Kuna na ile 1.5 tr,umeisahau mkuu?Wapi B8 zetu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna na ile 1.5 tr,umeisahau mkuu?Wapi B8 zetu!
Shangaa mkuuVijana wa chadema kumbe bado mna namba za voda?
Kwani unachangia, tume huru tayari?Cdm watake wasitake huyu ndio yuko mioyoni mwetu.
Mkuu kama jiwe kaweza amini hata wewe(Matanga)unaweza piaWonders shall never end,huyu naye akili zake zinamtuma kabisa kuwa anaweza kuwa rais wa JMT.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mimi pia ntamchangia Lisu laki moja.Unahangaika kama kuku anayetaka kutaga,halafu aliyekwambia mimi ni mwanamke nani? Stay'n ur lane na ufanye yako!
Pamoja na fisiemu kuwazui wapinzani wasifanye siasa huku wao wakifanya lakini mpaka leo wanawaogopa chadema kama ninitangu alipo ondoka Dr.slaa chadema ilipoteza mwelekeo mpaka leo hawajui wanapo kwenda, kidogo wamshukuru Lowasa aliwasaidia kuongeza idadi ya wabunge....ila mwaka huu ni hatari kubwa ni wazi kabisaa chadema hawana maandalizi.....kwa mbaaali angalau ACT wanaonekana wamejipanga..
kwakweli chadema mwaka huu imesambaratika vibaya sana.....tizama makamanda wa maana walivyo hama....mpaka nawaonea huruma..lkn msiache kupambana mpaka dakika ya mwisho.
jiandaeni kwa mwaka 2025, sio kwa mwaka huu2020 mmechelewa sn
Tindo wewe sio wa kumtilia lisu Shaka acha maccm wawaze hivyo.Huyu nitamchangua 150,000 kufikia mwisho wa wiki. Niko radhi familia yangu ikae kwa shida. Ni nitaongeza kadiri muda unavyokwenda. Atudhibitishe tu pesa zetu kutumika kwa shughuli husika.
Kwani mabwana zake mabeberu hawata mfadhili au?
Kwani lini niliugua kifafa?Magonjwa mtambuka umepona kifafa?
Mkuu Unaona sasa madhara ya kuiga hovyo hovyo,matanga ndo nini?Mkuu kama jiwe kaweza amini hata wewe(Matanga)unaweza pia
Wajinga ndio waliwaoNdugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
chadema wamejimaliza wenyewe, nikuulize swali, je? ulawahi kufikiria kamanda kama mzee selasini na wengine unao wajua kukihama chama? mwenyekiti wa chama lazima abebe lawama za kukisambaratisha chama, na bado, je m/kiti haoni yote hayo ? chama kina mwifia mikononi?!Pamoja na fisiemu kuwazui wapinzani wasifanye siasa huku wao wakifanya lakini mpaka leo wanawaogopa chadema kama nini
Najua kinachokusumbua.Hivyo hunipi tabuHaijalishi, lakini kweli siku zote najua ww ni ke. Au huwa unajilengesha kiaina kwa mabasha humu jukwaani? Tujilishane maana tunatumia hiyo huduma, fahamu siasa sio uadui.
Ndoto hizi hamjaaza kuota leo,ameanza kuota mzee mtei mpaka amezeeka hapo chagadomo mtaitwa wapinzani mpaka mwisho wa duniaSaa 11 asubuhi Lissu anatangazwa mshindi magu amechuja vibaya mno siku hizi.
Isijekuwa wewe ndio unatafuta Basha maana hiyo Sacco's yenu Ina Mambo yote machafu ushoga, usagaji, uzinzi, ulevi,kula pesa za wabunge, kuwanyanyasa kingono viti maalumu [emoji23][emoji1787][emoji2960]Haijalishi, lakini kweli siku zote najua ww ni ke. Au huwa unajilengesha kiaina kwa mabasha humu jukwaani? Tujilishane maana tunatumia hiyo huduma, fahamu siasa sio uadui.
Wewe akili zako huwa zinarudi tukikutana nje ya jukwaa hili.Mimi pia ntamchangia Lisu laki moja.
Ila mkuu wajua hata mimi nilidhani wewe ni jinsia kinzani