Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kuna vingi vingine vya kijinga sana hv kweli eti wakutumie mtoto wa rahisi kuja kukupa ongo yani chadema mnawatu waongo sana
Jifunze kuandika vizuri kwanza ndiyo utaanza kuelewa mambo.Wewe nawe tumia akili mtoto wa rahisi awezi Fanya ujinga kma huo
Ngoja tumshawishi Lissu atoe mkeka hadharani! Ahahahahaha!! Baada ya cheamani, Erythrocyte! Ahahahahaha!!!Nasikia Erythrocyte yumo😎😎
Kalagabaho na ubozi wako.🤑🤑🤑🤑Wewe nawe tumia akili mtoto wa rahisi awezi Fanya ujinga kma huo
The Prince himselfWho is Abdul Madafada
Hiyo nafasi haina mwenyewe kila mtu anaweza kuchukua form wanachama ndiyo wenye maamuzi ya mwisho.Mbona hakusema kama alikuja na Wenje mpaka alipoitaka nafasi yake?
Kwao mjomba wake yuko kitiniAbduli kwanini hafanyi huu ushenzi kule kwao?
Maccm ndiyo yamelaaniwa yanalishana sumu kila uchao mbwakoko nyieMbona machadema na lisu mmelaniwa mpaka mnaanza kugombana nyie kwa nyie?
Marope kesha toa deposit kwa Mugabe!!Mbowe ni dalali wa siasa, kama alivyovuta hela za lowasa, safari hii tena anaenda kuuza chama.
Kwani Abdul ndonani huko Daslamu lo??
Hata machadema si mwanzilishi yalipotaka kumua zitto?Maccm ndiyo yamelaaniwa yanalishana sumu kila uchao mbwakoko nyie
Mtoto wa mama...Kwani Abdul ndonani huko Daslamu lo??
Kumbe!!Mtoto wa mama...
Kama anaogopa kuwataja itakuwa mipayuko tu, anasubiria au anaogopa nini kuwataja?Lisu hajawahi kuwa mpayukaji hata wakati mmoja. Ndiyo maana hakuna wakati hata mmoja alipowahi kufikishwa mahakamani, akapatikana na hatia. Huwa hawezi kuongea bila ya uthibitisho.
Ana uthibitisho wa Wenje kuambatana na Abdul kutaka kumhonga, lakini hana uhakika kama ili list ya viongozi wa CHADEMA ambao Wenje alidai tayari wameshawahonga, kama ilikuwa ni kweli au wengine walipachikwa tu, ili Lisu aone amebakia na viongozi wachache sana.