Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kukumbana na wananchi wakitaka maendeleo ya vitu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kukumbana na wananchi wakitaka maendeleo ya vitu

Nyerere hakujenga barabara?

Mwinyi hakujenga barabara?

Mkapa hakujenga barabara?

Kikwete hakujenga barabara?

Je hawakutaka Wananchi wasitawi?

Unafikiri barabara hazitajengwa chini ya Lissu?

Tena yeye atazipa mamlaka halimashauri za miji na wilaya kutenga pesa za kutosha na kuwa na nguvu ya kufanya maamuzi ya ujenzi wa shule, hospital na barabara

Magufuli tukubali tu amezengua.
Kawaambie hayo maneno miradi ilipo Kama Magufuli Yuko sahihi kuwapelekea hiyo miradi au kakosea simple usikie majibu Yao usiulize Jamii forums
 
Unaongea kama upo kwenye kibuyu, barabara ya nyerere kama alijenga sasa hawa watu wanaotaka barabara wanazitaka za nini?
Lisu akipata kura laki 4 atakuwa karoga lakini hata akiwa mchawi kuzidi kura laki nne Sio rahisi
 
Uzi nyingine MTU anapost huku roho ikiwa inamsuta.unaumia moyoni kisa ukweli
 
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu lisu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji, na kwamaba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahilisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyo nayo, na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu mda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu lisu akiingia madarakani atatekereza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyo omba au atataka awajaze pesa iii wawe na furaha kwanza?
Out of context quotation!
 
Acha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!

Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?

Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?

Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.

Me Mpaka Sasa sielewi jk alifanikiwa vipi kufanya yote kwa wakati mmoja na mzee magu anashindwa?

Tena mzee jk alifanya hayo kukiwa na wafanyakazi hewa elf 40 na vyeti feki kibao
 
Acha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!

Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?

Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?

Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.

Hakuna watu wepesi kuwa brainwash kama wafuasi wa CCM. Wastaafu mpaka leo wanasotea mafao yako, eti sababu ya msingi serikali inanunue ndege ambazo mabinti wa CCM wamegeuza za kufanyia
Acha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!

Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?

Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?

Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.

Hakuna watu wepesi kuwa brainwash kama wafuasi wa CCM. Wastaafu mpake leo wanasotea mafao yao kwa kuwa serikali imeamua kununua ndege badala ya kuwalipa wastaafu stahiki zao.

Ndege zenyewe zimegeuka sehemu ya kufanyia photo shooting kwa mabinti wa CCM!
 
Acha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!

Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?

Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?

Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.
Hoja zako VIOJA kwamba suala ni mishahara ya watumishi ndiyo hoja! Nitatoa mifano michache kuhusu VIOJA vyako hivyo.

Zaidi ya 70% ya WaTz wanahitaji huduma bora za kijamii (afya, maji, shule) na miundombinu ya usafiri wa kuaminika majira yote waweze kuendelea na shughuli zao za maisha.

Unadai nyongeza ya mshahara au mnono lakini mahitaji yako kutoka vijijini km vyakula haviwezi kufikishwa kwa wakati kwa sababu ya barabara mbovu, ni busara hiyo?

Unapata nyongeza hiyo lakini kufika kazini kwa wakati ni shida, busara hiyo?

JITAMBUE, JIKUBALI, JIANDAE
 
Mbona hajawahi kusem uwanja wa ndege wa singida usijengwe mapka tanzania yote ipte huduma ya maji barabara na umeme na wawe na fulaha ndo huo uwanja ujengwe maana haina maana.
Singida ni mkoa
 
Acha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!

Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?

Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?

Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.
MATAGA hutawaona hapa
 
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu lisu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji, na kwamaba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahilisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyo nayo, na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu mda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu lisu akiingia madarakani atatekereza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyo omba au atataka awajaze pesa iii wawe na furaha kwanza?

Mufindi ipi ambayo wewe peke yako tu uliwasikia watu wakiongea huo ukasuku wa CCM?

Labda kwenye kikao cha ndani cha mauaji CCM, kwingine kote Tundu Lissu ndiyo habari.
 
Mufindi ipi ambayo wewe peke yako tu uliwasikia watu wakiongea huo ukasuku wa CCM?

Labda kwenye kikao cha ndani cha mauaji CCM, kwingine kote Tundu Lissu ndiyo habari.
Hatashinda, ninyi ni wale wale ambao hamfiki hata milioni moja.
 
Acha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!

Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?

Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?

Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.
Ni ujinga mtupu hizi nadharia eti kuna maendeleo ya vitu na yale ya watu. Hizo infrastructures ndio nyenzo za watu kujiboreshea maisha yao. Ukilima utahitaji barabara ya kupeleka mavuno yako sokoni kabla hayajakuozea.
Wabongo tumekuwa watu wa ngonjera sana, mtu anaongea siku mzima na anachoongea ni kulalamika kuwa hana haki ya kuongea..Total confusion.
 
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu lisu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji, na kwamaba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahilisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyo nayo, na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu mda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu lisu akiingia madarakani atatekereza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyo omba au atataka awajaze pesa iii wawe na furaha kwanza?
Nimesoma kidogo nikakuelewa naomba nikujibu nadhani wewe hujaelewa lisu hakatai barabara walakitu kingine chenye manufaa kwa watu yeye anataka maendeleo yaendane na kuboresha maisha yawatu majumbani mfano usiache kuwaongezea watu mshahara kwasababu unajenga barabara sasa hao amewashangaa hawana vitu wala maendeleo yao
 
Acha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!

Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?

Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?

Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.
Alwys smart....
 
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.

Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?

Majibu ya Tundu lisu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji, na kwamaba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahilisha mkutano.

Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyo nayo, na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?

Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?

Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu mda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.

Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?

Je, Tundu lisu akiingia madarakani atatekereza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyo omba au atataka awajaze pesa iii wawe na furaha kwanza?
Kuna vitu vya kipuuzi vinavyokula pesa na havina maana kwa wananchi na sio barabara,mfano kujenga mastendi ya mahilioni,masoko ya mahilioni,mandege,ma sgr,ma stiglaz,maviwanja ya ndege wanakotua na kuruka popo badala ya ndege ,ma stiglaz nk hivyo ni baadhi ya miradi hewa au tembo mweupe
 
Back
Top Bottom