Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kusaka fedha za kuwezesha mchakato

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kusaka fedha za kuwezesha mchakato

Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter

View attachment 1478123
Anatakiwa kuwa "MBEBA WATANZANIA". Hayo maono akiyabeba halafu wa-Tanzania atawaweka wapi? Halafu ukute sasa maono yenyewe siyo sahihi!
 
Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter

View attachment 1478123
Japo mimi mtumishi wa serikali miaka mitano sasa sijapewa nyongeza yoyote ya mshahara na sijapandiwshwa daraja lakini sitakosa laki mbili za kumtolea Mbeba Maono. Tumaini jipya kwa watanzania Mh Tundu Lissu.
 
Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter

View attachment 1478123
Japo mimi mtumishi wa serikali miaka mitano sasa sijapewa nyongeza yoyote ya mshahara na sijapandiwshwa daraja lakini sitakosa laki mbili za kumtolea Mbeba Maono. Tumaini jipya kwa watanzania Mh Tundu Lissu.
Lazima nimchangie
Kumchangia lazima tumchangie sana tu
 
Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter

View attachment 1478123
Nadhani kwenye swala la ichango atakuwa amewahi kidogo kwanza. Hapo ametia nia tu na bado hajateuliwa kuwa mgombea wa Chadema, mimi nadhani angetembeza bakuli baada ya kupata baraka za chama. Kwa syle hii atakuwa anachezea wengine rafu kwa vile yeye anaweza kupata hata zile za huruma. Subiri kwanza hiyo michango ya pesa ije baadae
 
Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter

View attachment 1478123
Yaani watu wanaendelea kutapeliwa
 
wewe mpuuzi. anatafuta pesa kwa ajili ya kujinadi kwa wanachama. siasa za level nyingine hizi wewe kaa na hayo maccm ufundishwe wizi wa kura.
Kumbe mpaka pesa zakujinadi duh hi noma tutazila tupo aje kwangu anipe laki tu nampgia kura yng
 
Back
Top Bottom