Nitashangaa kama Erythrocyte hayumo kwenye hiyo list! Ahahahahaha!!!Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.
“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa Chadema wakiwa na list ndefu ya walioshahongwa tayari”
View attachment 3065601
Kwa niaba ya Mama Abduli off course.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.
“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa Chadema wakiwa na list ndefu ya walioshahongwa tayari”
View attachment 3065601
3. Mugabe1) Ezekia Dibogo Wenje
2) Mch. Peter Msigwa
3).....
Endelea list ni ndefu soon tutai 'punch'.3. Mugabe
Msigwa tayari na Wenje any moment from now.Mwanadamu kutoa laana ni uongo, huna mamlaka ya kumlaani mwanadamu mwengine.
NB: Simfahamu hata huyo Abdul pesa anayogawa kaitoa wapi ila naweza kufikiria lengo ni Wana Chadema wahamie Sisiyemu
Lisu na siasa za kuwachafua wengine na kujibrand mwenyeweMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina la Abdul, alikwenda nyumbani kwake kwa lengo la kumhonga fedha ili aondoke CHADEMA na kujiunga CCM.
“Abdul aliletwa nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa Chadema wakiwa na list ndefu ya walioshahongwa tayari”
View attachment 3065601
Siyo kuchafua ni kweli Ezekia Wenje alimpeleka Abdul Tageta nyumbani kwa Lissu kumchombeza ahamie CCM, hivi unafikiri Lissu ni mjinga hakurecord mazungumzo yao? Nyie subirini kila kitu kitawekwa hadharani. Wenje baada ya kuona Lissu amechomoa kuchukua hela chafu ndiyo ametangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti ili kumng'oa Lissu.Lisu na siasa za kuwachafua wengine na kujibrand mwenyewe
Hapani ni Ezekia Dibogo Wenje mwenyekiti wa Kanda ya Victoria. Uzuri ushahidi wa mazungumzo upo.Kiongozi wa CHADEMA = Mbowe.
Code rahisi sana hii.