Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Narudia hizo Ni ngonjera tu tafuteni sababu nyengine una uliza ushindani kwa CCM? CCM ipo madarakani toka kilivyo anzishwa
Narudia tena hizi ni facts, kama unataka ngonjera utazipata kwingine. Sina shaka na ninalolisema. Hata ukimuuliza mwananchi yoyote mwenye ufahamu wa kawaida, na asiyeongozwa na hofu, atasema ninachokisema hata na zaidi.