleni iliyoko kenyatta drive inayowafanya wachelewe kazini wakitokea makazi yao Masaki wanakoishi wengi

Ndio ubalozi wa Korea kusini ukatafuta wafadhili wa kujenga daraja kwa ajili ya watoka Masaki ambao wengi ni vigogo wa balozi za nje wapate short cut isiyo n.a. foleni ili Salender ibaki tu kwa walala hoi watoka mwenge ,msasani

Lisu kifupi ni mwongo mpiga fix hasa ukimpa kura ni at your own risk

..hata kama linajengwa na fedha za Korea Kusini, sisi ni nchi huru tungeweza kuwashawishi wakatumia fedha hizo ktk eneo ambalo linashida kubwa zaidi ya usafiri wa barabara.
 
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu lisu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji, na kwamaba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahilisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyo nayo, na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu mda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu lisu akiingia madarakani atatekereza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyo omba au atataka awajaze pesa iii wawe na furaha kwanza?
Mwalimu aliekufundisha shuleni amekula hasara kubwa sana
 
..hata kama linajengwa na fedha za Korea Kusini, sisi ni nchi huru tungeweza kuwashawishi wakatumia fedha hizo ktk eneo ambalo linashida kubwa zaidi ya usafiri wa barabara.
Msaada huwezi lazimisha uende wapi kuna social responsibility kwa majirani hata wewe waweza fanya mfano maji yanajaa mvua ikinyesha maaeneo unaishi na majirani na wewe huwezi ingia kwako na ni balozi wa nje huwezi sikiliza hata serikali ikisema pesa za msaada za kudhibiti maji ziende ifakara!!

Kifupi Lisu kwa hoja hiyo tu kagusa negatively Mabalozi wote wa nje wanaoishi Masaki ambao Kero ya foleni pale kenyatta drive ilikuwa Kero kwao!!

Sasa hata mabalozi kwa hilo wataelewa kuwa Lisu is not a presidential material as he claims to be na wataziambia serikali zao sababu yuko happy kuona wanateseka na foleni
 
Achana na mam
Mwalimu aliekufundisha shuleni amekula hasara kubwa sana
Acha mambo ya shule kama kuna kitu hujaelewa uliza acha kuleta mambo ya darasani hapa,
Hapa sihitaji maksi nahitaji majibu kutika kwako au kwa mgombea wako.
 
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu lisu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji, na kwamaba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahilisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyo nayo, na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu mda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu lisu akiingia madarakani atatekereza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyo omba au atataka awajaze pesa iii wawe na furaha kwanza?
Nyerere hakujenga barabara?

Mwinyi hakujenga barabara?

Mkapa hakujenga barabara?

Kikwete hakujenga barabara?

Je hawakutaka Wananchi wasitawi?

Unafikiri barabara hazitajengwa chini ya Lissu?

Tena yeye atazipa mamlaka halimashauri za miji na wilaya kutenga pesa za kutosha na kuwa na nguvu ya kufanya maamuzi ya ujenzi wa shule, hospital na barabara

Magufuli tukubali tu amezengua.
 
Ameuliza kwanini ujengwe uwanja wa chato badala ya barabara za huko Mufindi.

Ameuliza kwanini lijengwe daraja la baharini la kupunga upepo hapa Dsm badala ya barabara ya Mikumi-Kilombero-Ifakara-Mlimba.
Mkuu umenukuu vile vile, ninaimani na ww ulikuwepo pale Wambi.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Nyerere hakujenga barabara?

Mwinyi hakujenga barabara?

Mkapa hakujenga barabara?

Kikwete hakujenga barabara?

Je hawakutaka Wananchi wasitawi?

Unafikiri barabara hazitajengwa chini ya Lissu?

Tena yeye atazipa mamlaka halimashauri za miji na wilaya kutenga pesa za kutosha na kuwa na nguvu ya kufanya maamuzi ya ujenzi wa shule, hospital na barabara

Magufuli tukubali tu amezengua.
Unaongea kama upo kwenye kibuyu, barabara ya nyerere kama alijenga sasa hawa watu wanaotaka barabara wanazitaka za nini?
 
Back
Top Bottom