Anatakiwa kuwa "MBEBA WATANZANIA". Hayo maono akiyabeba halafu wa-Tanzania atawaweka wapi? Halafu ukute sasa maono yenyewe siyo sahihi!Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Kwani mabwana zake mabeberu hawata mfadhili au?
Umeeleweka asanteKama unaona haikihusu,kaa kushuto.
Nijuavyo mimi ni kuwa, hata kuchukua form ya kugombea uraisi ndani ya chama ni gharama(unalipia) ingawa sijui ni kiasi gani mbali na kusaka wadhamini kwahiyo ni wazi kuna gharama za awali ambazo hazikwepeki.
Japo mimi mtumishi wa serikali miaka mitano sasa sijapewa nyongeza yoyote ya mshahara na sijapandiwshwa daraja lakini sitakosa laki mbili za kumtolea Mbeba Maono. Tumaini jipya kwa watanzania Mh Tundu Lissu.Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Japo mimi mtumishi wa serikali miaka mitano sasa sijapewa nyongeza yoyote ya mshahara na sijapandiwshwa daraja lakini sitakosa laki mbili za kumtolea Mbeba Maono. Tumaini jipya kwa watanzania Mh Tundu Lissu.Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Kumchangia lazima tumchangie sana tuLazima nimchangie
Nchi haifadhiliwi na mabeberu! Nchi ina washirika wa kimaendeleo!Kwani hao mabeberu wanaofadhili nchi wana mabibi?
Nadhani kwenye swala la ichango atakuwa amewahi kidogo kwanza. Hapo ametia nia tu na bado hajateuliwa kuwa mgombea wa Chadema, mimi nadhani angetembeza bakuli baada ya kupata baraka za chama. Kwa syle hii atakuwa anachezea wengine rafu kwa vile yeye anaweza kupata hata zile za huruma. Subiri kwanza hiyo michango ya pesa ije baadaeNdugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Yaani watu wanaendelea kutapeliwaNdugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Atudhibitishe tu pesa zetu kutumika kwa shughuli husika.
Kumbe mpaka pesa zakujinadi duh hi noma tutazila tupo aje kwangu anipe laki tu nampgia kura yngwewe mpuuzi. anatafuta pesa kwa ajili ya kujinadi kwa wanachama. siasa za level nyingine hizi wewe kaa na hayo maccm ufundishwe wizi wa kura.
Kama walivyoiuza ukawa kwa LowasaMakufuli amemfuta uanacha Membe ili asipate mshindani ndani ya chama chake, hiyo ndio demokrasia eti? Kitimoto we.
Agogwe unagongwa weweKama walivyoiuza ukawa kwa Lowasa