Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Nasikia Erythrocyte yumo😎😎Nitashangaa kama Erythrocyte hayumo kwenye hiyo list! Ahahahahaha!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia Erythrocyte yumo😎😎Nitashangaa kama Erythrocyte hayumo kwenye hiyo list! Ahahahahaha!!!
Relax, list inatoka soon.Kwa akili yako unataka kusema viongozi wote chadema wamehongwa akiwemo msigwa
Huyo jamaa anayetajwa na Lissu kuhonga watu huko CDM ana cheo gani huko Ccm au serikalini ?....Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.
“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA wakiwa na list ndefu ya waliokwishahongwa tayari”
Tozo na mikopoHivi hizi ela hawa jamaa wanatoa wapi?
Takukuru siyo wakurupukaji,issue haina ushahidi utaipeleka vp huko Mahakamani!? Wengine humu wanataka eti Abdul ndiyo atowe ushahidi wakati shutuma za rushwa kazitoa Lissu, mtoa shutuma ndiyo anawajibu wa kutoa ushahid wake,na siyo kutulisha maneno matupu tu kama ya kwenye kanga!!Huyo jamaa anayetajwa na Lissu kuhonga watu huko CDM ana cheo gani huko Ccm au serikalini ?....
Hii rushwa Takukuru hawajapata habari zake?
Petro dollarHivi hizi ela hawa jamaa wanatoa wapi?
Shida sana ndiyo maana mpaka wenyeviti wa mitaa wanauza maneno ya watu wenye hati milikiShida kila sehemu kumechafukwa.
Kodi,pia ilemikopo wanayoikopa kama nchi huishia mikononi mwahao mafisadi.Hivi hizi ela hawa jamaa wanatoa wapi?
Hivi hizi ela hawa jamaa wanatoa wapi?
Ushabiki umemjaa mpaka anasahau akili yakeSasa una mawazo ya aina hii?
Unavyoona wewe hao viongozi wanao hongwa ndio watakao iimarisha CHADEMA?
Wanahongwa ili CHADEMA iimarike zaidi?
Mbona hakuyasema hayo kabla mpaka Wenje alipotangaza kuwaniaSiyo kuchafua ni kweli Ezekia Wenje alimpeleka Abdul Tageta nyumbani kwa Lissu kumchombeza ahamie CCM, hivi unafikiri Lissu ni mjinga hakurecord mazungumzo yao? Nyie subirini kila kitu kitawekwa hadharani. Wenje baada ya kuona Lissu amechomoa kuchukua hela chafu ndiyo ametangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti ili kumng'oa Lissu.
Aondoke ili awaachie chama waliopokea rushwa kukiua?Sasa nimetambua kitu.
Kumbe anaetaka kuua chadema ni ccm ili mama apite kiurahisi.
Kama ndivyo why lisu aanze chokochoko dhidi ya chadema badala ya ku blast ccm.
Kumbe basi rushwa iko zaidi ccm na sii chadema.
Lisu angetulia kichwa na kuendelea kuunga mkono chama chake wangefika mbali ila kwa sasa aondoke ili chadema ipone
Yeye lisu karipoti takukuru?Huyo jamaa anayetajwa na Lissu kuhonga watu huko CDM ana cheo gani huko Ccm au serikalini ?....
Hii rushwa Takukuru hawajapata habari zake?
Alishasema zaidi ya mwezi mmoja nyuma, japo hakumtaja moja kwa moja Wenje kuwa ndiye alimpeleka Abdul nyumbani kwake Tegeta. Haya mambo ni mazito sana CCM imedhamiria kuiua kabisa Chadema .Mbona hakuyasema hayo kabla mpaka Wenje alipotangaza kuwania
Nafasi ya makamu mwenyekiti?
Ni PrinceHuyo jamaa anayetajwa na Lissu kuhonga watu huko CDM ana cheo gani huko Ccm au serikalini ?....
Hii rushwa Takukuru hawajapata habari zake?
Wanasiasa aina ya Lissu ni kwenda nao kwa tahadhari .Kichefuchefu kimeshaingia Chadema !
Sasa ni mwendo wa kutapika tu 🙄
Ngoja tuone mwisho wake !
Lakini kama hii ni kweli then tuendako siko kabisa !
Yajayo yanasikitisha ! Money speaks ?????!!!!! 😳😱😱😱😳
Vipi karipoti takukuru na kwenye mamlaka ya chama chake?Alishasema zaidi ya mwezi mmoja nyuma, japo hakumtaja moja kwa moja Wenje kuwa ndiye alimpeleka Abdul nyumbani kwake Tegeta. Haya mambo ni mazito sana CCM imedhamiria kuiua kabisa Chadema .
Kwa hiyo unamshauri naye apokee halafu apige kimya?Wanasiasa aina ya Lissu ni kwenda nao kwa tahadhari .
Kanikumbisha hadithi za high school kwamba " Abduly" kamwambia nimeshatoka na Dem huyu na huyu etc . .. na yeye akaamini... Bila ushahidi na yeye anakuja nazo hadharani....
Chama ni chake na yeye ni boss... Kimeshindikana nini huko ndani anakosa busara akijua madhara yake anakuja kuropoka hadharani?
Atoke CDM alafu aende CCM ambapo anamtukana na Mwenyekit wake?
Kwamba ACT kuna nafuu? Au labda NCCR?
Ni wapi hakuna rushwa? Ni nani msafi?
Michango ya Kila siku anayopewa akiwa kwenye nafasi ya uongozi haiwezi kutafsiriwa kama indirect corruption?
Nchi yetu rushwa ni sehem ya karibu Kila kitu... Naming and cursing and pointing fingers ni sehem tu ya siasa za maji taka...
Alivyopigwa risas za mvua anafaham pesa iliyomuhudumia ilitoka wapi?
Leo anamsifia Msigwa kwenda CCM ambapo kwa maisha yake yote ya siasa wamekuwa wakimtarget yeye personally na kum bully hata baada ya kupata majeraha yaliyotaka kumtoa uhai...
He may be right ila busara ni kitu muhim sana.
Akigombea urais na bahati akapata atakuwa anapambana na Kila kitu na Kila mtu? Nchi itatawalika?
Lissu anaonekana mtu smart ila anaanza kuwathibitishia watesi wake kwamba yeye sio presidential material kama walivyokuwa Wana msema ....
Ni bahati mbaya kwamba anajiunga na wanaharakati uchwara kupambana dhidi ya chama chake....
Wana harakati Wana mbio lakini hawafiki mbali ... Ajiulize NCCR ya wanaharakati ilipoishia....
Lissu Fanya siasa, Wacha harakati.
Una ushahidi wa hili mkuu?Siyo "viongozi wenzake" tena.Bought and taken for good!