BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.
“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA wakiwa na list ndefu ya waliokwishahongwa tayari”
“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA wakiwa na list ndefu ya waliokwishahongwa tayari”