Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787][emoji1787]Story imeshabadilika sio tena Abdul alipelekwa nyumbani kwake na kiongozi wa CDM; akawatimua,
Sasa imekuwa aliitwa Hotel, akutolkea.
Lissu kwa uongo amekubuhu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Story imeshabadilika sio tena Abdul alipelekwa nyumbani kwake na kiongozi wa CDM; akawatimua,
Sasa imekuwa aliitwa Hotel, akutolkea.
Lissu kwa uongo amekubuhu
ExquisiteMbona untaka kunitawala kimawazo niwe kama wewe? Uhuru wa maoni una maana gani kama wote tutakuwa na fokra moja?
Kalamu ameshangilia..Makamu nae aiache hiyo,sio kitu Watanzania wanapenda kusikia wala sio mahitaji yetu kutoka Kwa kiongozi wa Chama kuku ya Upinzani.
Ni Watanzania wapuuzi watashangilia ujinga huu.
Kwanini ?!!Abduli anatakiwa achomwe moto kabisa
Sawa...Lissu alishajibu hii hoja ya "Ushahidi" tena kitaalam.
Amesema yeye (Lissu) kuwa hana CCTV Cameras Nyumbani kwake.Sawa...
Ila sijasikia kuhusu ushahidi wa CCTV CAMERA iliyoko nyumbani kwake...nyumbani kwake kuhusu madai yake haya ya sasa....
Kataja abdul mtoto wa rais samia au kasema tu Abdul!?.. maana abdul wengiHii nchi yetu ya hovyo sana. Mtoto wa Rais anatajwa mpaka kwa jina Lakini hakuna anayeshtuka. Hata Rais mwenyewe anaendelea kama Kazi. Hakuna chombo cha habari hata chenye uwezo wa kumuuliza Rais Samia.
Duuuh [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Amesema yeye (Lissu) kuwa hana CCTV Cameras Nyumbani kwake.
Mjanja mjanja huyo,mzee wa kikiAmesema yeye (Lissu) kuwa hana CCTV Cameras Nyumbani kwake.
Wewe ni mtoto ?!! [emoji44]Hii nchi yetu ya hovyo sana. Mtoto wa Rais anatajwa mpaka kwa jina Lakini hakuna anayeshtuka. Hata Rais mwenyewe anaendelea kama Kazi. Hakuna chombo cha habari hata chenye uwezo wa kumuuliza Rais Samia.
Kama huna HOJA ni bora unyamaze.Mjanja mjanja huyo,mzee wa kiki
Janja janja janja janja haswaaa....Mjanja mjanja huyo,mzee wa kiki
Mimi Imhotep naamini kuwa anasema ukweli.Duuuh [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mh.Lissu ni bingwa wa ukanushaji....ni bingwa haswaaa.....[emoji1787][emoji1787]
Kamtaja Abdul mtoto wa rais wa jmt au kasema tu Abdul?..Kama huna HOJA ni bora unyamaze.
Takukuru hawa hawa wamchukulie hatua mwana mfalme? 😂😂Amkamatishe kwa TAKUKURU, vinginevyo itakuwa ni stories za kwenye kahawa
Abdul Mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kamtaja Abdul mtoto wa rais wa jmt au kasema tu Abdul?..
Sio kweli unachosema.Kwa nchi kama South Afrika , hii tuhuma kuna watu wangekua ndani bila kujali cheo cha mtu, kama kweli Abdul alifanya uzembe mkubwa sana , alijamini nini kwenda yeye kama yeye
Hawezi taja hivyo,ni kesiAbdul Mtoto wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.