MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Ni mzoefu wa huo uchafu. Mwaka 2015 alifanya uchafu zaidi ya huo.Mbowe hawezi kuingia kwenye huu uchafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mzoefu wa huo uchafu. Mwaka 2015 alifanya uchafu zaidi ya huo.Mbowe hawezi kuingia kwenye huu uchafu
Hawezi kosekana.Nasikia Erythrocyte yumo😎😎
Magu hawezi kumlaani mtu yeyote zaidi ya mwanae.Laana ya Magufuli inawatafuna chadema
Mbona hakusema kama alikuja na Wenje mpaka alipoitaka nafasi yake?Hii ni zaidi ya miezi miwili iliyopita
Mbona machadema na lisu mmelaniwa mpaka mnaanza kugombana nyie kwa nyie?Magu hawezi kumlaani mtu yeyote zaidi ya mwanae.
Lisu hajawahi kuwa mpayukaji hata wakati mmoja. Ndiyo maana hakuna wakati hata mmoja alipowahi kufikishwa mahakamani, akapatikana na hatia. Huwa hawezi kuongea bila ya uthibitisho.Ingawa namuona kama mpayukaji, alete lists tuwajue hakika kimya itakuwa kama mipayuko mingine
mchezo wa siasaMchezo gani mkuu
Nasikitika sana Lissu anaingia kwenye mtego wa Fisiemu kwamba wagawanye ili uwatawaleLisu hajawahi kuwa mpayukaji hata wakati mmoja. Ndiyo maana hakuna wakati hata mmoja alipowahi kufikishwa mahakamani, akapatikana na hatia. Huwa hawezi kuongea bila ya uthibitisho.
Ana uthibitisho wa Wenje kuambatana na Abdul kutaka kumhonga, lakini hana uhakika kama ili list ya viongozi wa CHADEMA ambao Wenje alidai tayari wameshawahonga, kama ilikuwa ni kweli au wengine walipachikwa tu, ili Lisu aone amebakia na viongozi wachache sana.
Kwani Msigwa ni kiongozi wa chadema??!!Kwa akili yako unataka kusema viongozi wote chadema wamehongwa akiwemo msigwa
We don bring insult in discussion we bring factsHuyu mbuzi wa singidani naona Tramadol zinampa maluweluwe
Samia ana uchu uliopitiliza wa madaraka. Yuko tayari kuona raia wakiteseka ili yeye abaki madarakaniMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.
“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA wakiwa na list ndefu ya waliokwishahongwa tayari”
TISS aina taaluma kabisaaaa, kazi kuteka tu, yamelala, machawa chawa, nchi inateketea, mtoto wa rais ndiyo play maker kweli? Tanganyika imeishaaa, bibi sultani tuacheeeAbdul akamatwe na TAKUKURU
Hakuna mwanasiasa asiye na uchu ndo maana hata mbowe yupo tayari chadema ife ila yeye aendelee kuwa mwenyekitiAamua ana uchu uliopitiliza wa madaraka. Yuko tayari kuona raia wakiteseka ili yeye abaki madarakani
Wewe nawe tumia akili mtoto wa rahisi awezi Fanya ujinga kma huoSiyo kuchafua ni kweli Ezekia Wenje alimpeleka Abdul Tageta nyumbani kwa Lissu kumchombeza ahamie CCM, hivi unafikiri Lissu ni mjinga hakurecord mazungumzo yao? Nyie subirini kila kitu kitawekwa hadharani. Wenje baada ya kuona Lissu amechomoa kuchukua hela chafu ndiyo ametangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti ili kumng'oa Lissu.
Hadi kwanza Yahya Sinwar auliwe.Abdul akamatwe na TAKUKURU