Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul alikuja nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA

Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul alikuja nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.

“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA wakiwa na list ndefu ya waliokwishahongwa tayari”

Sasa nimetambua kitu.
Kumbe anaetaka kuua chadema ni ccm ili mama apite kiurahisi.
Kama ndivyo why lisu aanze chokochoko dhidi ya chadema badala ya ku blast ccm.
Kumbe basi rushwa iko zaidi ccm na sii chadema.
Lisu angetulia kichwa na kuendelea kuunga mkono chama chake wangefika mbali ila kwa sasa aondoke ili chadema ipone
 
Siyo kuchafua ni kweli Ezekia Wenje alimpeleka Abdul Tageta nyumbani kwa Lissu kumchombeza ahamie CCM, hivi unafikiri Lissu ni mjinga hakurecord mazungumzo yao? Nyie subirini kila kitu kitawekwa hadharani. Wenje baada ya kuona Lissu amechomoa kuchukua hela chafu ndiyo ametangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti ili kumng'oa Lissu.
Kwa akili yako unataka kusema viongozi wote chadema wamehongwa akiwemo msigwa
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.

“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA wakiwa na list ndefu ya waliokwishahongwa tayari”

Ndo maana mama anajiamini sana ameisha watuliza wapinzani wote zitto inclusive, huko ccm ameishavuruga, akina kinana na January Chali

Siku hizi mama anatoa kauli tata kama za magufuli

Amesikika anasema hatoi fidia kuchukua aridhi

Amesikika akisema Jimbo likichagua mpinzani halipelekewi maendeleo
Zile 4R mama kazitupa kuelekea 2025
 
Kama ni kweli mtoto wa mama kaenda mwenyewe kwa Lissu kujaribu kumuhonga inaonesha kiburi kilichopitiliza.
 
Duh, Sasa ni wajibu wa Lissu kutusomea list ya Viongozi wenzake waliokwisha hongwa.

Siasa zetu zina mambo mengi sana, ila pesa zinazotumika kutafuta uongozi zitatufikisha pabaya sana.... Kama story hii ni ya kweli.
Kichefuchefu kimeshaingia Chadema !
Sasa ni mwendo wa kutapika tu 🙄
Ngoja tuone mwisho wake !

Lakini kama hii ni kweli then tuendako siko kabisa !

Yajayo yanasikitisha ! Money speaks ?????!!!!! 😳😱😱😱😳
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.

“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA wakiwa na list ndefu ya waliokwishahongwa tayari”

Huyu mwamba ipo siku atesema hao watu
 
Zaburi 32:9 Msiwe kama farasi wala nyumbu, Walio hawana akili. Kwa matandiko ya lijamu na hatamu Sharti kuwazuia hao, au hawatakukaribia.
 
Back
Top Bottom