Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kusaka fedha za kuwezesha mchakato

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kusaka fedha za kuwezesha mchakato

Cdm watake wasitoke huyu ndio yuko mioyoni mwetu.
Mbowe delay uteuzi wa mgombea chadema Hadi ACT wazalendo watangaze wao.Hili Ni shinikizo kwa kamati kuu usikubali.Huyu anataka kutimukia ACT wazalendo anawahi kuchukua pesa za Wana chadema kabla ya uteuzi ili akibwagwa aende nazo ACT wazalendo

Kawaida hii ya kuchangisha ilitakiwa apate uteuzi kwanza akishapata ndipo chama kiombe michango kwa wanachama kupitia akaunti za chama ili kufanikisha kampeni za mgombea uraisi aliyeteuliwa na chama

Tundu Lisu atakivuruga chama huyu anaenda ki Kama mgombea binafsi anasahau kuwa yeye anawania kupitia chama

Huyu anadharau protocol .Pesa zinachangwa kwenda individual pocket!!!???
Zinatakiwa kwenda akaunti za Chadema
 
Asiwe na haraka angoje ateuliwe kwanza
Kwa tuhuma za kukwapua hela ulipokuwa Chadema CCM hawawezi kukuamini na ukichukulia na kabila lako ndiyo kabisaaaaa utasugua bench hadi matako yaote sugu huteuliwi ng'o wewe jikite tu kwenye biashara yako ya mama lishe na bar bubu.
 
Kwani mabwana zake mabeberu hawata mfadhili au?
Wana hasira naye Magufuli aliamua kuwa anunue ndege za bombarier na Boeing . Tundu Lisu wakapinga.Raisi Magufuli akaamua kununua .

Kitendo kile kiliwauma mno unataka wanyimwe pesa kupitia mauzo ya ndege zao Halafu kesho uende kuwaomba pesa hawakupi.Yaani unaomba unataka pesa zitoke wapi wakati unazuia manunuzi?

Zitto alitukana kampuni lao Hilo kuwa linaleta Tanzania ndege mitumba!!! Kampuni yenye heshima duniani yenye wanahisa ulaya na Marekani kijitu Cha Mwandiga kigoma kiseme eti wanauza ndege mitumba!!! Kesho waende kuomba pesa eti za kampeni !!! Nani awape?
Ndio maana unaona wanakimbilia huku huku Tanzania kwenye tigo rusha nk
 
Huyu nitamchangua 150,000 kufikia mwisho wa wiki. Niko radhi familia yangu ikae kwa shida. Ni nitaongeza kadiri muda unavyokwenda. Atudhibitishe tu pesa zetu kutumika kwa shughuli husika.
Kwani chadema imeshampitisha Lissu kuwa mgombea wao? Na Msigwa nae katangaza leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabeberu ndio wanatupa condom, mseto na ARV kwa serikali ya jiwe
Mabeberu ni wale wanaokutumia kuisaliti nchi yako kwa tamaa ya pesa/uongozi Kama wanavyotumiwa lisu/chadema zito/act. Kwa Tanzania Kama nchi hawezi kututumia ndio wanakuwa Sasa washirika wa kimaendeleo,
 
Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter

View attachment 1478123
Atulie. Aje nchini.
 
Wana hasira naye Magufuli aliamua kuwa anunue ndege za bombarier na Boeing . Tundu Lisu wakapinga.Raisi Magufuli akaamua kununua .

Kitendo kile kiliwauma mno unataka wanyimwe pesa kupitia mauzo ya ndege zao Halafu kesho uende kuwaomba pesa hawakupi.Yaani unaomba unataka pesa zitoke wapi wakati unazuia manunuzi?

Zitto alitukana kampuni lao Hilo kuwa linaleta Tanzania ndege mitumba!!! Kampuni yenye heshima duniani yenye wanahisa ulaya na Marekani kijitu Cha Mwandiga kigoma kiseme eti wanauza ndege mitumba!!! Kesho waende kuomba pesa eti za kampeni !!! Nani awape?
Ndio maana unaona wanakimbilia huku huku Tanzania kwenye tigo rusha nk
Sio mchezo na lowasa hayupo labda zile bill 8 zipo watazitumia kwenye kampeni
 
Back
Top Bottom