kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Wasi wasi wako ni nnAjue kuwa form hawachukuliani pale NEC...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasi wasi wako ni nnAjue kuwa form hawachukuliani pale NEC...
wewe mpuuzi. anatafuta pesa kwa ajili ya kujinadi kwa wanachama. siasa za level nyingine hizi wewe kaa na hayo maccm ufundishwe wizi wa kura.Asiwe na haraka angoje ateuliwe kwanza
Hujalazimushwa mkuu.. ni kwa watanzania wapenda demokrasiaMushaanza ulaghai wenu, si ndio?
Nitachangia kweliAsiwe na haraka angoje ateuliwe kwanza
Kwani Mabeberu yake yamegoma kumchangiawewe mpuuzi. anatafuta pesa kwa ajili ya kujinadi kwa wanachama. siasa za level nyingine hizi wewe kaa na hayo maccm ufundishwe wizi wa kura.
Unampangia kama nani?Asiwe na haraka angoje ateuliwe kwanza
Sema wapenda Domo krasiaHujalazimushwa mkuu.. ni kwa watanzania wapenda demokrasia
Domo wako Dodoma chamwinoSema wapenda Domo krasia
Juzi mmeshangilia kufutiwa deni naKwani mabwana zake mabeberu hawata mfadhili au?
Unakielewa ulicho kiandika?Hujalazimushwa mkuu.. ni kwa watanzania wapenda demokrasia
Ukisha tapeliwa hatutaki kulia lia hapa.Lazima nimchangie
Imf wb Ni washirika wa kimaendeleo mabeberu Ni mabwana wa chademaJuzi mmeshangilia kufutiwa deni na
Kuna Domo krasiaUnakielewa ulicho kiandika?
Chadema hakuna demokrasia, labda uwe umeropoka tu.
Ninachokijua ni chadema Kuna demokrasia nzr kuliko ccm yenge domokrasia maana ni magufuri ndo mwenye kusema Nani agombee na Nani hapanaUnakielewa ulicho kiandika?
Chadema hakuna demokrasia, labda uwe umeropoka tu.
Changia sacos hiyo.Nitachangia laki1, na nitaendelea kuchangia kadri uhitaji utavyokua.
#LISSURAIS2020 ni tumaini kwa Watanzania wote.
Ukombozi wa kweli unakuja, tuchangie bila kujali tofauti ya vyama vyetu, kama vile Nyerere alichangiwa na kina Mbowe akalete uhuru wetu. Tanzania inamuhitaji Lissu kipindi hiki.
Ubarikiwe sana. Mungu atakuzidishia.Aiseee,nachangia fasta,!