Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Anatakiwa kuwa "MBEBA WATANZANIA". Hayo maono akiyabeba halafu wa-Tanzania atawaweka wapi? Halafu ukute sasa maono yenyewe siyo sahihi!Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123