Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamanda kwani zile 8b zetu tukizidai zikarejeshwa si zinatosha kabisa mpaka kampeni mbona sielewi tena hapa tunaombana michango wakati mpunga wetu upo ni kuudai tu urejeshwe! 😃 😃 😃 😃Nitachangia laki1, na nitaendelea kuchangia kadri uhitaji utavyokua.
#LISSURAIS2020 ni tumaini kwa Watanzania wote.
Ukombozi wa kweli unakuja, tuchangie bila kujali tofauti ya vyama vyetu, kama vile Nyerere alichangiwa na kina Mbowe akalete uhuru wetu. Tanzania inamuhitaji Lissu kipindi hiki.
atakuja kuwaomba nyungu nayo mtatoaKama unaona haikihusu,kaa kushuto.
Nijuavyo mimi ni kuwa, hata kuchukua form ya kugombea uraisi ndani ya chama ni gharama(unalipia) ingawa sijui ni kiasi gani mbali na kusaka wadhamini kwahiyo ni wazi kuna gharama za awali ambazo hazikwepeki.
Ngonjera hizo si huku jembe linapiga kazi baada ya uchaguzi leteni Tena ngonjera mpaka uchaguzi mwengine Tena mtazeeka na jina wapinzani
Sio dhambi Ila Ni fedheha ukijijua sio mshindani/uwezo wako mdogo wa kushindanaJembe anapiga kazi, kwani mpini ni mzururaji? Kuzeeka ukiwa mpinzani ni dhambi? Mbaya ni kushinda kaa mbeleko ya vyombo vya dola. Una jingine nikusaidie?
Kweli kabisaSema tangu alipoondoka mbeba maono ya chadema (Dr. Wilbroad Peter Slaa) wamebaki walevi na matepeli wa mabilion ya hela za wavujajasho wa chama tu ambao sidhani hata ilani ya chama chao ipo tayari.
Ndio kusema mmeanzisha mradi kama kipindi kile makamanda wapo Segerea?Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Nyumbu huwa wakikamatwa na mamba wanarudi palepale kunywa maji. Hivyo na we nyumbu wa CHADEMA endelea kuchangia tu wenzako wakazipigie wine na smart gin hadi walewe nakuteleza. 😃 😃 😃 😃NDIO MUDA WA KUONYESHA MSHIKAMANO!
TUTACHANGA KAMA KAWA!
👊 ✌✌✌💥
Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Ndio kusema mmeanzisha mradi kama kipindi kile makamanda wapo Segerea?
Kwa tuhuma za kukwapua hela ulipokuwa Chadema CCM hawawezi kukuamini na ukichukulia na kabila lako ndiyo kabisaaaaa utasugua bench hadi matako yaote sugu huteuliwi ng'o wewe jikite tu kwenye biashara yako ya mama lishe na bar bubu.
Sio dhambi Ila Ni fedheha ukijijua sio mshindani/uwezo wako mdogo wa kushindana
Hata hao wanaotoa kwa hiari wanatapeliwa pia.Huu ni mchango wa hiari, mtu alazimishwi. Hivyo lisikusumbue maana hulazimishwi.
Narudia hizo Ni ngonjera tu tafuteni sababu nyengine una uliza ushindani kwa CCM? CCM ipo madarakani toka kilivyo anzishwaIngekuwa kuna ushindani ungeweza kutamba, huo uchaguzi wa wasimamizi wa uchaguzi kufunga ofisi ili wasichukue fomu za wapinzani, na mabox ya kura kutolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm kwa uratibu wa vyombo vya dola? Ushindi wa aina hiyo unaweza kutamba mbele ya wanaume?
Pesa za kulewea mpaka miguu inavunjika zipo, za kuchukulia fomu tuchange sisi, duh..yule mama na Msigwa wao fomu wanapewa bure? afu bado mapema sana na mwenyekiti hajapata haki, kwa nini swala lake la kuvamiwa na kuvunjwa mguu tunalizima kwa kasi sana?
Naona wamegawana nchi za kuchukua fedha Tundu kaenda US na Zito kaenda UK naona balozi atafadhili hapa hapaAnatanguliza tela la kuvutwa mbele ya farasi...
Hii tabia umeacha??[emoji116]Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Wewe kwani siku hizi huliwi tena kiboga?Hii tabia umeacha??[emoji116]
LBT...Ni bado una msimamo ule ule uliousema kule Alabama!View attachment 1478657