Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul alikuja nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA

Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul alikuja nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.

“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA wakiwa na list ndefu ya waliokwishahongwa tayari”

 
Duh, Sasa ni wajibu wa Lissu kutusomea list ya Viongozi wenzake waliokwisha hongwa.

Siasa zetu zina mambo mengi sana, ila pesa zinazotumika kutafuta uongozi zitatufikisha pabaya sana.... Kama story hii ni ya kweli.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.

“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa Chadema wakiwa na list ndefu ya walioshahongwa tayari”


View attachment 3065601
Nitashangaa kama Erythrocyte hayumo kwenye hiyo list! Ahahahahaha!!!
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.

“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa Chadema wakiwa na list ndefu ya walioshahongwa tayari”


View attachment 3065601
Kwa niaba ya Mama Abduli off course.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.

“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa Chadema wakiwa na list ndefu ya walioshahongwa tayari”


View attachment 3065601
Lisu na siasa za kuwachafua wengine na kujibrand mwenyewe
 
Dana Dana za kufika bei hizo!

Mmeshindwa kupigania katiba mpya Sasa mnamsaidia mama Kwa kugawa kura za wanachama sio!!?

Sasa nimeamini kwanini yule whistle blower alisema na upinzani NAO hauaminiki umefika bei!!

Ngoja tuendelee kuiamini thestate inayotaka katiba mpya badala ya wanasiasa!!

Mungu ibariki Tanzania!
 
Lisu na siasa za kuwachafua wengine na kujibrand mwenyewe
Siyo kuchafua ni kweli Ezekia Wenje alimpeleka Abdul Tageta nyumbani kwa Lissu kumchombeza ahamie CCM, hivi unafikiri Lissu ni mjinga hakurecord mazungumzo yao? Nyie subirini kila kitu kitawekwa hadharani. Wenje baada ya kuona Lissu amechomoa kuchukua hela chafu ndiyo ametangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti ili kumng'oa Lissu.
 
Back
Top Bottom