Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kusaka fedha za kuwezesha mchakato

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kusaka fedha za kuwezesha mchakato

Nitachangia laki1, na nitaendelea kuchangia kadri uhitaji utavyokua.
#LISSURAIS2020 ni tumaini kwa Watanzania wote.
Ukombozi wa kweli unakuja, tuchangie bila kujali tofauti ya vyama vyetu, kama vile Nyerere alichangiwa na kina Mbowe akalete uhuru wetu. Tanzania inamuhitaji Lissu kipindi hiki.
 

Attachments

  • 2304705_1581511485107.png
    2304705_1581511485107.png
    236.6 KB · Views: 1
Unakielewa ulicho kiandika?
Chadema hakuna demokrasia, labda uwe umeropoka tu.
Ninachokijua ni chadema Kuna demokrasia nzr kuliko ccm yenge domokrasia maana ni magufuri ndo mwenye kusema Nani agombee na Nani hapana
 
Nitachangia laki1, na nitaendelea kuchangia kadri uhitaji utavyokua.
#LISSURAIS2020 ni tumaini kwa Watanzania wote.
Ukombozi wa kweli unakuja, tuchangie bila kujali tofauti ya vyama vyetu, kama vile Nyerere alichangiwa na kina Mbowe akalete uhuru wetu. Tanzania inamuhitaji Lissu kipindi hiki.
Changia sacos hiyo.
 
Back
Top Bottom