Pre GE2025 Tundu Lissu, achana na misimamo misimamo ya kipuuzi, ingia kwenye uchaguzi upiganie wabunge 20 na madiwani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Hekima imenionyesha, nikujulishe hilo, yaani upiganie wabunge 20+ na madiwani wa kutosha ili upate nguvu ya kuweza kusonga mbele na kukijenga chama kwa umaridadi zaidi, kwa msimamo wako huna uwezo wowote wa unaoweza kuzorotesha uchaguzi ujao wa mwezi October, jipange sasa andaa wabunge na madiwani wanaokubalika kwa umma, imarisha matawi, na mashina, unless otherwise chadema itakufia mikononi mwako!
 
Chadema kwa sasa haijulikani, haina fedha haina lolote, anachokiongea mwenyekiti hakijulikani yaani vagrants!, ndiyo maana tunasema pigania viti japo 20+ ili chama kipate start up point!, kuanzia bungeni /ndani ya Bunge /
 
Pumbafu
 
CPU ya ubongo wako ipo slow sana. Fanya update
Kelele za hicho mtakacho ni vizuri na kwa mafanikio mema ni lazima kipiganwe bungeni kikamilifu ndipo kitakuwa na maana, chadema wamekufa akili kabisa, remember no short cut for this procedure!
 
Atapewa mbunge 1. Wa jimbo la mtamwbe la Pemba
 
Lisu huwa anashangaza dakika za jioniiii
 
chadema isiingie kwenye uchaguzi bila kurekebisha katiba,sheria na kanuni
 
Amekuomba ushauri?
 
Kwa msimamo wa Lissu hata asiposhiriki uchaguzi haina shida au madhara yoyote, endapo vyama vyote vingine vitashiriki, no side effects, ni ujinga wake tu.
 
Uchaguzi ama uchafuzi....
Lisssu yupo sahihi utapeli wa CCM sasa basiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…