Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
MsigwaAngeitaja hyo list tu
Anyway usicheze na pesa
Pesa inaweza fanya lolote kama
Mtu huna msimamo
Ova
Zitto
Nassari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MsigwaAngeitaja hyo list tu
Anyway usicheze na pesa
Pesa inaweza fanya lolote kama
Mtu huna msimamo
Ova
Hapana ni Mbowe.Hapani ni Ezekia Dibogo Wenje mwenyekiti wa Kanda ya Victoria. Uzuri ushahidi wa mazungumzo upo.
Wewe una speculate tu ushahidi uliopo ni Wenje. Mbowe anajua msimamo wa Lissu asingethubutu.Hapana ni Mbowe.
Lissu sio lolote mbele ya Mbowe.Wewe una speculate tu ushahidi uliopo ni Wenje. Mbowe anajua msimamo wa Lissu asingethubutu.
Kumbe kuna ushahidi mungine zaidi ya huu, hebu uweke hapa ili tupime maji na unga mkuu. Sisi tumeelewa ujumbe kupitia picha za mama Abdul na kiongozi mwandamizi wa chama fulan.Hapani ni Ezekia Dibogo Wenje mwenyekiti wa Kanda ya Victoria. Uzuri ushahidi wa mazungumzo upo.
Inasemekana kwenye chama chake kuwa Lisu hajawahi kuongea uongo.Duh, Sasa ni wajibu wa Lissu kutusomea list ya Viongozi wenzake waliokwisha hongwa.
Siasa zetu zina mambo mengi sana, ila pesa zinazotumika kutafuta uongozi zitatufikisha pabaya sana.... Kama story hii ni ya kweli.
Sasa una mawazo ya aina hii?Huyo Abdul hata aongee Viongozi wote CHADEMA haifi.
Hoja yako ingekuwa na mashiko kama hizo pesa zingekuwa za motoMh. Lisu anajua rushwa ni adui wa haki na kichocheo cha jinai, kwanini asiripoti Takukuru na kuacha hizi porojo za mitandaoni?,
Stupidy at it's high peak
Lisu ana siasa za kitoto za kupenda kuchagua watu siasa za kizamani zililizopitwa na wakatiSiyo kuchafua ni kweli Ezekia Wenje alimpeleka Abdul Tageta nyumbani kwa Lissu kumchombeza ahamie CCM, hivi unafikiri Lissu ni mjinga hakurecord mazungumzo yao? Nyie subirini kila kitu kitawekwa hadharani. Wenje baada ya kuona Lissu amechomoa kuchukua hela chafu ndiyo ametangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti ili kumng'oa Lissu.
Safari hii hata Lisu mwenyewe anajua hashindi huo uchaguzi anatafuta kura Kwa kuchafia wengineLissu sio lolote mbele ya Mbowe.
Hapa ndipo nisipomuelewa Lissu. Alipaswa kumtaja au atuambie kama kuna hatua zimechukuliwa dhidi ya huyo mtu. Na mtu kumwambia kuwa hata fulani amepokea rushwa sio uthibitisho kuwa kweli walipokea. Ina wezekana alimtajia hayo majina ili iwe rahisi kum convince ahamie CCM. Hii habari ya kutaja watu bila kutaja haina tija kwa chama chake. Kama anawaonea aibu ajitoe tu katika hicho chama.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.
“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa Chadema wakiwa na list ndefu ya walioshahongwa tayari”
View attachment 3065601
Mtego huu! Na Tundu Lissu ameushtukia kwa kutowataja japo lengo kuu ni kuwanunua pia. Ila akijatibu tu kuwataka ndipo vurugu itakapoanzia kwa kumshtaki Lissu mahakamani kwa kuwachafulia majina Yao na Kisha waliohongwq kutimkia ccmDuh, Sasa ni wajibu wa Lissu kutusomea list ya Viongozi wenzake waliokwisha hongwa.
Siasa zetu zina mambo mengi sana, ila pesa zinazotumika kutafuta uongozi zitatufikisha pabaya sana.... Kama story hii ni ya kweli.
Yaani Kodi zetu zinatumika vibaya namna hii!? Aaaaghrrrrr!!!!! Au ndio pesa za kuhongwa na waarabu?Mtego huu! Na Tundu Lissu ameushtukia kwa kutowataja japo lengo kuu ni kuwanunua pia. Ila akijatibu tu kuwataka ndipo vurugu itakapoanzia kwa kumshtaki Lissu mahakamani kwa kuwachafulia majina Yao na Kisha waliohongwq kutimkia ccm
Corruption ni hatari sanaMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.
“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA wakiwa na list ndefu ya waliokwishahongwa tayari”
Siyo "viongozi wenzake" tena.Bought and taken for good!Duh, Sasa ni wajibu wa Lissu kutusomea list ya Viongozi wenzake waliokwisha hongwa.
Siasa zetu zina mambo mengi sana, ila pesa zinazotumika kutafuta uongozi zitatufikisha pabaya sana.... Kama story hii ni ya kweli.