Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul alikuja nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA

Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul alikuja nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Namshauri afanye uchunguzi wa kutosha na zaid apime Kauli zake kwa manufaa mapana ya nchi na chama chake
Mpaka ameyasema hayo anao ushahidi ngoja tuone kikao chao walichokaa juzi na jana kama ameliongelea huko. Hii hali ni mbaya sana na imetukatisha tamaa sisi ambao tumejitolea kufanya kazi za Chama kumbe huko juu watu wanapokea hela ili kupoozesha juhudi zetu.
 
Sijui ni nini kimempata Lissu kwa sasa
Naona ni kama Lissu anapambana sana kutengeneza credibility yake kuliko ya chama

Kanuni moja kubwa ya vyama vyetu vya kisiasa ni kwamba ni lazima mkubaliane kwenda pamoja, kwasasa Lissu ni kama hana imani tena na chama chake, anaongea mambo mengi sana uanayo haribu tashwira ya chama huko Cloubhouse
 
Duh, Sasa ni wajibu wa Lissu kutusomea list ya Viongozi wenzake waliokwisha hongwa.

Siasa zetu zina mambo mengi sana, ila pesa zinazotumika kutafuta uongozi zitatufikisha pabaya sana.... Kama story hii ni ya kweli.
Lissu hajawahi kuongea uongo na hana sababu ya kufanya hivyo
 
Sijui ni nini kimempata Lissu kwa sasa
Naona ni kama Lissu anapambana sana kutengeneza credibility yake kuliko ya chama

Kanuni moja kubwa ya vyama vyetu vya kisiasa ni kwamba ni lazima mkubaliane kwenda pamoja, kwasasa Lissu ni kama hana imani tena na chama chake, anaongea mambo mengi sana uanayo haribu tashwira ya chama huko Cloubhouse
Umezoea uongo
 
Lissu hajawahi kuongea uongo na hana sababu ya kufanya hivyo
Tuseme ni kwel?

Wewe unaamini story za kuambiwa?

Yeye ni mwanasheria, Dully alimuonesha ushahidi wa hao aliowahonga?

Zaid sana Rushwa kwenye siasa za Tanzania zimeanza leo?
Anadhan atakuwa Rais wa nchi kwa kuuzia watu maneno matupu?
 
Hoja yako ingekuwa na mashiko kama hizo pesa zingekuwa za moto
Ipo ya ngono pia, lakini sio lazima iwe pesa ya mamlaka ndio wakamatike, rushwa ni kosa pana sana. Si umeona yule padri kashtakiwa makosa zaidi ya 100 au hujamsikia?
 
Mara ngapi watu wameambiwa kuwa hii rushwa ni kwa ajili ya boss wakati ni uongo? Mtu yeyote ambae anataka kum corrupt Lissu ni kumwambia kuwa boss wake na viongozi wenzake tayari wamevuta mpunga bila ushahidi wowote ( anachoita orodha sio ushahidi).

Huyo Abdul atajua kuwa kwa vyovyote vile atafanikiwa kwa sababu hata asipokubali atakuwa tayari amemwagilia maji mbegu ya kutowaamini wenzake ( hii mbegu ilipandwa zamani kwa rumours kuwa viongozi wenzake wamelamba asali) na hivyo kuweka mpasuko katika chama. Yule kiongozi wa CDM aliyeenda nae atakuwa mtu wao toka zamani na atakuwa collateral damage katika mpango mzima.

Ndio maana ni muhimu Lissu kumtaja kuwa ndie aliyekuja na Abdul kwa sababu hiyo ndio fact pekee aliyonayo. Kama hataki kumtaja atuambie status yake kwa sasa. Yupo bado CDM hata baada ya kutoa taarifa kwa viongozi wenzake maana hata kama alikuwa Mbowe au Mnyika alipaswa kutoa taarifa. Kama bado yupo ni lazima atakuwa amejitetea vizuri ( nilimleta Abdul kukuthibitishia uovu wa watu hawa n.k.) au amefumbiwa macho na wenzake. Kama ni hiyo ya pili atakuwa na haki ya kujitoa kwenye chama chake. Au kama kuna hatua zilichukuliwa dhidi yake, aseme bila kumtaja. Kama hayuko tena kwenye chama atuambie ili tujue kuwa hamna nyoka chumbani.

Anachokifanya kwa kuendelea kutoa insinuations ni kushiriki katika kubomoa chama chake ambacho ametuambia sio mama yake. Ubaya mwingine ni kuwa ataonekana kama mtu aliyekuwa bitter baada ya kutokeza mtu anayeitaka nafasi yake.

Kwa vyovyote vile hakitendei haki chama chake. Inaumiza hasa ukizingatia matamko yake kuwa kuna watu wanataka kuwarudisha wakina Halima. He is better than this.

Amandla...
JokaKuu Mag3 Nguruvi3
 
Back
Top Bottom